Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Ndomana inasemekana Mwafrika ni kiumbe ambaye yuko kwenye mchakato wa kuwa binadamu kamili, usishangae kuona hayo.
 
Mlima Kilimanjaro pia huwaga unawaka Moto [emoji91] lakini hutasikia watu wakisema kwamba ni Mungu

Lakini Moto ukiwaka Marekani mijitu inakimbilia kusema ni Mungu! ni Mungu! ni Mungu!

Kumbe ni chuki zao binafsi tu, dhidi ya taifa la Marekani.
Ni chuki na ujinga. Ujinga ni mzigo mzito mno kichwani.
 
Hapo kwenye waafrika na watanzania toa weka maustaadhi
 
Lakin pamoja na haya yote lakin bado kuna watu hawaamin kama ni ukuu wa mungu
 
Na mijinga mingine bila kuhoji ikaunga mkono hoja na kucomment kwa hisia za kidini!
 
Waafrika tuna safari ndefu mno kufikia hatua ya kuwa binadamu kamili. Kwamba ulikuwa unsikia sauti inakwambia iba mboga na kwaakili yako ukahisi ni sauti ya shetani!? Hiyo ni shida ya akili, nenda milembe please.
 
Kajifunze juu ya "smart city" ndio utajua ule moto ni mpango ulioratibiwa kitaalam,Amerika akili nyingi,
Moto ni ajali kama ajali nyingine, hakuna cha smart city wala shetani. Wahusika watakuja na report ya chanzo cha moto, tusubiri
 
Before they kept God out, he decided himself to get out, now they can leave without God. Keep it up California, keep it Los Angeles, keep it without God Hollywood.
Mungu hadhihakiwi
Tetemeko la Bukoba nao walimdhihaki Mungu? Vita ya Sudan wamemdhihaki Mungu? Vifo vya wanawake na watoto na majanga mbalimbali ya magonjwa ya mlipuko huko Congo wamemdhihaki Mungu? Vipi kuhusu mafuriko ya Dubai na tetemeko la Turkey walimfanya nini Mungu? Tujaribu kutumia hata hiyo akili kiduchu uliyopewa na si mihemko ya kidini.
 
Kwani wakati anachoma Sodoma na Gomora, ilikuwaje? Kuna maovu ambayo huwa hayavumiliki mbele za Mungu ikiwa ni pamoja na kufuru pamoja na mambo ya ushoga.
Una uhakika Sodoma na Gomora ilikuwepo na ilichomwa!? Ndomana nasema mwafrika ni nyani aliyechangamka.
 
Kama hawajafa basi chamoto wamekiona
Wanaokufa Congo DR kwa magonjwa ya mlipuko na vita nao wamemkosea nini Allah!? Mbona mnachagua adhabu za allah, Marekanj ni allah ila Somalia, Sudan, Congo DR, Turkey na Mayote ni ajali za kawaida!!!!!!!????
Mtu mweusi ni mzigo kwenye hii dunia.
 
Mbona kama una hasira sana kaka? Unalinganisha vitu 2 tofauti. Tetemeko, Vita, mafuriko na moto. Masuala ya dini ni masuala ya imani so you choose kuamini au kuto kuamini and it's OK with your choice. Hakuna anae kulazimisha kuamini unacho kitaka, tunaishi kwenye ulimwengu wa demokrasia. Kwamba huamini kwamba wale watu walipiga KURA na Mungu wakampa 0?
 
Lakin pamoja na haya yote lakin bado kuna watu hawaamin kama ni ukuu wa mungu
Na ule wa Mayote na DR Congo ni ukuu wa nani? Janga la moto mkubwa na mkali huko LA limeua watu 24 tu lakini janga la gari moja tu la mafuta pale Moro liliua zaidi ya watu 50! Sasa nijibu, adhabu ya Mungu hapo ni ipi kati ya L.A au Moro?
 
Kuna cartoon moja nchini mrekani maarufu sana iitwayo The Simpson, katika episode mojawapo takribani miaka kumi iliyopita, ilitabiri tukio hili la moto LA exactly, pamoja na mambo mengine kadha wa kadha, kama tukio la Trump kuwa raisi, jaribio la kuuawa kwake, na kurudi tena ikulu ya white house mara ya pili-ambapo hapa walitabiri hadi mwaka (2024)-na huo utabiri walitoa mwaka 2004 katika moja ya episode yake.

Sasa hapo unaielezeaje hayo mkuu Mshana Jr !?.



Tazama:
View: https://youtu.be/BfQLHS913E0?si=9eEissnWikow0cfW
 
Kwamba moto pekee ndo adhabu ya Mungu ila tetemeko, magonjwa ya mlipuko na kimbunga siyo Mungu? Basi ngoja nikubaliane na wewe! Kwahiyo ajali ya Moro iliyoua zaidi ya watu 50 kwa moto ilikuwa adhabu ya Mungu? Kumbuka LA wamekufa watu 24 tu na Moro lilikuwa gari moja tu la mafuta lakini wakafa zaidi ya 50!
Shida yenu mnachangia kwa chuki na mihemko bila kuhusisha akili, au labda akili zenyewe hamna!
 
Na ule wa Mayote na DR Congo ni ukuu wa nani? Janga la moto mkubwa na mkali huko LA limeua watu 24 tu lakini janga la gari moja tu la mafuta pale Moro liliua zaidi ya watu 50! Sasa nijibu, adhabu ya Mungu hapo ni ipi kati ya L.A au Moro?
kWanza hujiuliz huo moto wa carifornia imekuwaje umeshindikana kuzimwa na ni vipi unaweza vuka nyumba moja kwenda nyingine wakat nyumba zipo kwenye mpangilio mzur
 
MUNGU angekua na hasira na mihemko kama ya Mleta Uzi,Nchi nyingi zingesha angamizwa
 
kWanza hujiuliz huo moto wa carifornia imekuwaje umeshindikana kuzimwa na ni vipi unaweza vuka nyumba moja kwenda nyingine wakat nyumba zipo kwenye mpangilio mzur
Ni Calfornia na si Carifornia!
Nami nikuulize, ikawaje huo moto wa mungu ukashindwa kuchoma nyumba moja iliyojengwa kwa zege na matofali!? Mpaka hapo unashindwa vipi kujua kuwa shida itakuwa ni materials wanayotumia kujengea (Mbao)? Pia wenzetu wana mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi kwa matumizi ya majumbani kwanini usihisi kuwa yanachangia kuchochea ukali wa moto?
Huenda moto unafata mtandao wa mabomba ya gesi na ndosababu unaona hauruki nyumba.
 
Kwamba na wewe una amini idadi ya waliokufa ni 24 tu? Unataka tutumie akili kuhusu kupinga uwepo au adhabu za Mungu but the same you hutaki kuhusisha akili yako kupitia taarifa za serikali ambazo zimechujwa; interesting. Anyway, nimesoma Biblia mara kadhaa, vita, matetemeko ya ardhi no moja ya mambo yaliotabiriwa, yapo majanga kadhaa ambayo tunayapata kwasababu either ya uzembe, ujinga, lakini yapo ambayo yanahusisha Mungu direct kama adhabu zake kwa wanadamu. Usome uzi tena, achana na hayo mambo ya Mungu yaliowekwa na mleta uzi, kwamba wanaweka fire hydrant but zina fail, wanachimba hadi mitaro ili moto ukifika hapo ukose support uzime (kumbuka hizo ni moja ya njia za kitaalamu za kuzima moto ) but cheche zinaruka upande wa pili na kusababisha janga upya; soma uzi zaidi, kwamba the same USA waliweza kuzima moto mkubwa kule Brazil, leo wanashindwa kwao. Uliposema kuhusu akili nilidhani ungejikita kwenye kujibu hayo badala ya General statements unazo zitoa hapa
 
kWanza hujiuliz huo moto wa carifornia imekuwaje umeshindikana kuzimwa na ni vipi unaweza vuka nyumba moja kwenda nyingine wakat nyumba zipo kwenye mpangilio mzur
Hata mimi nimejiuliza sana swali hilo. Moto unao waka huko unachoma kama wa mbugani au misituni tena kipindi cha nyasi kavu........ Vivyo hivyo una waka na kusambaa kwenye makazi na majumba. Kwa teknolojia anayomiliki mmarekani naamini usingesambaa hivyo.... Mimi bado naamini ni Mwenyezi Mungu anatukumbusha kitu juu ya uwepo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…