Elia F Michael
Member
- Mar 3, 2018
- 75
- 800
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.