Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Sema ukisahi sana, yaani una 19-20 years unaishi na mwanamke? Yeye alikua na umri zaidi yako au pungufu? Sio case ni past.

Ushauri:
1. Kula sana maisha. Party sana. Watafune sana. Club Disco Outings za kutosha. Hadi ufike 25/26 ndio stay na mmoja.

2. Hao mademu unaowapata sahivi usiwalete kwako. Heshimu ghetto lako mmalizane uko uko loji.

3. Usiogope wenzako wanakuchukuliaje. Wenyewe wanatamani wawe kama wewe. Trust me.

4. Usiwe unashinda sana home usije jenga mazoea na wake za watu. Waume zao watakuhisi vibaya ata kama ni mazoea ya: Mambo vipi, naazima pasi, karibu tule.

5. Shinda jukwaa la "Love Connect" kuna wadada wazuri wanatafuta wapenzi wadogo wadogo kama wewe. Ila kuna majina nitakuPM usiwaguse. Wa sisi kaka zako.
😂😂😂 weee acha ajichagulie usiweke mipaka eti wa sisi kaka zako whereee
 
Tembelea kanisa lililo karibu nawe ukatoe zaka na sadaka, shukuru kisha omba utapewa

Tembelea msikiti uliopo karibu nawe toa zaka na sadaka, shukuru kisha omba utapewa

Nitajerea...
 
Kua kwanza, haya mawazo ya kitoto, usishangilie zinaa. Na siku ukijua kuishi na mwanamke ni zaidi ya kupikiwa, kufuliwa na kukumbatiana utakuja kufuta huu utoto ulioandika hapa
 
Habari wakuu, (Brothers,Sisters, Baba na Mama mliomo humu)
Kama heading inavyosema hapo juu, Ni kwamba nilipopanga chumba nimejikuta mimi pekee ndiye sina mke, Ipo hivi;

Mimi ni kijana mwenye miaka 23 na niliwahi kuishi na mwanamke (yeah, niliishi na dada mmoja tuliishi kwa miaka mitatu na mwaka jana ndo tulifikia tamati kutokana na mmoja wetu kwenda kinyume na makubaliano yetu tukaachana) ambao walifuatiliaaga kisa changu cha mwaka jana kwenye miezi kama hii nilieleza ni kwa jinsi gani alivyonikatili moyo hadi kufikia kuachana)

So now ni mwaka sasa umepita nipo single na nimekuja kushtukia vijana wenzangu wote (majirani) wanaishi na wapenzi wao (sio kwa ndoa ila wanaishi kama mume na mke), Hapa ninapoishi tupo wapangaji 6 na asilimia kubwa wote ni vijana sasa nimejikuta napata aibu kwa kuwa wenzangu wote wanaishi na wenza wao.

Nahisi aibu ninapoishia kununua percel kwaajili ya kula wakati wenzangu wanapikiwa na wake zao, Wanafuliwa ila mimi nafua mwenyewe, Wanalala wamekumbatiana mimi nalala peke yangu kama nimetengwa.

Though wanajua sababu na wanafahamu kwamba nilishaishi na mwanamke ila tukaachana maana ninapoishi bado ni palepale nilipokuwa nikiishi na yule Ex wangu ila nimeanza kujihisi labda sipaswi kuishi hapa tena maana ni kama naaribu mpangilio sahihi walionao wenzangu maana hata mpango wa kuoa bado sina kwa sasa.

Ubaya sio kwamba na mimi nashindwa kuwa na mtu wa kuishi nae ila ni kwamba baada ya kuachana na yule dada nimejikuta nikiyachukia mahusiano kabisa na kuona kwamba maybe kwa sasa sipaswi kuwa na mtu na labda ninatakiwa kufocus kutafuta maisha pekee kwa sasa na to be honest ni kwamba na-enjoy kinoma kuishi mwenyewe ila sasa haya mazingira ninayoishi ndo yanafanya nione aibu na kujiuliza kwamba wenzangu wananichukuliaje mimi kuishi peke yangu na wao wote wanaishi na wenzao.

Je, una cha kunishauri? Na je, Ulishawahi kuishi mazingira kama yangu? uliwezaje ku-handle?
We fanya mambo Yako......mim hapa napoish peke angu ndo sijaolewa mbona Niko fresh tu
 
Kua kwanza, haya mawazo ya kitoto, usishangilie zinaa. Na siku ukijua kuishi na mwanamke ni zaidi ya kupikiwa, kufuliwa na kukumbatiana utakuja kufuta huu utoto ulioandika hapa
sawa mkuu
 
Kataa ndoa ni uhuni siku zote ukishi kwa kuwaza flani ananionaje utapata shida ishi maisha yako kwa kuwa upo single kipto chako fanyia maendeleo tu mahusinao kwa miaka hii ni kichomi sana wadada hawana hela siku hizi wananuka shida wanaomba mpaka vocha ya buku
 
Ukweli usipingika hawo wapangaji wenzako wanatamani kuwa singo kama wewe ulivyo, maana huko ndani hakukaliki, kula maisha wekeza fedha zako.

Ukifika wakati wa kuoa wala hutawaza jirani zako wanawaza nini, maana sasa hivi wasichana walio wengi wana presha ya kuolewa ghafla ili mradi nae awe na ndoa

, sasa katikahali kama hii ndipo vijana wengi wanaingia katikakifungo na watu wasio sahihi,
 
Kataa ndoa ni uhuni siku zote ukishi kwa kuwaza flani ananionaje utapata shida ishi maisha yako kwa kuwa upo single kipto chako fanyia maendeleo tu mahusinao kwa miaka hii ni kichomi sana wadada hawana hela siku hizi wananuka shida wanaomba mpaka vocha ya buku
duh🙌
 
Ukweli usipingika hawo wapangaji wenzako wanatamani kuwa singo kama wewe ulivyo, maana huko ndani hakukaliki, kula maisha wekeza fedha zako.

Ukifika wakati wa kuoa wala hutawaza jirani zako wanawaza nini, maana sasa hivi wasichana walio wengi wana presha ya kuolewa ghafla ili mradi nae awe na ndoa

, sasa katikahali kama hii ndipo vijana wengi wanaingia katikakifungo na watu wasio sahihi,
shukran 🙏
 
Back
Top Bottom