Ninapinga CHADEMA kumteua Ndugai kuwa Mgombea Urais 2025

Ninapinga CHADEMA kumteua Ndugai kuwa Mgombea Urais 2025

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
 
Ndo kwanza 2022 sasa mambo ya mgombea wa 2025 wapi na wapi
Hiyo ni "day dream".

Huyo ndiye Spika mbovu kuliko wote Katika historia ya nchi yetu, ndiye Spika aliyewanyanyasa Sana wapinzani, Katika enzi zake za uspika.

Ushasahau namna alivyokuwa akiwafukuza wabunge wa upinzani, ambao ni wawakilishi wa wananchi Katika majimbo yao, Ili tu awafurahishe CCM?

Hivi mtu aliyemfukuza ubunge wake Tundu Lissu, kinyume cha taratibu, hivi kuna uwezekano gani wa kupendekezwa awe mgonbea Urais??
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Nduga...
Duh! Kupinga jambo ambalo halipo kabisa na hata kuwa na muda wa kuanzisha uzi wa kuelezea hisia juu ya uwepo wa jambo hilo kana kwamba lipo ni dalili tosha ya ugonjwa wa akili.

Mkuu kama siyo malaria kupanda kichwani, ama mafua mazito ya "Omicron" basi faili la Milembe linakuhusu.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai...
Mfupa uliomshinda fisi chadema watauwezaje?
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
"Vichaa mpo wengi kumbe "
 
Kwenye siasa hasa za upande wa Chadema tegemea lolote

Chadema tangu mwaka 2008 mpaka 2015 walizunguka nchi nzima kututajia list ya mafisadi papa, na ndani ya list hiyo alikuwemo Edward Lowassa
Mpaka kwenye website ya chama kuna The List of Shame,, Lowassa ndani

Ila uturn walioipiga 2015 wakampa EL tiketi ya kugombea urais na wakafuta ile list ya mafisadi kwenye website ya chama, ilisabisha nione Chadema kimejaa unafiki, uongo, uzushi, kuchafua chafua status za watu na kikubwa zaidi uchu wa madaraka
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai...
Utakua maskini sana wewe
 
Hiyo ni "day dream".

Huyo ndiye Spika mbovu kuliko wote Katika historia ya nchi yetu, ndiye Spika aliyewanyanyasa Sana wapinzani, Katika enzi zake za uspika...
Hyu Ndy spika kibogoyo kabisa..hakujua kuwa kuwafukuza wapinzani bungeni ni sawa na kuwafukuza wananchi waliowachagua..hii ilikua dharau na ung'ombe wa hali ya Juu kabsa!!
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Wapiga ramli utawajua TU
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Kama kichwani hamnazo,ukikaa kimya utaonekana unazo.
Propaganda zingine hazina kichwa wala miguu.
 
Back
Top Bottom