Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Oa kijana usijevamiwa na pepo la kuvizia wake za watu watakaosafiri safari za mbali.
ukaanza kusaidia kutunza familia isiyokuhusu,na hata ukibahatika,kumpa mimba
huyo mama hutakuwa na guts za kusema huyo atakayezaliwani mwanao japo utakuwa unatumwa udongo ,maembe mabichi na limao.
 
Kwani Kuna medali unapewa UKIOA?
Hapana mkuu, ila labda pengine ndo italeta picha nzuri maana wengine wote hapa wana wake zao me nikiwa sina naweza fikiriwa vibaya
 
Dogo nakuangalia kwa jicho la mbali nakuona unataka kuanza kuwaka tamaa kwa wake wa wenzio, acha hiyo kitu ya ujinga wewe kuanzia leo ni kuingiza pisi na kutoa uwe na vipimo vikubwa vya kutosha tu furahia maisha yako na utapata mitego mingi sana kutoka kwa hizo mke za wenzako vumilia,usiingie ni mtego mkubwa sawa wa kuliwa kiboga ukiwa mdogo.!
 
sawa mkuu🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…