Huu ndio wakati muafaka wa kuzifuta sheria kandamizi na zile zisizotekelezekaNdo mnakujaga kujuta baadaye kwa sheria uliyoitunga ukidhani unamkomesha fulani au hutaguswa nayo... JPM alikiri hadharani kwamba aliiunga mkono sheria ya viongozi kuzikwa Dodoma lakini hakujua kama angekuwa Rais. Alipopata urais akasema mwili wake haiwezi zikwa kwa wagogo
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Kuna watu, chochote asichopenda kuambiwa ANAKIITA MATUSI
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Guruguja hiloUnamfahamu!?
Wewe Kama Nani?Wewe kama nani?
Kwani mzee mwinyi hastahili kutiwa moyoMama Samia anapaswa kutiwa moyo na kumuombea kwa Mungu amuongoze vema. Watu watake ama wasitake, mama Samia ni Rais na katiba inamtambua hivyo.
Tuliza mshono, usije tatuliwaUnamuuliza mtu usiye mfahamu amesoma hadi wapi, huku wewe mwenyewe ukiwa hata kuandika tu hujui!
Ni wapi nimemtaja mzee Mwinyi?Kwani mzee mwinyi hastahili kutiwa moyo
Hasa hili kundi la mataga , chawaNashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Hoja gani zaidi ya kujaza upuuzi humuUvumilivu wa mawazo tofauti ni shughuli nzito.
Usipovumilia mawazo ya wengine unaweza ita kuwa ni matusi.
Kwani matusi au kashfa za mwendawazimu zina impact gani kwa mtu anayejielewa?
Wanaoongelea umuhimu wa katiba mpya wana hoja siyo matusi. Wanaohoji zawadi za kina Mwinyi wana hoja si matusi hayo. Wanaohoji nyumba za akina Kikwette wana hoja si matusi.
Zijibiwe hoja hizo siyo kushupaza shingo kwenye viroja.
Hoja gani zaidi ya kujaza upuuzi humu
kwan huwa hawaibi, kuna rais wa ccm ambae hajaiba, unafaham akaunt zao benki zina kias ganDawa ni hawa Maraisi wawe wanaiba ili wasije kunyanyasika huko mbeleni watu wanakomaa na Sedan la kuendea Mkuranga.
Wamaina Peanuts ukilinganisha na Maraisi wengine wa Afrika.kwa mfano Uhuru na huyo wa Southkwan huwa hawaibi, kuna rais wa ccm ambae hajaiba, unafaham akaunt zao benki zina kias gan
Kwani si anawakomesha mataga na sukuma gang au?Hawa ni wapuuzi wa kupuuzwa, Bora mama Sasa aminye tu uhuru wa habari, maana hawa kenge hawana shukrani.
mtu hapewi Uhuru wa kukosoa na Samia Bali katiba... Samia sio Mungu, kama ww unamuabudu kivyakoNashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Kwani huyu Samia si ndie yule mlikuwa mnamsifia hapa jana na juzi au?Kwa nini asianze kukiminya hicho kichwa chako kwanza ili kiwe na akili sawa na sisi binadamu wenzako? Maana kwa sasa akili zako hazina kabisa tofauti na zile za kuku [emoji215] eti!!
Kosa la mama ni yeye kujifanya mwanademcrasia!Bila fimbo hawaendi Hawa. Mama Samia chapa fimbo hawa