Super Don
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,978
- 1,781
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlioshindwa mnatia watu moyoooMkuu una tatizo kubwa, yaaani unaogopa kukataliwa na mwanamke, hebu jiamini sio kila unayempenda na yeye atakupenda. Wasilisha wazo lako kwa ulaini na kwa kubembeleza, na usitake upate jibu hapo hapo, mpe mda na utulie. Kumbuka adui yako mkubwa ni kuogopa kukataliwa sio tu kwenye mapenzi na sehemu yoyote.
Una maana gani tulioshindwaMlioshindwa mnatia watu moyooo
Ukute ww mwenyewe ni zege domoUna maana gani tulioshindwa
Tengeneza mazingira yawewe kutongozwaNi tatizo na niache haraka?
Mimi ni mwanaume nina 23 mpaka sasa. Shida ni kuwa naogopa kutongoza nahofia kukataliwa yaani nahisi nitachanganyikiwa siku nikikataliwa.
Napenda sana tu mademu ila nahofia hicho kitu, pia ni rijali! Naogopa sana kukataliwa sijui hata nifanyeje!
View attachment 1766296
Zaidi soma:
Domo zegeUkute ww mwenyewe ni zege domo
23 yupo chuo aisee acha kuwapanga watu wawe na stress kama mtu hataki kuliwa acha aende akakiuze huko.Mkuu kuwa spesific hapa shida ni itakua kipato aisee maana kama huna hata ishirini elfu ambayo hutojuta kuitumia mkupuo ni ngumu kutongoza
Huyu nikatoto kanaanza kutongoza kaache bhana ataishia kubaya hakawezi hata kutongozaNikupe link za malayah telegram ujipigie
Ni tatizo na niache haraka?
Mimi ni mwanaume nina 23 mpaka sasa. Shida ni kuwa naogopa kutongoza nahofia kukataliwa yaani nahisi nitachanganyikiwa siku nikikataliwa.
Napenda sana tu mademu ila nahofia hicho kitu, pia ni rijali! Naogopa sana kukataliwa sijui hata nifanyeje!
View attachment 1766296
Zaidi soma:
Ndiyo mbinu yako nini gwankajaa?😂Tongoza randomly.. [emoji3] sio habari ya kukomaa na mtu mmoja.
Ukichukua namba 10 ,hawawezi kukukataa wote hata wawili watakubali.
[emoji3][emoji3]Ndiyo mbinu yako nini gwankajaa?[emoji23]
Naskia huwa unajaribu hata namba 20 ila zote unakula za uso mwee😂😂[emoji3][emoji3]
Acha tu [emoji28] na hata jf pm zenyewe hamjibu!Naskia huwa unajaribu hata namba 20 ila zote unakula za uso mwee[emoji23][emoji23]