Ninaposema Mwafrika kapunjwa akili na Mungu kwa makusudi kabisa muwe mnaelewa. Rejea ajali ya ndege Bukoba 06/11/2022

Mbona hata wavuvi wa samaki tunajua majukumu Yao na tunajua walichofanya
 
Hii ajali ukiangalia kwa upana na marefu yake. Ni ajali yakukosa uwajibikaji. Yani tumerudi kule tumetoka. Jiulize angekuwa hai Mzee Magu.... End
Sidhani kama biashara ya hiyo ndege ingekuepo na hivyo kusingekuwa na safari hence ajali hii isingekuepo.
 
Kwa maelezo yako nimeelewa kwamba Jeshi la zimamoto na uokozi ndo lenye wajibu wa kuokoa watu kwenye majanga ya majini.
Nipo sahihi?
 
...Na Ajali Ile ya Meli pale Mwanza Miaka Michache nyuma inaelekea haikufundisha lolote licha ya Matamshi Kadhaa ya Kisiasa yalitolewa wakati ule!!
 
Umesema kwamba wamejifunza mbinu mbalimbali za uokozi, swali ni kwamba hawakuona umuhimu wa kuwahi eneo la tukio kuokoa maisha kwa sababu siyo jukumu lao?

Umbali kutoka eneo la ajali na Navy base ilio karibu ni Km ngapi?
 
Hawa ni wapiganaji wa mjini, kuna wa anga (airforce), nchi kavu (infantry). Wote hwa wanalinda nchi na maadui dhidi uvamizi.
Asante mkuu.
Basi wa kulaumiwa ni jeshi la zimamoto na uokoaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…