Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Nawe kuwa mkosoaji wao nawe.Wewe unaona kakosea wapi? Alafu hao wanakosoa wao kazi yao kila siku ni kukosoa tu? Nani anawakosoa wao?
Waandikie hewala, waandikie hoja zako zenye mashiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe kuwa mkosoaji wao nawe.Wewe unaona kakosea wapi? Alafu hao wanakosoa wao kazi yao kila siku ni kukosoa tu? Nani anawakosoa wao?
Kwa nini asianze kukiminya hicho kichwa chako kwanza ili kiwe na akili sawa na sisi binadamu wenzako? Maana kwa sasa akili zako hazina kabisa tofauti na zile za kuku 🐔 eti!!Hawa ni wapuuzi wa kupuuzwa, Bora mama Sasa aminye tu uhuru wa habari, maana hawa kenge hawana shukrani
Tunza wazee wako, wacha Serekali itunze wazee wakeRubbish
Hii nchi imejaa wapumbafu sn, ukitoa ushauri au kukosoa unakuwa unalipwaMosi Hebu tupe majina ya wanaolipwa kuikosoa serikali..
Pili tupe ushahidi wa kimaandishi kuonesha hayo malipo ya kuikosoa serikali yanatokea kwa nani kwenda kwa nani na kwa njia ipi ya malipo...
Tatu tupe mkataba unaoonesha namna wakosoaji wamepewa namna ya kukosoa na unadumu kwa muda upi maana ukosoaji uko duniani kote na hakuna asiyekosolewa..
Kodi ni za akina nani?Tunza wazee wako, wacha Serekali itunze wazee wake
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Maswali ya kipuuzi kabisa haya
Kama hawalipwi ni nini kinawawasha kukosoa hata ambavyo havikosoleki?
Masikini tutakuwa nao siku zote lakini Rais Mwinyi hatakuwepo siku zote.View attachment 1778833unaweza ukadhani nchi ambayo Ni masikini wagonjwa wanalala chini bado inampa mzee wa miaka 96 zawadi ya gari la bei ya kutupwa.....
Nchi ambayo viongozi wake wanatembelea gari ya millioni 400 huku wajawazito wakilala chini na bado wakiambiwa zaeni tu
View attachment 1778834
View attachment 1778837
Kuwa mwanaharakati sio basi kila jambo wewe kupinga tu wakati mwingine penye mazuri unasema ukishakuwa wewe basi kukosoa tu hata zuri unakosoa eti mwanaharakati. Wakati wa JPM wote hawa walikuwa wameufyata sasa naanza kuelewa kumbe JPM aliwajuwa hawa bila fimbo hawaendi. japo sijawahi kuwa fan wa JPM lakini nilikuwa namkosoa nayoona mabaya lakini penye mazuri nilimpa sifa zake. Mama Samia pia yako atawakwaza watu na yako atafanya mema. Mama fanya kazi kwa nia njema mengine ya huku waache kikubwa imani yako na nia yako kufanya mazuri.Leo imenibidi niliongee hili ili niae huru kwa maana moyo unauma kuona uongo uzushi chuki na fitna kwa Mama Samia.
Ninaona ni Kama watu wamejipa ajira ya kudumu ya kukosoa maraisi. Kukosoa sio dhambi Ila inategemea na unachokosoa.
Hadi Sasa sijaona Kama Kuna jambo la kumkosoa Mama Samia, nasema SIJAONA KABISA.
Kuna watu pengine wanalipwa kwa kuikosoa serikali, hivyo serikali ifanye vizuri au vibaya wao wanakosoa tu.
Sasa jiulize unamkosoa mama Samia kwenye lipi? Ni kipi kakosea hadi Sasa hadi muanze midomomidomo?
Mara sijui kwa nini avunje vibanda, Sasa Kama kaona hawafati Sheria kwa nini asivunje?
Mtu anakurupuka anasema ooh kwa nini sijui kampa mwinyi gari, gari kweli? Tena kwa raisi mstaafu ni issue?
Wengine ooh sijui kasababisha mechi isichezwe? Akili za namna gani hizi? Ikatokea ukakutana na kibaka huko mtaani akakukaba utasema pia mama Samia ndio kamtuma?
Hakuna mwenye hoja kabisa ya kukosoa zaidi ya ushabiki tu. Tuache ushabiki tuchape kazi
Wanaojiita wanaharakati na yule jamaa yenu mliekuwa mnamuabudu kule twitter nao kila siku wanatafuta kwa nguvu la kuzusha ili tu Mama Samia aonekane hafai, sijui wenzetu walisaini mikataba ya kukosoa serikali?
Unamkosoa Mama Samia kwa lipi baya? ACHENI hizo, Ila tutaenda sawa maana kukosoa mnasema ni Uhuru wenu Ila hata sisi kuwakemea nyie ni Uhuru wetu
Mama Samia kanyaga twende...............!!
#kazi iendelee#
Na wajanja wachache wataendelea kuwaibia wajinga wengi na kuwaita wanyonge na kujinasibu wanateteaMasikini tutakuwa nao siku zote lakini Rais Mwinyi hatakuwepo siku zote.
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Ndio mnaliowa, Sasa Kama hamlipwi mnawashwa na nini? Ndio kwanza mwezi mmoja tu Ila ujuai mwingiiiHii nchi imejaa wapumbafu sn, ukitoa ushauri au kukosoa unakuwa unalipwa
Wewe unalipa wapi Kodi zaidi ya kula na kulala bure?Kodi ni za akina nani?
Nchi siyo mali ya baba ako acha tuwaze na tukosoe, wewe endelea kuishi kwa dada akoNdio mnaliowa, Sasa Kama hamlipwi mnawashwa na nini? Ndio kwanza mwezi mmoja tu Ila ujuai mwingiii
Sasa ni rasmi wewe ni Zuzu tu kama mazuzu wakubwa wa Lumumba kina Jingalao na Elitwege. Kwa hiyo katiba inataka Rais akosolewe na Wabunge pekee? Weka Ibara hapa tuisome.Kasema waziri walifanya vibaya wabunge wawakosoe vikali.
Sijui kusoma Hamjui?au wewe ni mbunge?
Bila fimbo hawaendi Hawa. Mama Samia chapa fimbo hawaKuwa mwanaharakati sio basi kila jambo wewe kupinga tu wakati mwingine penye mazuri unasema ukishakuwa wewe basi kukosoa tu hata zuri unakosoa eti mwanaharakati. Wakati wa JPM wote hawa walikuwa wameufyata sasa naanza kuelewa kumbe JPM aliwajuwa hawa bila fimbo hawaendi. japo sijawahi kuwa fan wa JPM lakini nilikuwa namkosoa nayoona mabaya lakini penye mazuri nilimpa sifa zake. Mama Samia pia yako atawakwaza watu na yako atafanya mema. Mama fanya kazi kwa nia njema mengine ya huku waache kikubwa imani yako na nia yako kufanya mazuri.