yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,409
Mbona hata wavuvi wa samaki tunajua majukumu Yao na tunajua walichofanyaTafadhali msichanganye kitengo cha jeshi cha Navy na kitengo cha jeshi la Zimamoto na Uokozi...Ni vitengo viwili tofauti na vipo wizara mbili tofauti...
Mara nyingi Jeshi la JWTZ hushirikishwa kwenye uokozi wa mambo ya kiraia, kwa sababu wao hupitia mafunzo ya uokozi katika aina tofauti tofauti za majanga na wana divers pia lakini hilo sio jukumu lao la msingi...