Hapo bado hujaweka ile laki tatu ya kianzio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana bado nasubiri kama anaweza kutokea mwenye mashart nafuu zaidi
Aisee mwenyewe nimepiga hiyo hesabu nikaona ni mlima. Mi naona Bora kujipinda sehemu ambayo kianzio kiwe kikubwa na rejesho liongezeke kidogo lakini jumla isiwe kubwa sana