Uchaguzi 2020 Ninamshauri Dkt. Magufuli aache kusema alivyofanya na aseme atakavyofanya akichaguliwa tena

Uchaguzi 2020 Ninamshauri Dkt. Magufuli aache kusema alivyofanya na aseme atakavyofanya akichaguliwa tena

Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita..

Mbona kila siku anasema nini atatenda miaka mitano ijayo kwa kila mkoa au wilaya. Jaribu kumsikiliza hadi mwisho na clip zipo YouTube
 
Kwenye kampeni kwanza unatoa ripoti ya ulichofanya kwa wapiga kura
lazima utoe ripoti kwao.Ulienda na ilani ukasema nitafanya hivi sasa ni je ulifanya?

Ukishamaliza kutoa ripoti ndio sasa unaingia kuwaeleza mapya yepi utafanya kwa walio wengi ambayo tayari yapo kwenye ilani ya chama ya 2020-2025.

Ilani hujikita hasa sio kwa walio wachache bali walio wengi ndio maana utakuta inabeba mambo mazito ya kuwasaidia walio wengi katika jamii kwanza kama miradi mikubwa ya maji,umeme,mabarabara nk yanayofaidisha umati wa walio wengi katika jamii kisha ndipo una address ya walio wachache sio kinyume chake.Huanzi na ya walio wachache halafu unamalizia ya walio wengi

Mapya ya CCM Yako kwenye ilani

Kutoa ripoti kwa yale yaliyokwisha fanywa ni lazima kwa kila mgombea awe mgombea uraisi,ubunge au udiwani aeleze kilichofanyika kwanza ndio aendelee kueleza kitakachofanyika.Wananchi lazima wapewe mrejesho ndio maana wabunge wa upinzani wanapata shida sababu hawana ripoti ya mrejesho ya walichofanya wanaishi kwa ahadi hewa tu kila mwaka zisizo na ripoti ya walichofanya

CCM hatuwezi waiga wao
 
Ccm ina ilani yake ya 2020-2025. Hizo ndizo ahadi za nini kitafanyika.
CCM ina ilani yake ndiyo nini hicho? Hii ni ccm ya Magufuli, kwa hiyo kuna ahadi za Magufuli, Magufuli kwanza ndiyo maana Magufuli anasema ametekeleza na anataka mitano tena
 
Kwenye kampeni kwanza unatoa ripoti ya ulichofanya kwa wapiga kura
lazima utoe ripoti kwao.Ulienda na ilani ukasema nitafanya hivi sasa ni je ulifanya?..
Hahaaaa leo naona lumumba mmepoteana hamjalipwa posho nini
 
Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita...
It's too late kwa Magufuli kukikwepa kikombe cha dhambi aliyotutenda watanzania.
 
Hiyo hela vilivyojengwa hivyo vituo vya Afya kaitoa mfukoni mwake?Acha uzuzu hilo ni jukumu na sio hisani,kila Serikali hata ya TLP itafanya hivyo.

Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
Mbona Mbowe alikula pesa za ruzuku na michango ya wabunge?

JPM sio fisadi ndio maana hajala pesa za watanzania, zimefanya kazi kubwa.
 
Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita....
Usitupangie. Nyie ndio wale mafisadi na wenye vyeti feki mliobanwa na awamu ya 5.

Mgombea wetu ataendelea na kampeni hivihivi kwa kuelezea miradi ya ujenzi na ununuzi wa ndege nyingine 5.

Wewe unatumika na mabeberu na usitupangie.
 
Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita....
CCM mnajisifu kuwa wavuvi mahiri lakini la kushangaza mnavua vyura badala ya samaki. Kwa Magufuli mlituvulia bonge la mchura!!!! samaki mkawaacha.

Sasa acheni kutulazimisha kukubaliana na nyie kuwa yule ni samaki, tumemwona chura wenu kwa miaka 5 anavyo rukaruka, imetoshaaaa.
 
Sio kusema tuu aliyofanya, bali amerudia tena mtindo wake was kupiga ngoma na pushup jukwaani.
Pushup zenyewe binge LA kichekesho mtupu! Ngumi zinagusa chini kisha kiuno ndio kinakwenda chini juu kidogo halafu imetoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
 
Wewe mpuuzi polepole atakua hajakulipa posho siku hizi mbili...
7 days to go unaongea utumbo huu..ulikuwa wapi siku zote..!??
Huyu akili zinamrudi kidogo kidogo nadhani baada ya polepole kujinadi wao kuwa na mavi-80 wakati huko mikoani na wilayani watumishi wa chama wakiwemo makatibu hali zao mbaya hata pesa ya kujaza mafuta kwenye magari anayoyanadi ni mpaka waombe ombe sababu pesa zote zinaenda makao makuu huku wao wakirudishiwa kidunchu! Waendelee kuisoma namba hivyo hivyo ili tuongee lugha moya 😀
 
Mbona Mbowe alikula pesa za ruzuku na michango ya wabunge?

JPM sio fisadi ndio maana hajala pesa za watanzania, zimefanya kazi kubwa.
Hata unajua maana ya “ufisadi” wewe darasa la nne failure! Au unadhani ufisadi ni lazima ukwapue pesa kwenye mifuko ya rambo. Hujui hata Rais wako kutembea na begi la pesa na kuwagawia awatakao ni ufisadi? Hizo pesa si za kwake, wa si za kwao chato ni za Umma! Mnatuchelewesha sana nyie wajinga wajinga!
 
Sio kila mtu ni mlevi wa propaganda
Huyu alikuwa kama wewe,ila alitibiwa kwenye hospital zilizojengwa na JPM
2055357_IMG_20190509_080024_528.jpg
 
Back
Top Bottom