TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
Karibu sana brother. Umebadilika sana. Umekuwa mwelewa na muungwana mno.
Tutakuunga mkono
Tutakuunga mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu akanunuliwa na CCM kama bidhaaHivi huyu jamaa ndiye yule aliyetaka kumrithi marehemu mwalimu aliyekuwa mbunge wa Buyungu wa Chadema?
matumizi mabaya ya neno comradeKila la kheri Comrade
We si ni ng'ombe alikatwa mkia au ni mwingine? heshima ulikuwa nayo haipo tena baada ya kukubali kununuliwa kama bar-madeNinakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.
Kabisa mkuu huwezi kumuita mtu kama huyu comradematumizi mabaya ya neno comrade
Huyu mjinga anaweza kuuza hata wazazi wake sababu ya maslahi binafsiUnatia huruma sana wewe jamaa, mtu yeyote anaesaliti kama wewe ni vigumu kurudi kwenye ulingo watu wakakuelewa, Aliyeweza mkoani kwenu ni Daniel Nsanzugwanko baada ya kutoka nccr na kuingia ccm lakini wewe sijui kama utaweza
Kama malayahalafu akanunuliwa na CCM kama bidhaa
Umeshaomba ruhusa?
Cdm ilikupaisha subiri uone ukiachwa solembaNinakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi kwasababu mambo aliyoyafanya Mh Rais Magufuli yanatosha kabisa kuitetea CCM.
Hata baadhi ya Majimbo yaliyokuwa Upinzani yanaweza yakapitiwa na Mafanikio ya Mh Rais na CCM.
Nia thabiti pamoja na rekodi zangu za nyuma zinanipa ujasiri wa kurudi Buyungu.
Wanaccm wakiona ninawafaa kwa Sasa nitakuwa tayari kuyavaa majukumu hayo ya Uwakilishi.