Enock gabriel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2021
- 348
- 321
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tatizo ni sehemu ya makuziNi tatizo na niache haraka? Mimi ni mwanaume nina 23 mpaka sasa. Shida ni kuwa naogopa kutongoza nahofia kukataliwa yaani nahisi nitachanganyikiwa siku nikikataliwa. Napenda sana tu mademu ila nahofia hicho kitu, pia ni rijali! Naogopa sana kukataliwa sijui hata nifanyeje!
Uzi mzuri kiongoziSio tatizo ni sehemu ya makuzi
Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika). Naongelea mabadiliko ya makuzi kihomoni, kimtazamo, kimahusiano na kifikra pia. Kwanza lazima...www.jamiiforums.com
Napenda sana tu mademu ila nahofia hicho kitu, pia ni rijali! Naogopa sana kukataliwa sijui hata nifanyeje!
Kama una hela wala hautongozi...unawabia tu pamoja na dauNi tatizo na niache haraka?
Mimi ni mwanaume nina 23 mpaka sasa. Shida ni kuwa naogopa kutongoza nahofia kukataliwa yaani nahisi nitachanganyikiwa siku nikikataliwa.
Napenda sana tu mademu ila nahofia hicho kitu, pia ni rijali! Naogopa sana kukataliwa sijui hata nifanyeje!
View attachment 1766296
Zaidi soma:
[emoji736][emoji1545][emoji817][emoji1548][emoji1534]Uzi mzuri kiongozi
Kutwa mala sitaPiga punyeto achana na uwaogopao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumia madalali wa mapenzi
Kutongoza kwa mwanaume ni kama freestyle(mtindo huru) tu, so uskaze saaana ubongo kijana.
SUKAH
AiseeNi tatizo na niache haraka?
Mimi ni mwanaume nina 23 mpaka sasa. Shida ni kuwa naogopa kutongoza nahofia kukataliwa yaani nahisi nitachanganyikiwa siku nikikataliwa.
Napenda sana tu mademu ila nahofia hicho kitu, pia ni rijali! Naogopa sana kukataliwa sijui hata nifanyeje!
View attachment 1766296
Zaidi soma: