Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani akupe wewe njaa kali ubunge,huko ccm wewe ni sawa na condom iliyotumika kimbokaNinakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.
Kijana usijisumbue, CCM tupo tumejaa labda usubiri 2030! Wakati unatusumbua ukiwa CHADEMA unafikri tulikuwa tunafurahi?Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.
Upo kama mdada hakuna point uliyoiandikaNinakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.
Vip JPM naye yupo kundi la baba na mama ako?Mkuu nimeona comments nyingi zimekushambulia sana,pole sana mkuu,ila Mimi katika maisha yangu naamini kuwa mtu pekee anayeweza kunitakia mafanikio ni baba na mama tu,hivyo basi wanaokuvunja moyo wasikuumize kichwa
Kila la kheli mkuu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kwenye hili baba na mama hawahusiki. Tunahusika sisi wapiga kura tunaomtukanaMkuu nimeona comments nyingi zimekushambulia sana,pole sana mkuu,ila Mimi katika maisha yangu naamini kuwa mtu pekee anayeweza kunitakia mafanikio ni baba na mama tu,hivyo basi wanaokuvunja moyo wasikuumize kichwa
Kila la kheli mkuu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.
Utaisoma namba.. Unadhani una watu wakati ulikuwa kwenye chama chenye watu. Wewe baki kuwa katibu kata tuu..
Umeshaomba ruhusa?
You are out of phase brother. Wakati wako ushapita huna ushawishi kwa wananchi kwa sasa.
Endelea kuvumilia labda utalamba teuzi na sio kuchaguliwa.
hata katibu kata ni nafasi yenye heshima, wewe ni nani hapo ulipo na una kipi cha kujivunia
Sent using Jamii Forums mobile app
hata kama wewe una nyadhifa gani isikupe justifucation ya kudharau vyeo vya wengineTatizo tukiwa humu hatutangazi vyeo au kazi zetu