Ninaipenda Taifa Stars Ila Nasikitika Kusema kuwa Inaendwa kufungwa na DR Congo pale pale Kwa Mkapa

Ninaipenda Taifa Stars Ila Nasikitika Kusema kuwa Inaendwa kufungwa na DR Congo pale pale Kwa Mkapa

Kila jambo na wakati wake. Nyakati hizi ni nyakati za aibu aibu na huzuni.
Nyakati hizi zitaendelea mpaka milele.

Wajukuu & Vitukuu vyako vikiwa na umri kama wakwako nao watasema hayo uyasemayo.
 
Uwezo binafsi wa wachezaji wa DRC umeamua mechi. Ukiacha goli la tatu, DRC wamemililki mpira kwa kiasi kidogo Ila nafasi chache walizopata zimetumika vizuri. Leo DRC wamecheza Kama timu kubwa.
 
Kawaida mpira unadunda kama uliangalia mechi utaona congo wana wachezaji wazoefu.
 
Taifa Stars ine tabia chafu fulani hivi kama mmewahi kuichunguza kwa undani.

Kwa mfano inaweza kukupa matumaini mazuri kuwa wako fit na wako poa lakini inangoja kipindi kizuri ambacho kila mtanzania anaiaminia. Hiko ndiko kipindi ambacho Taifa Stars inaenda kuvunja mioyo yetu.

Mimi nishaijulia..

Huwaga naiunga mkono katika kipindi ambacho kila mtanzania hana matumaini nayo...Halafu ninaipotezea kiaina kipindi ambacho iko kwenye form nzuri. Maana hiko ndio kipindi ambacho timu inaiandaa na kuiset mioyo yetu ili ikaifunje vizuri.

Kama vile uko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mzuri kwa kipindi kirefu. Inafika hatua mapenzi yana shika hatamu kiasi kwamba akili yako inaamini kuwa huyo demu hawezi kuja kukucheat hata siku moja. Ndio wakati huo unaletewa video na mwana wakaribu ikionyesha demu huyo huyo anapumuliwa na muuza kahawa wa mtaa wa pili.

Sasa siku na wakati umefika. Msije sema sijawaambia. Taifa Stars anaenda kufa pale pale kwa Mkapa dhidi ya DR Congo.
Sawa mganga wetu
 
Taifa Stars ine tabia chafu fulani hivi kama mmewahi kuichunguza kwa undani.

Kwa mfano inaweza kukupa matumaini mazuri kuwa wako fit na wako poa lakini inangoja kipindi kizuri ambacho kila mtanzania anaiaminia. Hiko ndiko kipindi ambacho Taifa Stars inaenda kuvunja mioyo yetu.

Mimi nishaijulia..

Huwaga naiunga mkono katika kipindi ambacho kila mtanzania hana matumaini nayo...Halafu ninaipotezea kiaina kipindi ambacho iko kwenye form nzuri. Maana hiko ndio kipindi ambacho timu inaiandaa na kuiset mioyo yetu ili ikaifunje vizuri.

Kama vile uko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mzuri kwa kipindi kirefu. Inafika hatua mapenzi yana shika hatamu kiasi kwamba akili yako inaamini kuwa huyo demu hawezi kuja kukucheat hata siku moja. Ndio wakati huo unaletewa video na mwana wakaribu ikionyesha demu huyo huyo anapumuliwa na muuza kahawa wa mtaa wa pili.

Sasa siku na wakati umefika. Msije sema sijawaambia. Taifa Stars anaenda kufa pale pale kwa Mkapa dhidi ya DR Congo.
Niliacha kuishabikia taifa stars tulipokandamizwa nne na akina mamadoe niang,naamini ulikuwa uamuzi sahihi sana hongereni bana Kongo kwa kuwafunga taifa stars.
 
Back
Top Bottom