Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa una matatizo ya kichwa!Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.
Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.
Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.
Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.
Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Unaota ndoto baada ya kulewa gongo.Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.
Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.
Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.
Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.
Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Tundu Antipas lissu,anawafunika wote, kuanzia Mama yenu,na yeyote mtakayemteua,kinachohitajika muache michezo yenu ya kuiba kuraNawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.
Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.
Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.
Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.
Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Lakini Ndugai ataipaisha sana chadema,,, wamchukue[emoji3]Huko Chadema hakunaga watu hadi wasubiri reject...tena above all people, Ndugai? Kwanza yeye mwenyewe hawezi kukubali hata Kama ana kiu ya urais kiasi gani.
Hivi mfano CDM wakamsimamisha Lisu,Wengi mmetukana lakini ni suala la muda tu... CHADEMA haina wenye sifa za kuwa rais. Wanasiasa wa CHADEMA wenye ushawishi kisiasa wengi wao shule hakuna kichwani halafu wale wenye elimu hawana ushawishi kisiasa. Hii imekuwa changamoto kubwa sana inapofika wakati wa uchaguzi. Kabla ya kuhama CCM tuliona kada wa CHADEMA akiandika makala ndefu kumshawishi Bernard Membe aende CHADEMA. Haitashangaza 2025 kuona Ndugai au Polepole kuwa mgombea urais wa CHADEMA
Wapi chadema wamesema wanamteua Ndugai, embu amka kunywa maji mengi alafu ulale tenaNawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.
Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.
Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.
Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.
Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.
Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.
Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.
Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.
Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Lowasa hakuwahi kuwa adui wa Chadema,lakini Ndungai ni adui namba mbili wa Chadema, wa kwanza alikuwa Magufuli. Sasa kusema kuwa Ndungai ndiye mgombea wa Chadema hayo ni matusi na kuitweza Chadema. Thread hii itakaribisha mijadala isiyokuwa na afya na kulifanya JF kama kijiwe cha wavuta bangi.Mwaka 2013 kama sikosei kuna mdau humu JF alianzisha thread kusema kwamba team El na Mbowe wana vikao vya siri wanavyovifanya, lengo kuu ni kuangalia plan B ya EL kuja Chadema endapo CCM watamkata jina lake ktk uchaguzi wa kura za maoni
Na akasema pamoja na mengineyo ni negotiation ya kuplan 'price' ambayo El atalipa nk nk
Ile thread karibia Page Tatu za mwanzo ilikuwa ni matusi, vijembe, mipasho ya kutoka kwa Wafuasi wa Chadema dhidi ya mleta mada kwamba Chadema haiwezi kuchukua fisadi kuu, chadema imejitosheleza, Chadema haihaingaiki na makapi nk
Ila ilipofika July 29 2015 kila mtu alibaki midomo wazi,
Ile thread siku chache baadae ikaibuliwa na ikageuka lulú vibaya sana, huku ndugu zangu waliokuwa wakimponda mleta mada wakizikana username zao akiwemo member mwenzetu ndugu BAK 😀
Sasa kama ww ni mgeni wa Siasa na matukio yake nchini basi chukua hii kama somo
Ndugai hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumiNawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.
Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.
Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.
Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.
Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Usiwastue Wacha wamteue tuu mkuuNawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.
Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.
Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.
Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.
Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Unajitekenya unacheka mwenyeweNawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.
Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.
Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.
Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.
Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Na Ile mahakama ya mafisadi magufuli aliyotaka kuanzisha kwa akili ya lowasa na mafisadi imefikia wapiKwenye siasa hasa za upande wa Chadema tegemea lolote
Chadema tangu mwaka 2008 mpaka 2015 walizunguka nchi nzima kututajia list ya mafisadi papa, na ndani ya list hiyo alikuwemo Edward Lowassa
Mpaka kwenye website ya chama kuna The List of Shame,, Lowassa ndani
Ila uturn walioipiga 2015 wakampa EL tiketi ya kugombea urais na wakafuta ile list ya mafisadi kwenye website ya chama, ilisabisha nione Chadema kimejaa unafiki, uongo, uzushi, kuchafua chafua status za watu na kikubwa zaidi uchu wa madaraka
Kenge ! aache kuiba mayai hivi hivi tu?Tundu Antipas lissu,anawafunika wote, kuanzia Mama yenu,na yeyote mtakayemteua,kinachohitajika muache michezo yenu ya kuiba kura