connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
- Thread starter
- #121
Karibuni Bunju
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaHongera Sana Mkuu Kwa kujenga.
Mjengo wa maana. Unakosaje mademu?Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Nahitaji hicho kitabu na mimi mkuu.Njoo inbox nope namba yako nikupe kitabu Fulani ivi ili ujisome mkuu Ila kipo kwa english
Napajua hapa kitaa,mimi ni jirani kabisa hapo njiapanda unakata kushuto nyumba ya kijivu,mbona hii nyumba ina watu wengi na wanaonekanaga wana furaha tu?Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Posta tunakimbia harufu ya feri sijui wakao jirani na ikulu au aghakani wanaishije na harufu ileHama nenda ukapange posta utakaaje nje ya jiji...!!!
Aisee ushauri mbovu kabisa huu.Sasa si atakuwa mlevi,maana itabidi anywe kila siku!Sasa atakapo haribu maisha yake kwa ulevi,si ndio ataharibikiwa kabisha.No true peace comes by knowing that you are right with God.Kunywa bia wewe shida zote za dunia zitakimbia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],duuhTatizo hujaoa hata mimi nina gar ma sina furaha sasa nioe ili tuwe mama mwenye nyumba na baba mwenye gari