Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Kwa upande mwengine huo moto ni mipango yao binafsi ili waubadilishe huo mji wa LA kuwa smart city 2030,pia housing insurance wali cancel ili wasipate hasara pindi tu janga la moto litakapo anza.
Yaani waubadili mji kwa gharama na hasara kubwa kiasi hicho? Ikiwemo majeruhi na vifo? Hao sio bongo wanaochoma masoko
 
Unaunga uongo. Huna akili hata punje acha akili kubwa ikuongoze. Wanadamu wameumbwa kwa matabaka hivyohivyo Kuna watawala na watawaliwa hata mbinguni Ni hivyo tu. Wewe unataka kuondoa gep ili kila mtu aishi kivyake hiyo Ni dalili ya ushetani. Hiyo makala unayotaka kuandika kufa nayo hatuitaki.

Watu wanataka kusikia habari za uzima na sio Mambo ya asili. Wengine habari ya uzima tumezipata kwenye biblia. Wengine wamezipata kwenye Quran. Na wewe lete habari yako ya uzima tu acha ngonjera mpumbavu mkubwa maana mkiachwa kupotosha mnamadhara makubwa mshenzi wewe
 
Game plan tu hizo, watu wa kanisa wanatumia kama opportunities kuendelea kuwapiga wajinga kwa issue ambazo zimepangwa na wa U.S kwa manufaa ya U.S
Hawa sio wabongo wanaochoma masoko ili wajenge masoko
 
Utaratibu wa Allah inapkuja adhabu haichagui anaye husika na asie husika, wote mnaingia. Sababu kila mmoja anapata stahiki yake.
Hana uwezo wa kutofautisha mwenye kosa na asiye na kosa?
Maana akileta adhabu inaangamiza viumbe vingi vidogo na vikubwa. Moto unaangamiza mpaka mayai ya ndege, nyoka, kenge n.k.
 
Sasa mwaka huu moto umetokea katikati ya majira ya baridi kali hata mimi nilijiuliza kulikoni? Kumbe watu wamecheza na Mkuu wa Ulimwengu.
Picha zinaonesha majani makavu na hakuna hiyo baridi unayoisema.
 
Kumbe nchi ya uzuri ilyotabiriwa kwenye maandiko yabiblia ndo itakuwa marekani? Ambayo itatekwa nakukaliwa namfalme wakazikazini cjui itakuwa taifa gani? Mwenye ufafanuzi anifafanulie kwakina
 
Wapare kwa uongo
 
Mungu angekua anaoperate hivyo hakuna mtu angekua hai,
Maana at some point kila mtu ameshawahi kukufuru lakini Mungu hatuchomi.
 
Huwezi ukamdhihaki MUNGU centre of all creation,ukabaki salama
Kwahiyo Turkey walimdhihaki Mungu wakaletewa tetemeko? Na Mayote walimdhihaki wakaletewa kimbunga? Tumieni akili basi jamani au hata hizo akili hamna?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…