Ninaomba Jukwaa letu la JamiiForums liwahoji Viongozi wakuu wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao; kwa haya Yanayoendelea nchini mwetu

Wewe tu ya Mdude ikikupwaya utasema tukutafutie yenye kukukolea vizuri.ku inye- CCM yako: Kujifuta muhimu kama ma.vi yametoka, ili kazi iendelee, vinginevyo utakoswa wateja kwa uchafu na utaondolewa kwenye Lumumba Payroll.
Nyie wafuasi wa chadema nan anayewafundisha matusi?
 
Kwenye masuala ya mtandao hiyo sheria kuna wakati inatumika vibaya kama fimbo ya kuwatia adabu wakosoaji wa serikali na ndio maana wengi wanatetewa.
Msaada wa kisheria ni haki ya kila mtuhumiwa mkuu.
Kama yupi kaonewa kwa ssheria hio?sativa au ?maana wote waliokamatwa kwa kosa ilo kweli wamefanya ila tulivo wajinga tunatetea uovu afu tunataka serikali itende haki wakati cc haki hatutaki
 
Vipi yule kada wa CCM ambaye gari yake ilikamatwa ikiwa Ina WAHAMIAJI HARAMU huku inapeperusha bendera ya ccm, unalizungumziaje hilo??
 
Uache kuhoji majizi na mafisadi mlionao sisiemu wanaofisidi nchi ukawahoji CDM kwani wanaongoza sehemu gani?
 
Kama yupi kaonewa kwa ssheria hio?sativa au ?maana wote waliokamatwa kwa kosa ilo kweli wamefanya ila tulivo wajinga tunatetea uovu afu tunataka serikali itende haki wakati cc haki hatutaki
Kosa lake lipi
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1722754346415.jpg
    36.4 KB · Views: 2
UWT ifike sehemu muanze kutumia akili
 
Kilaza
 
Weka kapicha ka selfie yako upande wa bega tumbo na ma...lio kidogo yaonekane ili tujadili vizuri.
 
Vipi yule kada wa CCM ambaye gari yake ilikamatwa ikiwa Ina WAHAMIAJI HARAMU huku inapeperusha bendera ya ccm, unalizungumziaje hilo??
Yule alikuwa mwanachama wa chadema
 
Huu uzi ni mwiba kwa ufipa
 
Huu upupu wako ungeulekeza kwa Msajili wa vyama,unataka jukwaa hili litumike kama kibaraka wa CCM kupambana na Chadema jambo ambalo baadhi ya moderators wameshalianzisha.
 
Tuanze kwanza na wale wa CCM sababu wama maslahi na nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…