Ninakubaliana na Rais hakuna vita ngumu kama ya uchumi, tushikamane

Yaani vita ya kiuchumi ndio inawaelekeza muuwe watu na kuiba kura kwenye uchaguzi??
Na bado mtapata mbinyo mpaka mkojoe dagaa
 
Ulaya imejengwa na wenyewe acheni kujidanganya kuwa kila kitu kipo Tz kuanzia madini sijui na ujinga gani? Vita ya uchumi kwa hapa nchini inaletwa na CCM na viongozi wake kuibia wananchi

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Vita ya kiuchumi ni suala la kihistoria kwa nchi za magharibi kunufaika na raslimali zetu kwa bei nafuu, kuhamisha madini, biashara isiyo sawia na kwa mwendelezo wa kuifanya Afrika soko lao na sehemu ya kuchuma au kodi za tax holidays etc. Hivyo ukiweka mifumo ya kuwadhibiti au kujiimarisha mwenyewe mapema ki nchi lazima makampuni yao yapige kelele na hiyo ndiyo vita yenyewe inaanzia hapo. Huo ndio ukweli upende au usipende.
 
Ujinga wako mkubwa.
 
Happy

Happy wazungu unaowashabikia watatunyoosha sisi akina Nani. Na watatunyoosha kivipi...na wewe ni Mkenya kwani haliwezekani uwe mtanzania kwa kufurahia baadhi kunyooshwa
 
Happy


Happy wazungu unaowashabikia watatunyoosha sisi akina Nani. Na watatunyoosha kivipi...na wewe ni Mkenya kwani haliwezekani uwe mtanzania kwa kufurahia baadhi kunyooshwa
Mie ni mtanzania na ndo mana siwezi kufurahia watanzania wenzangu kuuwawa, kutekwa, kubambikiwa kesi na haki zao kupitia sanduku la kura kunyang’anywa
 
Mie ni mtanzania na ndo mana siwezi kufurahia watanzania wenzangu kuuwawa, kutekwa, kubambikiwa kesi na haki zao kupitia sanduku la kura kunyang’anywa
Ni Nani waliouawa, kutekwa na kubambikiwa kesi...wauaji ni Nani...na watekaji ni akina Nani...Sasa hao wazungu unataka wawanyooshe akina Nani? Na wakinyooshwa hao wewe utanufaika vipi?
 
Ni Nani waliouawa, kutekwa na kubambikiwa kesi...wauaji ni Nani...na watekaji ni akina Nani...Sasa hao wazungu unataka wawanyooshe akina Nani? Na wakinyooshwa hao wewe utanufaika vipi?
Ben Saanane, Azory Gwandwa, Rwabaje, watu wa mkuranga 400. Kaka wa wenje, wanachadema singida na wafuasi wa ACT Zanzibar. Wauaji na watejaki ni vyombo vya ulinzi na usalama vya Jiwe wakuu wa izo taasisi na boss wao ambae ndo unaemtetea humu ndo watanyoshwa na wazungu
 
Ok ok Hilo la sijui Ben Saanane, Gwandu huwezi kutupa lawama kwa vyombo vya dola kwani hakuna ushahidi...Hilo la watu 400 wa kibiti inaelekea unazo taarifa nyeti peleka polisi...ila huko Kibiti usisahau mauaji ya watu wa serikali na CCM na pia polisi ..je unayo majina ya watu hao 400 unaodai waliuawa? Wanachadema huko Singida na wafuasi wa A CT wazalendo je walikuwa wanafanya Nini mpaka yawakute yaliyowakuta...usisahau pia mauaji ya makada wa CCM kule Njombe na Tunduma nalia kuchomewa nyumba Kibaha na kwingineko...wakati tunaomboleza vifo vya wote ni vizuri uelewe ndani ya Chadema na pia ACT Wazalendo Kuna magaidi...Askari polisi amechinjwa huko Pemba na makada wa CCM wanauliwa na wauaji ni wafuasi wa Chadema na Sasa ACT Wazalendo...
 

Ukichagua kiongozi aliyeathirika na umasikini ni ngumu Sana kusonga
 
Reactions: Lob
Vita ya uchumi,sio kuiba mali ya umma,mnajenga shule za kata,mnasema Elimu ipo vzr,lakini hakuna mtoto wa waziri anayesoma shule za kata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…