connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
- Thread starter
- #221
Takbiir BibiItakuwa pesa ya haramu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takbiir BibiItakuwa pesa ya haramu.
Usihofu,hii ni hali ya kawaida kwa watu wengi waliojenga nyumba kwa hela za wizi/dhuruma.Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Kwa wewe maskin ambaye hujaiba una hali gani na nyumba yako ya udongo..Usihofu,hii ni hali ya kawaida kwa watu wengi waliojenga nyumba kwa hela za wizi/dhuruma.
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Furaha ya moyo iliyotowekaWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Anne Long time no seeee my frienddddd.Furaha ya moyo iliyotoweka
Usiitafute pengine,
Kwake Yesu utaipata.
Kujenga si jambo la siku moja, wakati unaanza mpaka kukamilisha, lengo ilikuwa ni nini na je limetimia au la?Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Nipo ndugu yangu.Anne Long time no seeee my frienddddd.
Hapo sidhani kama nje una eneo la kupumzika.Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Well and blessed Amigo.Nipo ndugu yangu.
How are you?
Umepotea sanaWell and blessed Amigo.