.Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita...
Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita...
Wacha na yeye aje akufurahishe zaidi🤣🤣🤣🤣Jamani
Magufuli lazima avune alichopanda kwa miaka hii mitano! Kifupi ni kwamba "tutamfurahisha"!
Katutesa sana huyu!
Naona wazee wa lumumba mnaparuana au hamjuani? sijui kama leo mtapata hela zenu za kumtukana lissuWe bwege unafuatilia kampeni za JPM? Husikii ahadi za nini atafanya? Husikii habari za kununua ndege zingine tano na kukamilisha Sgr,we bwege sana.
Mkuu mbona mambo yote yapo kwenye ilani ya uchaguzi, unakwama wapi?Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita....
Sijakataa kwamba yapo kwenye ilani ishi ni je watanzania wanazisoma nani anazo au nn maana ya kunadi ilani ?Kwenye kampeni kwanza unatoa ripoti ya ulichofanya kwa wapiga kura
lazima utoe ripoti kwao.Ulienda na ilani ukasema nitafanya hivi sasa ni je ulifanya?...
Mkuu mbona mambo yote yapo kwenye ilani ya uchaguzi, unakwama wapi?
Sasa kama wewe umesomeshwa na umefanya kazi CCM si upeleke ushauri wako ofisini kwa waliokusomesha mkuu?Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita....
Kwani ninyi hamjuani?
Huyu ni mwenzenu Ametoa ushauri mzuri Ameona kuna kasoro kwenye kampeni za mkulu
Ilikuwa vyema ungezingatia ushauri huu kuliko kumtukana though it's too late
Ninyi ndio mnaomdanganya mnufaike ninyi na familia zenu
Ficha ujinga wako walau kwa sekunde chache
Deal na reality bro bra bru kha
Wasingeweza mpango wa Mungu ulikuwa hauzuilikiMgombea wako chalii hoi bin tabani. Amebaki kusubiri Kudra za NEC tu. Amabazo nazo zimeshashindwa.
Wangecheza vizuri kuzuia Lissu asigombee......ilikuwa mistake kubwa sana kwa maccm.
Wanaukumbi kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mwanaccm kindakindaki na nyuzi zangu humu zinafahamika tangu nimejiunga na chama hiki miongo kadhaa iliyopita
Kwa miaka mitano kila television,magazeti na vyombo vingi vya nje na ndani ya nchi vimeeleza mambo muhimu aliyoyafanya rais magufuli ikatosha , kwa sasa tunafanya kampeni na wenzetu wananadi sera hivyo sera hushindana na sera na sio kila mtu anazipata na kuzisoma ilani za vyama wengi tunategemea kusikia majukwaani tu.
Tabia ya watanzania wengi sio kusoma ni kusikia na hizi ilani hazisambazwi sana kwa jamii hivyo kuna haja ya mgombea wetu kuisemea sana tena sana zaidi ya hapa
Kila Mtanzania anafahamu kuwa Rais Magufuli kafanya nini ktk kipindi cha miaka mitano , he is excellent for the maxim so sio habari tena inabaki kuwa legacy kama atamaliza muda wake na hapa tuelewane ubora wa kiongozi unapimwa kwa anavyomalizia utawala wake sio anavyoanza na huu ndio mtihani kwa watawala wengi maana wengi huharibu mwishoni .
Watu wanataka atafanya nini kipya kama atachaguliwa tena na wameelekeza mawazo yao kwenye ajira,mikopo, fao la kujitoa, ongezekeo la mishahara na n.k
Mambo ya ujenzi yameimbwa sana ndani ya miaka 5 na sio habari tena kama tunavyosema katika tasnia ya habari kuwa kama inafahamika ifahamishwe ya nini ?
Please jopo la kampeni mwambieni JPM aseme atafanya nini sio alifanya nini?
USSR
Safi sana! Naona mmeanza kuparurana wenyewe kwa wenyeweWe bwege unafuatilia kampeni za JPM? Husikii ahadi za nini atafanya? Husikii habari za kununua ndege zingine tano na kukamilisha Sgr,we bwege sana.
Mmepoteana wazee wa lumumbaUsitupangie. Nyie ndio wale mafisadi na wenye vyeti feki mliobanwa na awamu ya 5.
Mgombea wetu ataendelea na kampeni hivihivi kwa kuelezea miradi ya ujenzi na ununuzi wa ndege nyingine 5.
Wewe unatumika na mabeberu na usitupangie.
Akamatie wapi🤣🤣🤣🤣Mkuu hawa ni Vilaza sana wamechanganyikiwa mpaka wanapoteana nimecheka sana lisu kamatia hapohapoView attachment 1606639View attachment 1606640View attachment 1606641View attachment 1606642