roselina john
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 758
- 945
Kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jichekeleshe tu kwake!Wacha na yeye aje akufurahishe zaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
5tena
Hii siwezi msahau,ya maduka ya kubadilishia fedha,ule ni unyanganyi wa kutumia silaha.Aliondoa FAO la kujitoa, Sasa watu wanateseka
Alipora Bureau De Change
Wewe unatumika na mabeberu. Sisi mwendo ni uleule wa kunadi Barabara na ndegeKuna haja ya kusema zaidi na zaidi
Watanzania tukikubali tu aendelee kwa miaka mitano mingine,basi muwe tayari kuporwa si Bureau de change tu,bali hata kuku,bata,ng'ombe,mbuzi na kondoo.Aliondoa FAO la kujitoa, Sasa watu wanateseka
Alipora Bureau De Change
Ninyi ndio mnamponza, uongooAseme mara ngapi SASA?
Kwa kuwa ni Sheria Tu zinamlazimu akaombe Kura, ilipaswa akae Ikulu tu Hadi siku tena ya kuambiwa anaendelea na kuwepo hapo Ikulu, Kwa kuwa ushindi wake hauna mipaka
Kaazi kwelikwe Lissu + Ponda kweli wamewavuruga kwelikweli yaani wamewapoteza vibaya sanaWe bwege unafuatilia kampeni za JPM? Husikii ahadi za nini atafanya? Husikii habari za kununua ndege zingine tano na kukamilisha Sgr,we bwege sana.
Shida ni kwamba wewe unamfananisha Magufuli ambaye ndiye raisi wako anaesimamia majukumu yote ya nchi hii na huyo Baby wa Amsterdam . Nyie si ndio wa kwanza kuuliza CCM wamewafanyia nini? Mnapoelezwa yaliyofanywa mnaanza kuleta ushubwada wenu.Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni Mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita
Kwa miaka mitano kila television, magazeti na vyombo vingi vya nje na ndani ya nchi vimeeleza mambo muhimu aliyoyafanya rais Magufuli ikatosha , kwa sasa tunafanya kampeni na wenzetu wananadi sera hivyo sera hushindana na sera na sio kila mtu anazipata na kuzisoma ilani za vyama wengi tunategemea kusikia majukwaani tu.
Tabia ya Watanzania wengi sio kusoma ni kusikia na hizi ilani hazisambazwi sana kwa jamii hivyo kuna haja ya mgombea wetu kuisemea sana tena sana zaidi ya hapa
Kila Mtanzania anafahamu kuwa Rais Magufuli kafanya nini ktk kipindi cha miaka mitano, he is excellent for the maxim so sio habari tena inabaki kuwa legacy kama atamaliza muda wake na hapa tuelewane ubora wa kiongozi unapimwa kwa anavyomalizia utawala wake sio anavyoanza na huu ndio mtihani kwa watawala wengi maana wengi huharibu mwishoni .
Watu wanataka atafanya nini kipya kama atachaguliwa tena na wameelekeza mawazo yao kwenye ajira, mikopo, fao la kujitoa, ongezekeo la mishahara na n.k
Mambo ya ujenzi yameimbwa sana ndani ya miaka 5 na sio habari tena kama tunavyosema katika tasnia ya habari kuwa kama inafahamika ifahamishwe ya nini ?
Please jopo la kampeni mwambieni JPM aseme atafanya nini sio alifanya nini?
USSR
Ipo siku utaenda kuzaa kwenye vituo vya afya vilivyojengwa na Ccm.Hizi akili hizi..!
Wewe Ni wakuhurumiwa tu!
Hili la kizipunguza hiz Bureau De Change limesaidia sana kupunguza utakatishaji wa pesaAliondoa FAO la kujitoa, Sasa watu wanateseka
Alipora Bureau De Change
There is no future without the past.Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni Mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita
Kwa miaka mitano kila television, magazeti na vyombo vingi vya nje na ndani ya nchi vimeeleza mambo muhimu aliyoyafanya rais Magufuli ikatosha , kwa sasa tunafanya kampeni na wenzetu wananadi sera hivyo sera hushindana na sera na sio kila mtu anazipata na kuzisoma ilani za vyama wengi tunategemea kusikia majukwaani tu.
Tabia ya Watanzania wengi sio kusoma ni kusikia na hizi ilani hazisambazwi sana kwa jamii hivyo kuna haja ya mgombea wetu kuisemea sana tena sana zaidi ya hapa
Kila Mtanzania anafahamu kuwa Rais Magufuli kafanya nini ktk kipindi cha miaka mitano, he is excellent for the maxim so sio habari tena inabaki kuwa legacy kama atamaliza muda wake na hapa tuelewane ubora wa kiongozi unapimwa kwa anavyomalizia utawala wake sio anavyoanza na huu ndio mtihani kwa watawala wengi maana wengi huharibu mwishoni .
Watu wanataka atafanya nini kipya kama atachaguliwa tena na wameelekeza mawazo yao kwenye ajira, mikopo, fao la kujitoa, ongezekeo la mishahara na n.k
Mambo ya ujenzi yameimbwa sana ndani ya miaka 5 na sio habari tena kama tunavyosema katika tasnia ya habari kuwa kama inafahamika ifahamishwe ya nini ?
Please jopo la kampeni mwambieni JPM aseme atafanya nini sio alifanya nini?
USSR
USSR njoo uone jinsi ccm mlivyokosa akili. Naamini hili jibu angepewa SalarySlip au Mshanajr ungekuja mbio angalau ku'like'!!!Usitupangie. Nyie ndio wale mafisadi na wenye vyeti feki mliobanwa na awamu ya 5.
Mgombea wetu ataendelea na kampeni hivihivi kwa kuelezea miradi ya ujenzi na ununuzi wa ndege nyingine 5.
Wewe unatumika na mabeberu na usitupangie.