Uchaguzi 2020 Ninakusudia kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Buyungu kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Ninakusudia kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Buyungu kupitia CCM

OK,Kumbe na wewe uliunga mkono juhudi😅 haha,Siasa zimepatwa Awamu hii.
Nadhani Kiongozi unapaswa kujiamini gombea chama chochote ,Si kuhama hama kusaka Ubunge.
Hapo nia inakua ni kusaka Ulaji na si kuwatumikia Wananchi.
 
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.

Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.

Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.

Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.




Nani akupe wewe njaa kali ubunge,huko ccm wewe ni sawa na condom iliyotumika kimboka
 
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.

Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.

Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.

Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.




Kijana usijisumbue, CCM tupo tumejaa labda usubiri 2030! Wakati unatusumbua ukiwa CHADEMA unafikri tulikuwa tunafurahi?
 
Wanaccm tulipokupa ofa ya kuzunguka Tanzania nzima kuangalia mafanikio ya Rais Magufuli ukaingia kingi tulikuwa tunakuchora tu, ulivyojimaliza Ni pale ulipokubari kuvua gwanda, tayari tulishamaliza kazi, huo utendaji kata unakutosha hatuwezi kukupa ubunge. Tena ukizingua hata huo utendaji tunakunyanganya. Hahahahahahahaha
 
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.

Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.

Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.

Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.




Upo kama mdada hakuna point uliyoiandika
 
Mkuu nimeona comments nyingi zimekushambulia sana,pole sana mkuu,ila Mimi katika maisha yangu naamini kuwa mtu pekee anayeweza kunitakia mafanikio ni baba na mama tu,hivyo basi wanaokuvunja moyo wasikuumize kichwa

Kila la kheli mkuu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Vip JPM naye yupo kundi la baba na mama ako?
 
Mkuu nimeona comments nyingi zimekushambulia sana,pole sana mkuu,ila Mimi katika maisha yangu naamini kuwa mtu pekee anayeweza kunitakia mafanikio ni baba na mama tu,hivyo basi wanaokuvunja moyo wasikuumize kichwa

Kila la kheli mkuu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kwenye hili baba na mama hawahusiki. Tunahusika sisi wapiga kura tunaomtukana
 
Wewe bakia na cheo chako cha Afisa mtendaji maana ufahamu wako uliuwacha cdm.
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.

Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.

Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.

Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.




 
Back
Top Bottom