Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
The true education has three qualities 👇

1. It helps you to acquire power.

2. It helps you to maintain power.

3. It helps you to protect the acquired power.

Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.

Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa hapo juu yamehodhiwa na wajanja wachache ambao ndio wanaitawala dunia.

Unamsomesha mtoto English Mediums kwa mamilioni anafika chuo anasomea udaktari halafu anakuja kukwambia

" Presha haina dawa"
" Kisukari hakina dawa"
" kansa haina dawa" etc.

Sasa huyu ameelimika au amekariri?

Kuna kitu gani kinacho elezea dhana ya "kusomea ujinga" kwa uzuri zaidi kama daktari specialist kusema presha haina dawa?

Unapoteza miaka mitano darasani ili uje utuambie presha haina dawa?

Elimu mnayo pewa haina qualities za kusolve matatizo yenu kwa hiyo ni sawa na ujinga tu.

Don't waste ur millions to pay for your kids in English Mediums.

Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.

Utapata mafanikio kwa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo katika jamii yako.

Mfano hii ipo karibu katika kila kada kuanzia walimu, wanasheria etc.
 
Mara mia hivyo kuliko kumpeleka mtoto shule ambayo serikali yenyewe Haina muda na hao walimu
SHULE ZA SERIKALI NI UOZO MTUPU.
 

Attachments

  • Screenshot_20240111-094349.png
    Screenshot_20240111-094349.png
    39.6 KB · Views: 11
Kwa hili uko sahihi sana.

Tumesomesha kundi kubwa la nyumbu ambao hawana mchango wowote wa maana zaidi ya kurudufisha kile walichokaririshwa. Hawa huwa nawaita MAKASUKU.

Wasomi wa kweli ni wachache sana ambao hawafiki hata asilimia 2 ya asilimia 100.

Corona ilithibitisha kwamba nchi haina wasomi isipokuwa kuna kundi la nyumbu linalojiita wasomi.
 
Elimu ya Kukariri Archimedes Principle haiwezi kuzalisha manguli wa tiba na magonjwa.

Chuo cha udaktari huwa wanafundishwa kukariri aina za magonjwa na dawa zake na sio kuponya magonjwa.

Mtaala ukisema Kisukari hakina dawa, na wao wanabebelea hivyo hivyo na kujimwambafai kwamba hiyo ndiyo sayansi. Ati sayansi!

Kazi yao ni kumeza kila kitu kilichomo kwenye mtaala. Hakuna kufikiri wala kwenda kinyume.

Huyu daktari akija mtaani jiandae kupokea ndoige. Utalishwa madonge mpaka uombe poo.

Ni kudungwa tu machanjo ambayo hujui hata yametoka wapi.
 
Back
Top Bottom