Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

Haya shule za serikali mambo ni moto😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_20240111_084037.jpg
    IMG_20240111_084037.jpg
    489.5 KB · Views: 5
  • IMG_20240111_083742.jpg
    IMG_20240111_083742.jpg
    672.1 KB · Views: 5
  • IMG_20240111_083907.jpg
    IMG_20240111_083907.jpg
    456.8 KB · Views: 5
Kwahiyo ubora wa elimu ya watoto wa viongozi tunaupima kwenye nini ndio kwenye hizo nafasi za uongozi wanazopewa ama vp?
Suala zima elimu bora mkuu.
Fact ni kwamba huwezi linganisha elimu ya feza na diplomasia.

Huwezi sema kwenye nafasi maana hata hizi nafasi wapo waliotokea huku serikali.

Tunaangalia majority kubwa
 
Kwahiyo tunaupimaje sasa huo ubora wa elimu zao hapa nchini tukitoa huko kwenye uongozi?
Competition kimataifa.

Unaweza kupambana na feza international wewe umetoka mbondole?
An extra advantage mtoto tangu mdogo anasomeshwa anakua na exposure kubwa
Mfano hata mo dewji IST kasimamia kampuni za mzee kutoka $30M mpaka $ 1.5B
 
The true education has three qualities 👇

1. It helps you to acquire power.

2. It helps you to maintain power.

3. It helps you to protect the acquired power.


Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.

Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa hapo juu yamehodhiwa na wajanja wachache ambao ndio wanaitawala dunia..

Unamsomesha mtoto English Mediums kwa mamilioni anafika chuo anasomea udaktari halafu anakuja kukwambia

" Presha haina dawa"
" Kisukari hakina dawa"
" kansa haina dawa" etc.

Sasa huyu ameelimika au amekariri?

Kuna kitu gani kinacho elezea dhana ya "kusomea ujinga" kwa uzuri zaidi kama daktari specialist kusema presha haina dawa?

Unapoteza miaka mitano darasani ili uje utuambie presha haina dawa?

Elimu mnayo pewa haina qualities za kusolve matatizo yenu kwa hiyo ni sawa na ujinga tu.

Don't waste ur millions to pay for your kids in English Mediums.

Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.

Utapata mafanikio kwa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo katika jamii yako.

Mfano hii ipo karibu katika kila kada kuanzia walimu, wanasheria etc.
Kwa hiyo huyo aliyesoma shule za Kata akisema hayo uliyoyataja itakuwa hakuna tatizo lolote. Ila wale wa shule za English Medium panakuwa na tatizo la Mzazi kupoteza fedha kumpeleka mwanawe kusomea ujinga?
 
Competition kimataifa.

Unaweza kupambana na feza international wewe umetoka mbondole?
An extra advantage mtoto tangu mdogo anasomeshwa anakua na exposure kubwa
Mfano hata mo dewji IST kasimamia kampuni za mzee kutoka $30M mpaka $ 1.5B
Kama ni hivyo kipi kinafanya watu wasione huo utofauti mkubwa kiasi cha kuibuka mada kama hizi?
 
The true education has three qualities 👇

1. It helps you to acquire power.

2. It helps you to maintain power.

3. It helps you to protect the acquired power.


Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.

Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa hapo juu yamehodhiwa na wajanja wachache ambao ndio wanaitawala dunia..

Unamsomesha mtoto English Mediums kwa mamilioni anafika chuo anasomea udaktari halafu anakuja kukwambia

" Presha haina dawa"
" Kisukari hakina dawa"
" kansa haina dawa" etc.

Sasa huyu ameelimika au amekariri?

Kuna kitu gani kinacho elezea dhana ya "kusomea ujinga" kwa uzuri zaidi kama daktari specialist kusema presha haina dawa?

Unapoteza miaka mitano darasani ili uje utuambie presha haina dawa?

Elimu mnayo pewa haina qualities za kusolve matatizo yenu kwa hiyo ni sawa na ujinga tu.

Don't waste ur millions to pay for your kids in English Mediums.

Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.

Utapata mafanikio kwa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo katika jamii yako.

Mfano hii ipo karibu katika kila kada kuanzia walimu, wanasheria etc.
I agree with you
 
Kama ni hivyo kipi kinafanya watu wasione huo utofauti mkubwa kiasi cha kuibuka mada kama hizi?
Upo sana.
Wengi wanapata exposure za kufanya kazi katika mashirika makubwa duniani
An extra advantage ambayo ni ngumu kwa shule za serikali hapo utofauti ndipo ulipo.

Kama serikali itaboresha kuendana na kasi ya dunia tunaweza tukawa tunatoa wanafunzi kutoka kata kupambana katika soko la ajira duniani na kupunguza jobless Mitaani.

Watoto wanaosoma huku wanafundishwa practical zaidi anaanza simamia biashara akiwa mdogo na kufahamu vitu vingi.

Kufundishwa kutengeneza ajira na mambo mengine.
 
Nahisi sijakuelewa kabisa. Hasa hiki kipengele ''
Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.''
Utaelewa tu
 
Upo sana.
Wengi wanapata exposure za kufanya kazi katika mashirika makubwa duniani
An extra advantage ambayo ni ngumu kwa shule za serikali hapo utofauti ndipo ulipo.

Kama serikali itaboresha kuendana na kasi ya dunia tunaweza tukawa tunatoa wanafunzi kutoka kata kupambana katika soko la ajira duniani na kupunguza jobless Mitaani.

Watoto wanaosoma huku wanafundishwa practical zaidi anaanza simamia biashara akiwa mdogo na kufahamu vitu vingi.

Kufundishwa kutengeneza ajira na mambo mengine.
Ndio nimeuliza kwanini watu waone hakuna tofauti kubwa ikiwa hayo unayoeleza yapo kwenye uhalisia?
 
1.Nchi naina maabara kwajili ya uchunguzi
2.Nchi masikini haiwezi kuwekeza fedha kwenye utafiti utakao chukua zaidi ya miaka mitano na usiwe na jibu,pia gharama ya vifaaa vya kisasa hatuwezi.
NB reseach ni ghali zaidi ya unavo fikiria ila Wasomi wapo
 
Back
Top Bottom