Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
Upo sahihi unakosea sehemu ndogo, unatakiwa iyo milioni moja yote umpe baba mkiwa chemba., mama asijue kabisa kama kuna hata senti moja ambaoyo umempa baba.
 
hata haukosei mwaya maana ile ya mama ni yake na ile ya baba itatumika nyumbani so ile unayomuongezea inakua yake tu


ila hela zote hizo unatoa wapi mwenzetu ni freemason au 😂
Watu kweli tumetofautiana, yaani 1.5m tu Kwa mzazi ndio mnasema hela yote hiyo?
 
sasa kwani ni ndogo?

naomba 10k basi😊

sasa kwani ni ndogo?

naomba 10k basi😊
1.5m si hela ndogo lakini si pesa ya kulalamikia kama unampa mzazi ukimtembelea. Na isitoshe inategemea hao wazazi unawatembelea mara ngapi Kwa mwaka.
Ila ni fedha kubwa kumpa usiemjua au Malaya. I think that is understandable?!
 
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
Upo sahihi
 
1.5m si hela ndogo lakini si pesa ya kulalamikia kama unampa mzazi ukimtembelea. Na isitoshe inategemea hao wazazi unawatembelea mara ngapi Kwa mwaka.
Ila ni fedha kubwa kumpa usiemjua au Malaya. I think that is understandable?!
unadhani hata tunawaza udogo basi au ukubwa ? kila mtu anatamani hata awe anatoa 20m au hata na zaidi kwa mzazi wake kila mwezi au pengine kila wiki

with this economy 😂😂😂ambayo hela ngumu na ukiishika haitoshi ndo maaana umeona wengi tumeuliza like hela yote hiyo anatoa wapi

mengine ni blabla za Jf 😊
 
Back
Top Bottom