Uchaguzi 2020 Ninamshauri Dkt. Magufuli aache kusema alivyofanya na aseme atakavyofanya akichaguliwa tena

Uchaguzi 2020 Ninamshauri Dkt. Magufuli aache kusema alivyofanya na aseme atakavyofanya akichaguliwa tena

Aliondoa FAO la kujitoa, Sasa watu wanateseka

Alipora Bureau De Change
Hii siwezi msahau,ya maduka ya kubadilishia fedha,ule ni unyanganyi wa kutumia silaha.
Kovu la 170K $ linaendelea kuniumiza.
 
Aseme mara ngapi SASA?

Kwa kuwa ni Sheria Tu zinamlazimu akaombe Kura, ilipaswa akae Ikulu tu Hadi siku tena ya kuambiwa anaendelea na kuwepo hapo Ikulu, Kwa kuwa ushindi wake hauna mipaka
 
Aliondoa FAO la kujitoa, Sasa watu wanateseka

Alipora Bureau De Change
Watanzania tukikubali tu aendelee kwa miaka mitano mingine,basi muwe tayari kuporwa si Bureau de change tu,bali hata kuku,bata,ng'ombe,mbuzi na kondoo.
 
Akaunti hii imedukuliwa .@USSR hawezi kufikiria hivi labda roho mtakatifu ameshuka
 
Aseme mara ngapi SASA?

Kwa kuwa ni Sheria Tu zinamlazimu akaombe Kura, ilipaswa akae Ikulu tu Hadi siku tena ya kuambiwa anaendelea na kuwepo hapo Ikulu, Kwa kuwa ushindi wake hauna mipaka
Ninyi ndio mnamponza, uongoo
 
We bwege unafuatilia kampeni za JPM? Husikii ahadi za nini atafanya? Husikii habari za kununua ndege zingine tano na kukamilisha Sgr,we bwege sana.
Kaazi kwelikwe Lissu + Ponda kweli wamewavuruga kwelikweli yaani wamewapoteza vibaya sana

Ona sasa mnaanza kukwaruana wenyewe kwa wenyewe USSR vipi tena mbona mnapoteana kweupe je giza likiingia 28 October mtaonana kweli nyie!!!???

Poleni its too late kushakucha chai inachemka jikoni we unafikiria kuanza kulala saizi

Kudadeki saivi tunawapelekea za chambe tu mpaka mzimike Mxiueszzz!!
 
Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni Mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita

Kwa miaka mitano kila television, magazeti na vyombo vingi vya nje na ndani ya nchi vimeeleza mambo muhimu aliyoyafanya rais Magufuli ikatosha , kwa sasa tunafanya kampeni na wenzetu wananadi sera hivyo sera hushindana na sera na sio kila mtu anazipata na kuzisoma ilani za vyama wengi tunategemea kusikia majukwaani tu.

Tabia ya Watanzania wengi sio kusoma ni kusikia na hizi ilani hazisambazwi sana kwa jamii hivyo kuna haja ya mgombea wetu kuisemea sana tena sana zaidi ya hapa

Kila Mtanzania anafahamu kuwa Rais Magufuli kafanya nini ktk kipindi cha miaka mitano, he is excellent for the maxim so sio habari tena inabaki kuwa legacy kama atamaliza muda wake na hapa tuelewane ubora wa kiongozi unapimwa kwa anavyomalizia utawala wake sio anavyoanza na huu ndio mtihani kwa watawala wengi maana wengi huharibu mwishoni .

Watu wanataka atafanya nini kipya kama atachaguliwa tena na wameelekeza mawazo yao kwenye ajira, mikopo, fao la kujitoa, ongezekeo la mishahara na n.k

Mambo ya ujenzi yameimbwa sana ndani ya miaka 5 na sio habari tena kama tunavyosema katika tasnia ya habari kuwa kama inafahamika ifahamishwe ya nini ?

Please jopo la kampeni mwambieni JPM aseme atafanya nini sio alifanya nini?

USSR
Shida ni kwamba wewe unamfananisha Magufuli ambaye ndiye raisi wako anaesimamia majukumu yote ya nchi hii na huyo Baby wa Amsterdam . Nyie si ndio wa kwanza kuuliza CCM wamewafanyia nini? Mnapoelezwa yaliyofanywa mnaanza kuleta ushubwada wenu.
 
Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni Mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita

Kwa miaka mitano kila television, magazeti na vyombo vingi vya nje na ndani ya nchi vimeeleza mambo muhimu aliyoyafanya rais Magufuli ikatosha , kwa sasa tunafanya kampeni na wenzetu wananadi sera hivyo sera hushindana na sera na sio kila mtu anazipata na kuzisoma ilani za vyama wengi tunategemea kusikia majukwaani tu.

Tabia ya Watanzania wengi sio kusoma ni kusikia na hizi ilani hazisambazwi sana kwa jamii hivyo kuna haja ya mgombea wetu kuisemea sana tena sana zaidi ya hapa

Kila Mtanzania anafahamu kuwa Rais Magufuli kafanya nini ktk kipindi cha miaka mitano, he is excellent for the maxim so sio habari tena inabaki kuwa legacy kama atamaliza muda wake na hapa tuelewane ubora wa kiongozi unapimwa kwa anavyomalizia utawala wake sio anavyoanza na huu ndio mtihani kwa watawala wengi maana wengi huharibu mwishoni .

Watu wanataka atafanya nini kipya kama atachaguliwa tena na wameelekeza mawazo yao kwenye ajira, mikopo, fao la kujitoa, ongezekeo la mishahara na n.k

Mambo ya ujenzi yameimbwa sana ndani ya miaka 5 na sio habari tena kama tunavyosema katika tasnia ya habari kuwa kama inafahamika ifahamishwe ya nini ?

Please jopo la kampeni mwambieni JPM aseme atafanya nini sio alifanya nini?

USSR
There is no future without the past.
 
Usitupangie. Nyie ndio wale mafisadi na wenye vyeti feki mliobanwa na awamu ya 5.

Mgombea wetu ataendelea na kampeni hivihivi kwa kuelezea miradi ya ujenzi na ununuzi wa ndege nyingine 5.

Wewe unatumika na mabeberu na usitupangie.
USSR njoo uone jinsi ccm mlivyokosa akili. Naamini hili jibu angepewa SalarySlip au Mshanajr ungekuja mbio angalau ku'like'!!!
 
Back
Top Bottom