Ninakemea uongo, uzushi na fitna kwa Rais Samia. Wote mnaokosoa hamtafanikiwa

Hawa ni wapuuzi wa kupuuzwa, Bora mama Sasa aminye tu uhuru wa habari, maana hawa kenge hawana shukrani
Kwa nini asianze kukiminya hicho kichwa chako kwanza ili kiwe na akili sawa na sisi binadamu wenzako? Maana kwa sasa akili zako hazina kabisa tofauti na zile za kuku 🐔 eti!!
 
Mama Samia anapaswa kutiwa moyo na kumuombea kwa Mungu amuongoze vema. Watu watake ama wasitake, mama Samia ni Rais na katiba inamtambua hivyo.
 
Hii nchi imejaa wapumbafu sn, ukitoa ushauri au kukosoa unakuwa unalipwa
 
Dawa ni hawa Maraisi wawe wanaiba ili wasije kunyanyasika huko mbeleni watu wanakomaa na Sedan la kuendea Mkuranga.
 
Maswali ya kipuuzi kabisa haya
Kama hawalipwi ni nini kinawawasha kukosoa hata ambavyo havikosoleki?
unaweza ukadhani ni nchi tofauti kumbe nchi ambayo Ni masikini wagonjwa wanalala chini bado inampa mzee wa miaka 96 zawadi ya gari la bei ya kutupwa.....

Nchi ambayo viongozi wake wanatembelea gari ya millioni 400 huku wajawazito wakilala chini na bado wakiambiwa zaeni tu







 
Ngoja tuulize ma auditor ni pesa kiasi gani ya umma inayotakiwa kutumiwa kinyume na utaratibu unaofaa....nasikia kipindi fulani pesa ya umma hata iwe ni jero maelezo yake yakikosekana hata kama unao uwezo wa kuirudisha papo kwa hapo ilikuwa ni mshike mshike kwenda kunyea debe...
 
Unasema Na kuutetea, kwa namna moja upo sahihi na kwa upande mwingine huenda ukawa haupo sahihi, sambamba na hao wazungumzaji juu ya hayo unayoyasema huenda wakawa sahihi au wasiwe sahihi.

jambo la kujiuliza ni, je kulikuwa na ulazima wa zawadi hiyo iliyotolewa kwa gharama ya namna ile? Kama jibu ni ndiyo basi mama na apongezwe.

Serikali imewezaje kutatua kero za wastaafu walioitumikia nchi kwa miaka mingi japo wa 4 tu ambao hawajalipwa fedha zao na madai yao hayafikii thamani ya zawadi? Kama jibu ni serikali imetekeleza basi mama na apongezwe.

Mwisho si kila aikosoae serikali ana chuki nayo, kuna msemo unasema mwenye macho haambiwi tazama.
 
Kuwa mwanaharakati sio basi kila jambo wewe kupinga tu wakati mwingine penye mazuri unasema ukishakuwa wewe basi kukosoa tu hata zuri unakosoa eti mwanaharakati. Wakati wa JPM wote hawa walikuwa wameufyata sasa naanza kuelewa kumbe JPM aliwajuwa hawa bila fimbo hawaendi. japo sijawahi kuwa fan wa JPM lakini nilikuwa namkosoa nayoona mabaya lakini penye mazuri nilimpa sifa zake. Mama Samia pia yako atawakwaza watu na yako atafanya mema. Mama fanya kazi kwa nia njema mengine ya huku waache kikubwa imani yako na nia yako kufanya mazuri.
 
Hii nchi imejaa wapumbafu sn, ukitoa ushauri au kukosoa unakuwa unalipwa
Ndio mnaliowa, Sasa Kama hamlipwi mnawashwa na nini? Ndio kwanza mwezi mmoja tu Ila ujuai mwingiii
 
Kasema waziri walifanya vibaya wabunge wawakosoe vikali.
Sijui kusoma Hamjui?au wewe ni mbunge?
Sasa ni rasmi wewe ni Zuzu tu kama mazuzu wakubwa wa Lumumba kina Jingalao na Elitwege. Kwa hiyo katiba inataka Rais akosolewe na Wabunge pekee? Weka Ibara hapa tuisome.
 
Bila fimbo hawaendi Hawa. Mama Samia chapa fimbo hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…