Ninaomba mnijulishe taasisi mnazozifahamu kuwa zinakopesha pikipiki

Ninaomba mnijulishe taasisi mnazozifahamu kuwa zinakopesha pikipiki

Bexb

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
715
Reaction score
1,619
Habari wakuu.
Ninaomba mnijulishe taasisi mnazozifahamu kuwa zinakopesha pikipiki kwa ajili ya bodaboda.
Nahitaji kujua zile ambazo zina masharti nafuu pasipo dhamana ambazo vijana wengi wamekua wakikosa lakini pia zisizo na mlolongo mrefu sana wa kupata hizo pikipiki. Ukinijulisha mahali ofisi zao zilipo na mawasiliano yao itakua tumesaidia wengi zaidi
Shukrani
 
WATU microfinance wapo Mwenge, hawa initial deposit 300,000
FINCA wapo nchi nzima hawa wanakopesha brand moja tu ya wahindi HERO HUNTER initial deposit 500,000 zilizobakia unalipa ndani ya mwaka.
EQUITY Bank wanahitaji approx. deposit ya 1,000,000 at least
YETU microfinance wapo Dar Ifakara n.k
BAYPORT Kwa wafanyakazi WA serikali tu

Tusubirie wengine waje
 
WATU microfinance wapo Mwenge, hawa initial deposit 300,000
FINCA wapo nchi nzima hawa wanakopesha brand moja tu ya wahindi HERO HUNTER initial deposit 500,000 zilizobakia unalipa ndani ya mwaka.
EQUITY Bank wanahitaji approx. deposit ya 1,000,000 at least
YETU microfinance wapo Dar Ifakara n.k
BAYPORT Kwa wafanyakazi WA serikali tu

Tusubirie wengine waje
Shukran sana mkuu. Hapo ninaona hao WATU ndio nafuu zaidi. Huwa hawana longolongo kwenye kutoa hizo pikipiki ukikidhi mashart yao? Ile ya kukwambia mara pikipiki zimeisha subiri hadi mwezi ujao, au ukiritimba wa aina nyinginezo?
 
WATU microfinance wapo Mwenge, hawa initial deposit 300,000
FINCA wapo nchi nzima hawa wanakopesha brand moja tu ya wahindi HERO HUNTER initial deposit 500,000 zilizobakia unalipa ndani ya mwaka.
EQUITY Bank wanahitaji approx. deposit ya 1,000,000 at least
YETU microfinance wapo Dar Ifakara n.k
BAYPORT Kwa wafanyakazi WA serikali tu

Tusubirie wengine waje
Kwa mikoa ya mbeya nenda TULIA TRUST na 500k unapewa chopa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya bodaboda za pale kituo cha Mbuyuni Salasala jijini Dar wamekopa WATU Microfinance, jamaa wapo vizuri masharti yao ni kopi ya kitambulisho cha taifa, barua ya utambulisho ya kwako na mdhamini wako mwenye kazi au makazi maalumu na pesa kiasi cha laki3.
 
Asilimia kubwa ya bodaboda za pale kituo cha Mbuyuni Salasala jijini Dar wamekopa WATU Microfinance, jamaa wapo vizuri masharti yao ni kopi ya kitambulisho cha taifa, barua ya utambulisho ya kwako na mdhamini wako mwenye kazi au makazi maalumu na pesa kiasi cha laki3.
Shukrani sana mkuu
 
Vipi ulifanikiwa kuwasiliana nao mkuu na vipi utaratibu wao
Mkuu bilifanyia kazi taarifa za wadau humu, kati ya taasisi zilizotajwa hapo juu WATU CREDIT ndio wenye masharti nafuu zaidi kwa maoni yangu.
Kwa pikipiki ya TVS HLX125 ipo hivi:
1. Hela ya kianzio unatakiwa kutoa laki tatu siku unakabidhiwa pikipiki
2. Malipo kila wiki 56,200. Kwa muda wa miezi 15
3. Wanahitaji TIN certificate yako halisi na kitambulisho chochote
4. Barua ya utambulisho wa serikali ya mtaa
5. ID ya mdhamini.
Mashart yao ni hayo wengine niliowatafiti niliona wakiwa na mashart magumu kidogo kwa anayeanza maana kianzio huwa kikubwa zaidi
 
Mkuu bilifanyia kazi taarifa za wadau humu, kati ya taasisi zilizotajwa hapo juu WATU CREDIT ndio wenye masharti nafuu zaidi kwa maoni yangu.
Kwa pikipiki ya TVS HLX125 ipo hivi:
1. Hela ya kianzio unatakiwa kutoa laki tatu siku unakabidhiwa pikipiki
2. Malipo kila wiki 56,200. Kwa muda wa miezi 15
3. Wanahitaji TIN certificate yako halisi na kitambulisho chochote
4. Barua ya utambulisho wa serikali ya mtaa
5. ID ya mdhamini.
Mashart yao ni hayo wengine niliowatafiti niliona wakiwa na mashart magumu kidogo kwa anayeanza maana kianzio huwa kikubwa zaidi
Tunawapataje hawa kwa sisi wa mikoani hasa Kanda ya ziwa?
 
Hiki hapa

Screenshot_20220411-214047_WhatsApp.jpg
 
Mkuu bilifanyia kazi taarifa za wadau humu, kati ya taasisi zilizotajwa hapo juu WATU CREDIT ndio wenye masharti nafuu zaidi kwa maoni yangu.
Kwa pikipiki ya TVS HLX125 ipo hivi:
1. Hela ya kianzio unatakiwa kutoa laki tatu siku unakabidhiwa pikipiki
2. Malipo kila wiki 56,200. Kwa muda wa miezi 15
3. Wanahitaji TIN certificate yako halisi na kitambulisho chochote
4. Barua ya utambulisho wa serikali ya mtaa
5. ID ya mdhamini.
Mashart yao ni hayo wengine niliowatafiti niliona wakiwa na mashart magumu kidogo kwa anayeanza maana kianzio huwa kikubwa zaidi

Shukran sana kaka je unaweza kukopa pikipiki 2 na Zaidi ?
 
Shukran sana kaka je unaweza kukopa pikipiki 2 na Zaidi ?
Sifahamu kuhusu hilo mkuu maana mi mwenyewe bado sijafikia muhafaka wa wapi nichukue kwani bado nahitaji kupata sehemu yenye mashart nafuu zaid ya hayo kama itakuwepo. Namba zao hizo hapo kwenye kipeperushi chao wapigie iwaulize mkuu
 
Mkuu bilifanyia kazi taarifa za wadau humu, kati ya taasisi zilizotajwa hapo juu WATU CREDIT ndio wenye masharti nafuu zaidi kwa maoni yangu.
Kwa pikipiki ya TVS HLX125 ipo hivi:
1. Hela ya kianzio unatakiwa kutoa laki tatu siku unakabidhiwa pikipiki
2. Malipo kila wiki 56,200. Kwa muda wa miezi 15
3. Wanahitaji TIN certificate yako halisi na kitambulisho chochote
4. Barua ya utambulisho wa serikali ya mtaa
5. ID ya mdhamini.
Mashart yao ni hayo wengine niliowatafiti niliona wakiwa na mashart magumu kidogo kwa anayeanza maana kianzio huwa kikubwa zaidi
Wanapata faida nzuri , 3.7 milion kasoro kama 30k
 
Wanapata faida nzuri , 3.7 milion kasoro kama 30k
Hapo bado hujaweka ile laki tatu ya kianzio😂😂😂😂😂 ndio maana bado nasubiri kama anaweza kutokea mwenye mashart nafuu zaidi
 
Back
Top Bottom