Ninapinga CHADEMA kumteua Ndugai kuwa Mgombea Urais 2025

Ninapinga CHADEMA kumteua Ndugai kuwa Mgombea Urais 2025

Ndugai bado ni spika.
 
Na ww unaota tu, mm sio chadema ila chadema sio wa Jinga kiasi icho ndugai anaushawishi gani mpaka wamcinsider awe mgombea.... Uzi wa kitoto huu
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Pumbavu!
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Ila Tanzania kuna viumbe wa ajabu sana. Just imagine nchi nzima tungekuwa na akili kama mleta mada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anyway umetumia haki yako ya kikatiba. Lakini bila kupepesa macho wazazi wako kwako wamepigwa na kitu kizito kichwani.
 
Hiyo ni "day dream".

Huyo ndiye Spika mbovu kuliko wote Katika historia ya nchi yetu, ndiye Spika aliyewanyanyasa Sana wapinzani, Katika enzi zake za uspika.

Ushasahau namna alivyokuwa akiwafukuza wabunge wa upinzani, ambao ni wawakilishi wa wananchi Katika majimbo yao, Ili tu awafurahishe CCM?

Hivi mtu aliyemfukuza ubunge wake Tundu Lissu, kinyume cha taratibu, hivi kuna uwezekano gani wa kupendekezwa awe mgonbea Urais??
Bora umemwambia huyo mjinga anafananisha Lowasa na Ndugai,hakuna sehemu yoyote ile ambapo Lowasa alikuwa na ugomvi wowote na CHADEMA kwa sababu za kisiasa lakini Ndugai kaleta uhasama nchini,sijui ni jambo gani la kumsafisha.
 
Mleta post nadhani unaandika ukiwa Grocery leo jumamosi.
Hii lazima ni pombe imefanya kazi.
 
Ww ulanzi co chai
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
 
Ha ha ha hyo haiwezekan hata kwa akili ya kawaida tu, shule wengine hatujaenda sana lakn jambo hlo haliingii akili kiukwel.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Hizi ndoto unazoota sio nzuri, amka usije Ota unakunya ukachafua kitanda.
Ndio shida ya kulewa mataputapu kabla ya kulala
 
Hahahah!!!!hii nchi ina waokota makopo wengi sana
Ila Tanzania kuna viumbe wa ajabu sana. Just imagine nchi nzima tungekuwa na akili kama mleta mada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anyway umetumia haki yako ya kikatiba. Lakini bila kupepesa macho wazazi wako kwako wamepigwa na kitu kizito kichwani.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.

Naona mnauchungu sana na CHADEMA. Ila mjitahidi nchi isipigwe mnada.
 
Chadema hawana aibu.
ndio maana Dr. Slaa aliwakimbia.

Kuna mnafiki kuzidi wewe. Mbona huyo doctor slaa hamkumchagua??. CHADEMA Ni chama Cha siasa sio kanisa au msikiti. Lengo lao ni kuchukua madaraka. Hivyo mwaka 2015 Lowassa ndio alikuwa mgombea mwenye ushawishi hivyo waliona bora waende na Lowassa. Kwa Mara ya kwanza upinzani ulipata asilimia 40 ya kura na wabunge zaidi ya mia. CHADEMA walifanya pilitical gambling and it paid off.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.


Wewe sio bure bali unalo faili huko Mirembe.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Ccm mna maumivu makali tangu mwezi wa 3.17. 2021. Mungu alipoanza kuwaadhibu kwa mapigo mpaka 2025, mapigo ya mwisho yatakapoitimishwa
 
Back
Top Bottom