Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wewe ni mzee wa connectionUNAHITAJI MUME/MKE au MCHUMBA? sms Wasifu wako
Wanajamvi Heshima zenu Je unahitaji kuunganishwa ili kupata mwenzi wako kama Mchumba na baadae Mume au Mke. Tafadhali tuma wasifu wako kupitia DM ukijielezea ** Umri, Umbo lako, Dini, Hobbies, kama una mtoto/watoto (idadi) na unatamani kuunganishwa kwa mtu wa namna gani (sifa za umtakae)...www.jamiiforums.com
huna helaWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Ghorofa la Kinyakyusa utakuwa na furaha gani sasaWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Ndago?Ghorofa la Kinyakyusa utakuwa na furaha gani sasa
Ndo manakeNdago?
Ila wanyakyusa wanaishi Kwa mateso aisee. Halafu wanafiki j2 hawakosi KanisaniNdo manake
Huenda ulijengea fedha za wizi,ushirikina,dhuluma,ndaga etcWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Kila nyumba kanisaIla wanyakyusa wanaishi Kwa mateso aisee. Halafu wanafiki j2 hawakosi Kanisani
OkayHongera sana
utakuwa ulipata mali kwa dhurma. mtafute Yesu akusamehe na uuze ulivyo navyo hivyo na kuwarudishia wale ulio wadhurumu, yeye atakupa amani ya kweli isiyosimamia kwenye mali.Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Itakuwa pesa ya haramu.Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?