Ninashangaa sana wanaojaribu kuilinganisha Yanga sc na vilabu vingine Tanzania

Ninashangaa sana wanaojaribu kuilinganisha Yanga sc na vilabu vingine Tanzania

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Mara nyingi huwa ninaona watu wakijaribu kulinganisha vilabu hivi viwili vya Yanga na Simba, Ila kiuhalisia vilabu hivi vinatofautiana sana kiumri,mafanikio na hata kihistoria.

1.Kiumri Yanga ilianzishwa February 11, 1935, Mwaka mmoja kabla ya kuanzishwa Simba Sc, kwa hiyo kiumri ni wazi Yanga Sc ni kaka yake na Simba Sc.

2.Kimafanikio ndani ya nchi, Yanga ndiye timu iliyowahi kutwaa vikombe vingi zaidi katika Ligi kuu bara (kiambatanisho), Pia Yanga Sc imetwaa mataji mengi zaidi ya Simba Sc katika mashindano mengine ya ndani ikiwemo FA Cup na Ngao ya jamii.Kwa takwimu hizi nitashangaa kuona mtu akilinganisha Yanga Sc na vilabu vingine hususan ndani ya nchi.

20230518_163052.jpg


3.Kimafanikio nje ya nchi, Yanga sc ndiye timu pekee iliyowahi kushiriki nusu fainali na hatimaye fainali na endapo itatwaa kombe basi itakuwa club ya kwanza kutoka Tanzania kushiriki na hatimaye kutwaa taji la moja ya mashindano makubwa zaidi ya mpira wa miguu barani Afrika.

Kwa mafanikio na historia hii ya Yanga sc, Nitashangaa sana kuona club hii ikilinganishwa na timu yoyote ndani ya Tanzania.
20230518_163123.jpg
 
Hebu fikeni kwanza hata makundi kwenye CAFCL,hapo ndo tutaanza kubargain,kwa sasa mmefanya vzr kombe la shirikisho ambalo hata malumo wapo,ni kawaida sana mkuu..

Nakubali mmejitahd,ila ukubwa wa ahly,mamelodi,wydad na kina raja haukupimwa kwa kucheza kombe la waliotolewa kwenye CAFCL.

Mkifika makundi ya CAFCL angalau hapo tu,tutaanza kuwa sawa a for now,you guys are still young to be compared to simba.
 
Hebu fikeni kwanza hata makundi kwenye CAFCL,hapo ndo tutaanza kubargain,kwa sasa mmefanya vzr kombe la shirikisho ambalo hata malumo wapo,ni kawaida sana mkuu..

Nakubali mmejitahd,ila ukubwa wa ahly,mamelodi,wydad na kina raja haukupimwa kwa kucheza kombe la waliotolewa kwenye CAFCL.

Mkifika makundi ya CAFCL angalau hapo tu,tutaanza kuwa sawa a for now,you guys are still young to be compared to simba.
Tukisema walau nanyi mchukue ubingwa Ligi kuu walau mara 23 na mfike hata nusu fainali michuano yoyote ya kimataifa kama CAF utakuwa na lipi la kusema?
 
Hebu fikeni kwanza hata makundi kwenye CAFCL,hapo ndo tutaanza kubargain,kwa sasa mmefanya vzr kombe la shirikisho ambalo hata malumo wapo,ni kawaida sana mkuu..

Nakubali mmejitahd,ila ukubwa wa ahly,mamelodi,wydad na kina raja haukupimwa kwa kucheza kombe la waliotolewa kwenye CAFCL.

Mkifika makundi ya CAFCL angalau hapo tu,tutaanza kuwa sawa a for now,you guys are still young to be compared to simba.
Unaongea nusu nusu, Marumo usimchukulie poa kamtoa Pyramids, tuambie Pyramids ni ya ngapi kwa ubora Afrika. Usizungumzie kombe la Shirikisho kama ni kombe rahisi, kumbuka mlishiriki hili kombe na mkaishia robo fainali licha ya kuwasha na moto uwanjani.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kushika nafasi ya pili ni mafanikio?
Kuishia robo fainali ni mafanikio?
Kwahiyo unakili waz kuwa yanga Hana mafanikio yoyote club bingwa maana hata makundi hajakanyaga.
Vipi yanga asipobeba kombe ,je kufika fainal hayatakua mafanikio?
Maana mafanikio ni had ubebe kombe.
Isije ikatokea baadae mkakosa kombe japo siombei iwe ivo Alafu mje na kaul za tuna mafanikio makubwa maana tushafika fainal .
Nikutunzie hii risit kabisa na tukubaliane mafanikio ni had ubebe kombe Ili baadae mkianza kubadil gia angan tuwakumbushe.

Mm ninachojua mafanikio ni hatua .
Ila wewe unapinga hilo ,hata yanga kufika fainal ni hatua na hii hatua imekuja baada ya yanga kutolewa club bingwa hatua ya mtoano ndipo ikapewa nafasi ya kujiuliza huko shirikisho so why ubeze hatua kwenye mafanikio?
 
Unaongea nusu nusu, Marumo usimchukulie poa kamtoa Pyramids, tuambie Pyramids ni ya ngapi kwa ubora Afrika. Usizungumzie kombe la Shirikisho kama ni kombe rahisi, kumbuka mlishiriki hili kombe na mkaishia robo fainali licha ya kuwasha na moto uwanjani.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Yes shirikisho ni kombe rahis mno yeyote anaweza kubeba kulingana na upepo upepo umemwangukia vipi ,ni kombe ambalo huwez kutabir Nan anatwaa tofaut na club bingwa unaweza kutabir kabisa kuwa kati ya Alhly ,mamelod ,raja au wydad mmoja wapo atabeba .
Sasa embu niambie huko shirikisho ni timu zipi unaweza kuzitabilia ubingwa?
Mwaka Jana Berkane kabeba hilo kombe vipi huu msimu kaishia wap?
Hapa hakuna kukwepa ukweli kipimo sahihi Cha timu yeyote Ile ndani ya hili bara ni huko club bingwa ,ukipasua huko hayo ndio mafanikio ya maana na utaanza kujiamin mbele ya wanaume.

Pesa anayopata mshindi wa pili shirikisho ni sawa na pesa anayopata mtu aliyeishia robo club bingwa, Bado huon huo utofaut.
Yanga wamejitahid hatukatai ila swala la kujimwambafai et mnamzid Simba kimataifa huko ni kukosa heshima .
Wasudan tu na waganda wamewatoa jasho je ungeweza kupenya Kwa hao wanaume?
Hayo anayofanya mayele mbele ya marumo angeweza kutakata mbele ya mamelod ,Alhly ,raja ,wydad,Esparance ,Simba,Petro de Luanda?
Kama yanga ni kubwa Kwa Simba basi msimu ujao tunataka yanga athibitishe hilo angalau Kwa kufika hata robo club bingwa alafu baadae ndio tukae tuongee kuwa yanga ni mkubwa Kwa simba
 
Si nyie nyie wenyewe ndio mnajishtukiaga mnasemaga derby yenu ni kati,yenu na Azam?,

Sasa kujifananisha mjifananishe wenyewe halafu mzigo wa kuni muwaangushie wengine,hv mna akili kweli nyie??
 
Yes shirikisho ni kombe rahis mno yeyote anaweza kubeba kulingana na upepo upepo umemwangukia vipi ,ni kombe ambalo huwez kutabir Nan anatwaa tofaut na club bingwa unaweza kutabir kabisa kuwa kati ya Alhly ,mamelod ,raja au wydad mmoja wapo atabeba .
Sasa embu niambie huko shirikisho ni timu zipi unaweza kuzitabilia ubingwa?
Mwaka Jana Berkane kabeba hilo kombe vipi huu msimu kaishia wap?
Hapa hakuna kukwepa ukweli kipimo sahihi Cha timu yeyote Ile ndani ya hili bara ni huko club bingwa ,ukipasua huko hayo ndio mafanikio ya maana na utaanza kujiamin mbele ya wanaume.

Pesa anayopata mshindi wa pili shirikisho ni sawa na pesa anayopata mtu aliyeishia robo club bingwa, Bado huon huo utofaut.
Yanga wamejitahid hatukatai ila swala la kujimwambafai et mnamzid Simba kimataifa huko ni kukosa heshima .
Wasudan tu na waganda wamewatoa jasho je ungeweza kupenya Kwa hao wanaume?
Hayo anayofanya mayele mbele ya marumo angeweza kutakata mbele ya mamelod ,Alhly ,raja ,wydad,Esparance ,Simba,Petro de Luanda?
Kama yanga ni kubwa Kwa Simba basi msimu ujao tunataka yanga athibitishe hilo angalau Kwa kufika hata robo club bingwa alafu baadae ndio tukae tuongee kuwa yanga ni mkubwa Kwa simba
CAFCL na CAFCCL Yote ni makombe makubwa barani Afrika, Kama lengo lako ni kuangalia ushiriki, basi hata aliyeshiriki CAFCCL ameshiriki CAFCL ila aliondolewa kwenye hatua za awali! Point si kushiriki? Kama jinsi Simba ilivyoshiriki na kuishia robo fainali ndivyo Yanga ilivyoshiriki na kuishia hatua za awali.Si kweli kwamba michuano ya CAFCCL ni mirahisi na isiyotabirika, kwamba yeyote anaweza beba,Huyo Raja alishawahi kushiriki na kuishia kutolewa kabla hajashiriki na kuchukua ubingwa mara 2.
Screenshot_20230518-193214_Chrome.jpg

Kwenye hiyo orodha ondoa hiyo Simba hapo weka TP Mazembe walau ilishiriki na kushinda CAFCL na sasa imeshiriki CAFCC na imeondolewa na Yanga! Unathubutuje kusema eti huku CAFCCL sio wanaume? Mabingwa wa CAFCCL kama Zamalek,Al Ahly,ASFAR,Raja AC na sasa atakuwa Yanga utaanzaje kufananisha na Simba? Kama ni kushiriki hata timu zingine zimeshiriki CAFCL na kutolewa hatua za awali.unaanzaje kumlinganisha Horoya, vipers sijui Simba na timu kama Pyramids? TP Mazembe? Yanga? Hiyo ni dharau, Kuna tofauti kubwa kati ya kushiriki, kutinga fainali na kuchukua ubingwa!
 
Hebu fikeni kwanza hata makundi kwenye CAFCL,hapo ndo tutaanza kubargain,kwa sasa mmefanya vzr kombe la shirikisho ambalo hata malumo wapo,ni kawaida sana mkuu..

Nakubali mmejitahd,ila ukubwa wa ahly,mamelodi,wydad na kina raja haukupimwa kwa kucheza kombe la waliotolewa kwenye CAFCL.

Mkifika makundi ya CAFCL angalau hapo tu,tutaanza kuwa sawa a for now,you guys are still young to be compared to simba.
Mabingwa ni sisi YANGA nyie SIMBA ni runners wala hamkushiriki kilabu bingwa kwa sababu ya kuwa mabingwa, mulikua mabingwa wa ligi gani? always mabingwa huwa tuna alternative ndo maana ilipofeli plan ya klabu bingwa bado tukawa na plan B. Sasa nyie mabingwa gani hata kombe moja hamna halafu munaleta kejeri, Komaeni na kombe lenu la KUFA KIUME. Na tunalichukua kombe la CAF na FEZA za maana USD 1.25 million.
 
Mabingwa ni sisi YANGA nyie SIMBA ni runners wala hamkushiriki kilabu bingwa kwa sababu ya kuwa mabingwa, mulikua mabingwa wa ligi gani? always mabingwa huwa tuna alternative ndo maana ilipofeli plan ya klabu bingwa bado tukawa na plan B. Sasa nyie mabingwa gani hata kombe moja hamna halafu munaleta kejeri, Komaeni na kombe lenu la KUFA KIUME. Na tunalichukua kombe la CAF na FEZA za maana USD 1.25 million.
Nyie mmeleta kombe gani mkuu???
 
Back
Top Bottom