Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Mtoa madaa naweza kusema wewe ni bwege A.K.A Simp.
Kwanza achana na mke wa watu,na uyu mtoto nakuhakikishia sio wako..
Kwanza achana na mke wa watu,na uyu mtoto nakuhakikishia sio wako..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wako nguvu zake na kinachompa nguvu na connection kwa dunia ni mwili, na ndio mana ukawekewa sealed so usimlaumuMkuu umeandika kitaalamu hiyo paragraph ya mwisho kama sijaielewa elewa hivi
Mkuu si anakuachia kadi yake, unajibana kwa chochote unachopata toka kwake.Kama wewe ni dada hujanielewa vizuri.
Ninaomba upitie tena thread.
Ninafunguaje duka na sina hela? Ninatafuta kazi hata ya saidia fundi nianze upya kujitafuta.
Kwahyo unamfundisha kudanga? SijapendaMkuu si anakuachia kadi yake, unajibana kwa chochote unachopata toka kwake.
Nakuelewa mkuu pole sanaMkuu ungesoma vizuri.
60k nilikuwa napewa (OC) nikiwa Mkoa X sio hapa Dar.
Awali nilikuwa stable financially na mnapoanza mahusiano sio lazima mwanaume uwe na hela ndipo ukubaliwe.
Hapa ndipo ulipofeli nduguNdio Mkuu. Ninamfikiria sana mtoto wangu bado mdogo sana na hana hatia.
Hata leo mshahara umeingia na aliniachia card yake nifanye manunuzi mbalimbali ya home. Lakini kwangu mimi hii isinifanye niwe mpumbavu wa kutotaka kutafuta kipato changu.Mkuu si anakuachia kadi yake, unajibana kwa chochote unachopata toka kwake.
Asante Mkuu. Hujakosea kuniita hivo, huenda nikawa ni bwege kweli.Mtoa madaa naweza kusema wewe ni bwege A.K.A Simp.
Kwanza achana na mke wa watu,na uyu mtoto nakuhakikishia sio wako..
Duuh too loyalHata leo mshahara umeingia na aliniachia card yake nifanye manunuzi mbalimbali ya home. Lakini kwangu mimi hii isinifanye niwe mpumbavu wa kutotaka kutafuta kipato changu.
Na wala isinifanye nimuibie au nimdanganye juu ya matumizi ya hela yake ilivyotumika eti kisa nimpige. No!
All I need is to do something ili nipate changu kwa jasho langu.
Umependa ila unavunga tu.Kwahyo unamfundisha kudanga? Sijapenda
Asantee sana Mkuu.Duuh too loyal
Ila mkuu mi sioni sababu ya kumuacha huyo Ke kisa kakucheat, bado sijaona sababu kuntu ambayo wadau wengi wanashauri kua umteme kisa kakucheat.
Nikipata mchongo ntakucheki mwanangu, na kama una namba ya whatsapp share PM au hapa mkuu.
Kaa nae vizuri muulize kwann alikucheat!?Ndio maana sitaki kukaa hivi, ninatafuta nijishikize mahali. Angekuwa mwanaume mwingine angeridhika maana ananiachia Card yake ya bank, natoa hela, nafanya manunuzi mbalimbali as a man. Lakini mimi hii ndio siitaki, I want to earn my own.
Mkuu, sitamani kabisa niongee nae tena haya masuala kwasababu nitazidi pokea mambo mapya ambayo yatazidi niviruga.Kaa nae vizuri muulize kwann alikucheat!?
Msikilize na kama una macho ya rohoni jaribu kudadavua maelezo yake.
Kama alikucheat kwakuwa huna maisha kaka tafuta ela kwelikweli ila kama kalikuja kwakuwa tamaa za mwili, tafadhali mueke pembeni.
Kuna kitu kinaitwa depression sijuh kwenye maisha yako umepitia Ila siku ukilogwa utaeleza vizurSifa ya mwanaume ni kua na pesa iwe kidogo isiwe kidogo, mwanaume hutakiwi kukosa pesa ya vitu kwa ajili ya familia,
Labda kama umepata maradhi huwezi simama.
Yani mtaani ni pagumu kwenye ndoa usiseme pambana tu ufanye hata saidia fundi, ufanye na biashara ambazo hazihitaji mtaji hapo kaa fikilia kuna uwinga, udalali wa nyumba, bodaboda kwa mkataba, na nyingine nyingi.
Tofauti na hivo eeeeeeh.
"Wanaume mmeumbwa mateso kuhangaika".
MtajiSababu ya kuchepuka kwa mkeo unayo sasa unashindwa kusahau vipi? Fungua kiduka cha mangi anzia hapo.
Atafute wa level zake ataumizwa zaidiUmependa ila unavunga tu.
Akitoboa huyu hamna ataejali alipataje pesa kama kina chief godilavu tu