Usiwe mwepesi wa kuhukumu bado Kuna baadhi ya maelezo yanaeleweka vizuri, mpe moyo maisha yanabadilika.Nimesoma UDSM miaka hiyo ya 2000s haikuwa na Diploma. Ni Degree ,Masters na PHD.
Huyu mhusika anaweza kuwa ni mwanaume anatafuta kuwaibia watu au mwanamke anatafuta pia sympathy awapige watu.
Script yake haikuandaliwa vizuri kabisa. Angeomba tumsaidie jinsi ya kuandika. Huyu could be tapeli. Na huku ndani tuna MISS NATAFUTA. Huyu kabadilisha jina kawa MISS NATAFUTWA.
Utttoh unataka kumsaidia kusoma jambo zuri sana. Je kama hataki...angalia historia ya elimu yake na miaka yake hapo anaweza asiwepo rahisi sana kusoma. Vilevile ktk suala la elimu yake na wewe unataka kumpeleka kusoma hoping degree kma ni ya TCU huwa Wana link data za NECTA Sasa huyu atapita kweli hapo na anacheti fake.l Cha PDGE aliyoipata kwa cheti Cha form four tena fake. Kwanza PDGE ni post graduate ktk elimu. Sasa alifikaje kuwa graduate na kwenda kusomea elimu. Maana yake huyu ana degree nyingine au diploma nyingine isiyokuwa ya elimu. Sasa sula la vyeti fake linatoa ukakasi. Application zote za vyuo zinapitia kwa TCU kwa ku link form four index number. Anyway, elimu yake inanukakasi. Ni bora kuomba msaada au kutoa msaada bila kuzingatia details. Kuna details ametoa hazilink up.Dada acha haya majadiliano, unaanza kunikwaza; endelea na mengine niweze kuendelea kukusitiri!
Ukitapeliwa Kwa Nia ya kutoa msaada Mungu atakubariki kwa msaada uliotoa na si vinginevyo!UTATAPELIWA
tena tapeli haswaaa asiyekuwa na elimu yoyote kichwani.Mleta uzi ni tapeli.
Mungu mwenyewe hapendi watu wapumbavu wanaomjaribu kijinga.Ukitapeliwa Kwa Nia ya kutoa msaada Mungu atakubariki kwa msaada uliotoa na si vinginevyo!
Kama anatapeli au lah!toa msaada kwa namna uliyoguswa usitafute usahihi wa taarifa zake!!
Umeunguza picha Boss!
Wenye moyo wanaokusaida ni wapumbavu.Sawa, mimi tapeli.
Ila wenye moyo wananisaidia.
Mwambie asigombee ili aepuke aibu coz ameshaanza kusalitiwa na vyombo vya usalama!source Dr Slaa's clips!Mungu mwenyewe hapendi watu wapumbavu wanaomjaribu kijinga.
Umeongea ukweli ambao pia kwa namna fulani ni kama umetubu uliyowahi kuyafanya. Nakupa pole kwa uliyoyapitia na hata sasa unayopitia.Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.
Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.
First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.
Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.
Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.
Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.
Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba
Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.
1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.
2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.
Asanteni.
Hizi tashtiti zako za kikuda bado zipo?Nimeshaongea nae
Nimeona andiko lake, Kuna vitu nimeshauri kupitia maoni niliyoyatoa hapo juu,Pope sana dada, Natumai wenye uhitaji wata kusikia.
Mzee wangu Ushimen, Shimba ya Buyenze, Grahams, Mshana Jr msikilizeni dada yetu hapa
Sijakuelewa badoDada acha haya majadiliano, unaanza kunikwaza; endelea na mengine niweze kuendelea kukusitiri!
na anamiaka arobaini pointHizi tashtiti zako za kikuda bado zipo?
Mwanamke na Tashtiti Zangu naombeni Ukaribisho JF
Habari zenu humu jukwaa hili la utambulisho. Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku. Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafutawww.jamiiforums.com