Ninapinga CHADEMA kumteua Ndugai kuwa Mgombea Urais 2025

Ninapinga CHADEMA kumteua Ndugai kuwa Mgombea Urais 2025

Hii akili ya kitoto sana.
Kama mh Rais anawatu kama wewe wanaomsaidia kazi zake basi naomba nikiri tumekwisha.

Maana umezungumza upumbavu mkubwa mno ambao hata kufikirika haufikiriki
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Siyo kweli kwamba Spika aliyejiuzulu ana nguvu kisiasa nchini Tz, Kama Kongwa kwenye alikuwa anapga watu kwa fimbo ndyo apite kwenye kura za maoni. Kwangu mimi huyo jamaa siyo maarufu kwenye siasa za Tz, ispokuwa anajulikana tu kwamba alkuwa speaker. Kwenye majukwaa ya kuomba kura kwa wananchi hawezi.
 
CHADEMA kwa sasa target yao ni Majaliwa mwana wa Kassimu Ndugai ataleta yale ya Ikulu sio morchuary kama Lowassa 2015
 
Wengi mmetukana lakini ni suala la muda tu... CHADEMA haina wenye sifa za kuwa rais. Wanasiasa wa CHADEMA wenye ushawishi kisiasa wengi wao shule hakuna kichwani halafu wale wenye elimu hawana ushawishi kisiasa. Hii imekuwa changamoto kubwa sana inapofika wakati wa uchaguzi. Kabla ya kuhama CCM tuliona kada wa CHADEMA akiandika makala ndefu kumshawishi Bernard Membe aende CHADEMA. Haitashangaza 2025 kuona Ndugai au Polepole kuwa mgombea urais wa CHADEMA
Ila wewe na ukoo wako ndiyo wenye sifa za kugombea urais siyo?
 
Chadema hawana aibu.
ndio maana Dr. Slaa aliwakimbia.
Interesting. 2007 Dr Slaa alisoma listi ya mafisadi pale mwembe chai akiwemo Lowassa; kisha 2015 kampokea Lowassa CHADEMA na yeye baadaye kuhamia kambi ya Magufuli akidai “choo kimehamishiwa sebuleni”, hawezi kukaa huko. Mara paap, 2019 Lowassa karejea CCM na kupokelewa kwa bashasha kabisa na Magufuli akisifiwa kuwa mwanasiasa mstaarabu sana!

Hizi characters: Dr Slaa, Mbowe, Lowassa, na Magufuli nani ni rafiki yenu na yupi ni adui yenu hasa?
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Shida ni pale tu mmeo anaposhindwa kukufikisha Kibo!
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
We utakuwa ni Ndugai tu unajipigia debe uende chadema, kwa kifupi chadema imeshakomaa imeshawastukia mamluki, komaa na hali yako akuna anaekutaka chadema kwanza umewatesa sana.
 
We utakuwa ni Ndugai tu unajipigia debe uende chadema, kwa kifupi chadema imeshakomaa imeshawastukia mamluki, komaa na hali yako akuna anaekutaka chadema kwanza umewatesa sana.
Hakuna wa kumzuia Ndugai akitaka kuhamia CHADEMA.. tena akihamia CHADEMA siku hiyohiyo anakuwa mjumbe wa kamati kuu.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.

Ndiyo yale yale ya lowasa 😁😁 baada ya Muda anarudi nyumbani kwake ccm
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu Ndugai.

Hili suala halihitaji unabii kwamba CHADEMA wanatamani spika aliyejiuzulu ahamie kwao hata sasa hivi ili wawe na uhakika wa kupata mgombea urais mwenye nguvu 2025.

Hili suala la kuchukua watu wanaotoka CCM na kuwapa nafasi nyeti limekuwa tatizo sugu kutokana na CHADEMA kutokuwa na viongozi wenye sifa za kutosha.

Mimi na wanaCCM wengine tunaopenda kukua kwa demokrasia tunakemea vikali hii tabia ya upinzani kutokuwa na mikakati inayowezesha kupata viongozi bora hasa nyakati za uchaguzi.

Tabia hii inasababisha serikali ya CCM kutokuwa na upinzani imara ili kizidi kuimarika zaidi. Ninawasihi CHADEMA wabadilike.
Medulla ina expansion joints ama?
 
Back
Top Bottom