Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Hapana mkuu, ila labda pengine ndo italeta picha nzuri maana wengine wote hapa wana wake zao me nikiwa sina naweza fikiriwa vibaya
Unaishi kwa kufikiria watu wengine...... Ukifkka miaka 50+ utakuja kugundua kuwa nobody cared about your life. Ni wewe tu wajuimshtukia. Ishi maisha yako usihangaike watu WA nawaza nini kuhusu wewe
 
Habari wakuu, (Brothers, Sisters, Baba na Mama mliomo humu)
Kama heading inavyosema hapo juu, Ni kwamba nilipopanga chumba nimejikuta mimi pekee ndiye sina mke, Ipo hivi;

Mimi ni kijana mwenye miaka 23 na niliwahi kuishi na mwanamke (yeah, niliishi na dada mmoja tuliishi kwa miaka mitatu na mwaka jana ndo tulifikia tamati kutokana na mmoja wetu kwenda kinyume na makubaliano yetu tukaachana) ambao walifuatiliaaga kisa changu cha mwaka jana kwenye miezi kama hii nilieleza ni kwa jinsi gani alivyonikatili moyo hadi kufikia kuachana)

So now ni mwaka sasa umepita nipo single na nimekuja kushtukia vijana wenzangu wote (majirani) wanaishi na wapenzi wao (sio kwa ndoa ila wanaishi kama mume na mke), Hapa ninapoishi tupo wapangaji 6 na asilimia kubwa wote ni vijana sasa nimejikuta napata aibu kwa kuwa wenzangu wote wanaishi na wenza wao.

Nahisi aibu ninapoishia kununua percel kwaajili ya kula wakati wenzangu wanapikiwa na wake zao, Wanafuliwa ila mimi nafua mwenyewe, Wanalala wamekumbatiana mimi nalala peke yangu kama nimetengwa.

Though wanajua sababu na wanafahamu kwamba nilishaishi na mwanamke ila tukaachana maana ninapoishi bado ni palepale nilipokuwa nikiishi na yule Ex wangu ila nimeanza kujihisi labda sipaswi kuishi hapa tena maana ni kama naaribu mpangilio sahihi walionao wenzangu maana hata mpango wa kuoa bado sina kwa sasa.

Ubaya sio kwamba na mimi nashindwa kuwa na mtu wa kuishi nae ila ni kwamba baada ya kuachana na yule dada nimejikuta nikiyachukia mahusiano kabisa na kuona kwamba maybe kwa sasa sipaswi kuwa na mtu na labda ninatakiwa kufocus kutafuta maisha pekee kwa sasa na to be honest ni kwamba na-enjoy kinoma kuishi mwenyewe ila sasa haya mazingira ninayoishi ndo yanafanya nione aibu na kujiuliza kwamba wenzangu wananichukuliaje mimi kuishi peke yangu na wao wote wanaishi na wenzao.

Je, una cha kunishauri? Na je, Ulishawahi kuishi mazingira kama yangu? uliwezaje ku-handle?
Ishi maisha Yako ya kwao waachie wenyewe... Unataka kuridhisha Watu au nafsi Yako???
 
Unaishi kwa kufikiria watu wengine...... Ukifkka miaka 50+ utakuja kugundua kuwa nobody cared about your life. Ni wewe tu wajuimshtukia. Ishi maisha yako usihangaike watu WA nawaza nini kuhusu wewe
💯
 
Ishi maisha Yako ya kwao waachie wenyewe... Unataka kuridhisha Watu au nafsi Yako???
Hapana mkuu, sihitaji kuridhisha mtu ila ni kwamba ni sahihi kuishi mazingira kama haya ikiwa sifanani na wengine?
 
Mmmmhhh..... hapo kwenye age mm unanipa mashaka kidogooo na mambo unayoongea....
Ila sawa siwezi kuku judge sana
 
Watu tuna 28 Bado hatu waziii kuhusu mahusiano sababu tushakomaa ,tunachoangalia maisha tu ....tafuta pasa kuaoa kupo tu dogo usiwe na paparaaaa
 
Sema uliwahi sana, yaani una 19-20 years unaishi na mwanamke? Yeye alikua na umri zaidi yako au pungufu? Sio case ni past.

Ushauri:
1. Kula sana maisha. Party sana. Watafune sana. Club Disco Outings za kutosha. Hadi ufike 25/26 ndio stay na mmoja.

2. Hao mademu unaowapata sahivi usiwalete kwako. Heshimu ghetto lako mmalizane uko uko loji.

3. Usiogope wenzako wanakuchukuliaje. Wenyewe wanatamani wawe kama wewe. Trust me.

4. Usiwe unashinda sana home usije jenga mazoea na wake za watu. Waume zao watakuhisi vibaya ata kama ni mazoea ya: Mambo vipi, naazima pasi, karibu tule.

5. Shinda jukwaa la "Love Connect" kuna wadada wazuri wanatafuta wapenzi wadogo wadogo kama wewe. Ila kuna majina nitakuPM usiwaguse. Wa sisi kaka zako.
Secret service Pamoja sana.
 
Miaka 23 mbona bado mdogo sana mkuu.

kula maisha kwanza usije ukaingia ndoani halafu ukaenda kuishi kibachelor.

Hili naliongea kwa msisitizo kula maisha na hakikisha unamaliza bila kusahau kujijenga kiuchumi.
halafu ukifika 28-30 ndio uanze kufikiria kuingia ndoani acha haraka kijana.
Ndoa ni zaidi ya hayo unayoyaona kwa wenzio.
 
Mmmmhhh..... hapo kwenye age mm unanipa mashaka kidogooo na mambo unayoongea....
Ila sawa siwezi kuku judge sana
hehe kwanini nakupa mashaka mkuu?
 
Watu tuna 28 Bado hatu waziii kuhusu mahusiano sababu tushakomaa ,tunachoangalia maisha tu ....tafuta pasa kuaoa kupo tu dogo usiwe na paparaaaa
sawa brother 🤜🤛
 
Miaka 23 mbona bado mdogo sana mkuu.

kula maisha kwanza usije ukaingia ndoani halafu ukaenda kuishi kibachelor.

Hili naliongea kwa msisitizo kula maisha na hakikisha unamaliza bila kusahau kujijenga kiuchumi.
halafu ukifika 28-30 ndio uanze kufikiria kuingia ndoani acha haraka kijana.
Ndoa ni zaidi ya hayo unayoyaona kwa wenzio.
nashukuru sana mkuu🙏
 
Mkuu kama kwa sasa huna mtu wa kuishi nae chumba kimoja mchukue huyu mpwayungu village atakusaidia vijimajukumu vidogo vidogo kama kupika, kufua na kusafisha chumba & kutandika kitanda
 
Kataa ndoa ni uhuni siku zote ukishi kwa kuwaza flani ananionaje utapata shida ishi maisha yako kwa kuwa upo single kipto chako fanyia maendeleo tu mahusinao kwa miaka hii ni kichomi sana Wadada hawana hela siku hizi wananuka shida wanaomba mpaka vocha ya Buku
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Sema uliwahi sana, yaani una 19-20 years unaishi na mwanamke? Yeye alikua na umri zaidi yako au pungufu? Sio case ni past.

Ushauri:
1. Kula sana maisha. Party sana. Watafune sana. Club Disco Outings za kutosha. Hadi ufike 25/26 ndio stay na mmoja.

2. Hao mademu unaowapata sahivi usiwalete kwako. Heshimu ghetto lako mmalizane uko uko loji.

3. Usiogope wenzako wanakuchukuliaje. Wenyewe wanatamani wawe kama wewe. Trust me.

4. Usiwe unashinda sana home usije jenga mazoea na wake za watu. Waume zao watakuhisi vibaya ata kama ni mazoea ya: Mambo vipi, naazima pasi, karibu tule.

5. Shinda jukwaa la "Love Connect" kuna wadada wazuri wanatafuta wapenzi wadogo wadogo kama wewe. Ila kuna majina nitakuPM usiwaguse. Wa sisi kaka zako.
[emoji457]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, (Brothers, Sisters, Baba na Mama mliomo humu)
Kama heading inavyosema hapo juu, Ni kwamba nilipopanga chumba nimejikuta mimi pekee ndiye sina mke, Ipo hivi;

Mimi ni kijana mwenye miaka 23 na niliwahi kuishi na mwanamke (yeah, niliishi na dada mmoja tuliishi kwa miaka mitatu na mwaka jana ndo tulifikia tamati kutokana na mmoja wetu kwenda kinyume na makubaliano yetu tukaachana) ambao walifuatiliaaga kisa changu cha mwaka jana kwenye miezi kama hii nilieleza ni kwa jinsi gani alivyonikatili moyo hadi kufikia kuachana)

So now ni mwaka sasa umepita nipo single na nimekuja kushtukia vijana wenzangu wote (majirani) wanaishi na wapenzi wao (sio kwa ndoa ila wanaishi kama mume na mke), Hapa ninapoishi tupo wapangaji 6 na asilimia kubwa wote ni vijana sasa nimejikuta napata aibu kwa kuwa wenzangu wote wanaishi na wenza wao.

Nahisi aibu ninapoishia kununua percel kwaajili ya kula wakati wenzangu wanapikiwa na wake zao, Wanafuliwa ila mimi nafua mwenyewe, Wanalala wamekumbatiana mimi nalala peke yangu kama nimetengwa.

Though wanajua sababu na wanafahamu kwamba nilishaishi na mwanamke ila tukaachana maana ninapoishi bado ni palepale nilipokuwa nikiishi na yule Ex wangu ila nimeanza kujihisi labda sipaswi kuishi hapa tena maana ni kama naaribu mpangilio sahihi walionao wenzangu maana hata mpango wa kuoa bado sina kwa sasa.

Ubaya sio kwamba na mimi nashindwa kuwa na mtu wa kuishi nae ila ni kwamba baada ya kuachana na yule dada nimejikuta nikiyachukia mahusiano kabisa na kuona kwamba maybe kwa sasa sipaswi kuwa na mtu na labda ninatakiwa kufocus kutafuta maisha pekee kwa sasa na to be honest ni kwamba na-enjoy kinoma kuishi mwenyewe ila sasa haya mazingira ninayoishi ndo yanafanya nione aibu na kujiuliza kwamba wenzangu wananichukuliaje mimi kuishi peke yangu na wao wote wanaishi na wenzao.

Je, una cha kunishauri? Na je, Ulishawahi kuishi mazingira kama yangu? uliwezaje ku-handle?
Achana na mawazo ya kijinga ya kuoa kula mbususu wewe.
 
Back
Top Bottom