Ninani basi aliyewaambia wabongo pilau lazima ipikwe siku ya sikukuu?

Ninani basi aliyewaambia wabongo pilau lazima ipikwe siku ya sikukuu?

Pilau ni tamu, lkn sio kwa kula siku zote, sasa ili utamu uwe utamu kolea, ndo wahenga wakasema liwe linapikwa sikukuu.

Tena ikiwezekana itungwe sheria ya lishe itakayo piga marufuku kupika pilau kama hakuna sikukuu au sherehe.

Hasa hawa mama lishe wanaharibu sana maana na heshima ya pilau.
Tena kupangiana mkuu
 
Japo wengi mnatamani, ila humo kuna mate, kamasi, nyewle, vinyesi, n,k kiwe kimeandaliwa nyumbani au kwenye restaurant, n.k.

Sisi wabongo ni wachafu sana na hatuna kinyaa japo kimavazi unaweza kuona ni wasafi.

Mtanisamehe.
Sijakuelewa mkuu
 
Pilau linahutaji maandalizi mengi kidogo tofauti na wali, pia pilau mwenzake nyama.
Unaposema pilau linatofautian na wali mweupe kwa buku 2 sio kweli jombaa

Pilau la sikukuu lina vikorombwezo vingi ambavyo kuviandaa kwa siku ya kawaida inakubidi utenge muda mwingi kwa kazi hiyo tu.
 
Pilau linahutaji maandalizi mengi kidogo tofauti na wali, pia pilau mwenzake nyama.
Unaposema pilau linatofautian na wali mweupe kwa buku 2 sio kweli jombaa

Pilau la sikukuu lina vikorombwezo vingi ambavyo kuviandaa kwa siku ya kawaida inakubidi utenge muda mwingi kwa kazi hiyo tu.
Siyo kweli. ukiingia ndani saana haya ni mautundu tu ya upishi mkuu hayo makolobwezo uyasemayo ni utundu tu.

Hata wali wapo wanaopika kwa mbwembwe mno hadi unaogopa yaani utofauti inakuwa ile rangi tu (palau masala )

kama ukibisha tuweke mahitaji hapa ya pilau na wali hapa nami ni mpishi kwa level yangu najua abc
 
Siyo kweli. ukiingia ndani saana haya ni mautundu tu ya upishi mkuu hayo makolobwezo uyasemayo ni utundu tu.

Hata wali wapo wanaopika kwa mbwembwe mno hadi unaogopa yaani utofauti inakuwa ile rangi tu (palau masala )

kama ukibisha tuweke mahitaji hapa ya pilau na wali hapa nami ni mpishi kwa level yangu najua abc
Vikorombwezo vinavyoendana na pilau kama kachumbari, chachandu, juice /soda ndivyo nilivyomaanisha
 
Ukifa halafu ukafufuka na ukakuta Kuna pilau basi akili itakutuma kuwa Leo Kuna sikukuu au sherehe Fulani kubwa.

Ukipiga mahitaji ya pilau na ya wali hakika ongezeko lake halizidi buku2-3 Hivi.

Zaidi ya yote kwenye biblia sijawahi ona kama imeandikwa kuwa kwenye sikukuu pikeni pilau.

Kule Kwa wenzetu wao huita Cha mtume labda imeandikwa Sina hakika.

Leo ni mwaka mpya hapa home Nina madogo karibia Watoto wote wa majirani Huwa wanacheza karibu na nyumba yangu na Leo walikuwa wanatambiana kuwa wamepika pilau na nyama ya kuku mwingine akasema wao pilau na maini kia mtoto alimtambia mwenzake kile kilichopikwa na dhahiri pilau ilitajwa.

Nimejiuliza siku nyingi Kuna ulazima Gani wa pilau kupikwa siku ya sikukuu tu. Pilau Ina maajabu gani Hadi iwe special kiasi hiki?

Wanawake naombeni majawabu maana hata kwangu Kila sikukuu lazima pilau iwepo licha ya kuwa Mimi sio mshabiki wa chakula hiki.

Hata humu jf 96% watu wamekula pilau ama majirani zao wamekula pilau.

Ebu Leo niambieni upekee wa pilau wakuu.

View attachment 3190042
Sikukaribishi tena kwangu, kumbe ulikuwa unapiga picha pilau letu. Yote haya ni majanga ya CCM.
 
Vikorombwezo vinavyoendana na pilau kama kachumbari, chachandu, juice /soda ndivyo nilivyomaanisha
Hivyo ni ziada tu hata jkwenye wali unaweza weka mkuu. kifupi mapishi yanatofautiana sana kati mtu na mtu na jamii hii kwa jamii nyingine. wee angalia samaki anavyopikwa na wachina niliwahi ona clip moja viungo zaidi ya 17 kwenye mboga moja nayo ni samaki ....wale jamaa hapana wanaweka hadi na magome ya miti,mizizi na majani bado viungo vya kimiminika asee mchuzi unakuwa mweusi kama mkaa
 
Pilau ni tamu, lkn sio kwa kula siku zote, sasa ili utamu uwe utamu kolea, ndo wahenga wakasema liwe linapikwa sikukuu.

Tena ikiwezekana itungwe sheria ya lishe itakayo piga marufuku kupika pilau kama hakuna sikukuu au sherehe.

Hasa hawa mama lishe wanaharibu sana maana na heshima ya pilau.
Hoja imekubalika
 
Hivyo ni ziada tu hata jkwenye wali unaweza weka mkuu. kifupi mapishi yanatofautiana sana kati mtu na mtu na jamii hii kwa jamii nyingine. wee angalia samaki anavyopikwa na wachina niliwahi ona clip moja viungo zaidi ya 17 kwenye mboga moja nayo ni samaki ....wale jamaa hapana wanaweka hadi na magome ya miti,mizizi na majani bado viungo vya kimiminika asee mchuzi unakuwa mweusi kama mkaa
Mi naongelea kikwetu kwetu mkuu , familia zetu hatuweki vikorombwezo vingi kwenye vyakula vya kila siku ila inapofika sikukuu sasa ndio vile vyote wanaweka sasa.

Mtu katoka job kachoka aanze kuandaa kachumbari, sijui chachandu atengeneze juice wakati anaweza tia mchele kwenye rice cooker akasubiri wali chap.
 
Ukifa halafu ukafufuka na ukakuta Kuna pilau basi akili itakutuma kuwa Leo Kuna sikukuu au sherehe Fulani kubwa.

Ukipiga mahitaji ya pilau na ya wali hakika ongezeko lake halizidi buku2-3 Hivi.

Zaidi ya yote kwenye biblia sijawahi ona kama imeandikwa kuwa kwenye sikukuu pikeni pilau.

Kule Kwa wenzetu wao huita Cha mtume labda imeandikwa Sina hakika.

Leo ni mwaka mpya hapa home Nina madogo karibia Watoto wote wa majirani Huwa wanacheza karibu na nyumba yangu na Leo walikuwa wanatambiana kuwa wamepika pilau na nyama ya kuku mwingine akasema wao pilau na maini kia mtoto alimtambia mwenzake kile kilichopikwa na dhahiri pilau ilitajwa.

Nimejiuliza siku nyingi Kuna ulazima Gani wa pilau kupikwa siku ya sikukuu tu. Pilau Ina maajabu gani Hadi iwe special kiasi hiki?

Wanawake naombeni majawabu maana hata kwangu Kila sikukuu lazima pilau iwepo licha ya kuwa Mimi sio mshabiki wa chakula hiki.

Hata humu jf 96% watu wamekula pilau ama majirani zao wamekula pilau.

Ebu Leo niambieni upekee wa pilau wakuu.

View attachment 3190042
Kaka Kuna watu wanatatizo la mdomo kutofunga Sasa kwa picha hizi tegemea kuona wamekomenti maneno yasyoeleweka maana mate yatajaa kwenye screen za simu zao
 
Pilau ikipikwa kila siku itapungua ule uthamani wake na umuhimu wake,itaonekana ni chakula cha kawaida tu,Sikukuu lazima kuwe na vitu special,

Ndio maana hata watoto huvaa nguo mpya,na wanajua kua siku ya sikukuu lazima wavae nguo mpya.
 
Back
Top Bottom