Mwislam by choice
JF-Expert Member
- Sep 23, 2017
- 361
- 471
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Source of income ya ujenzi ni nn maana kama ulifanya dhurma ukajenga hautokuwa na aman maisha yako yote, itaonekana tu uko na furaha but inside hauna aman