Ninashangaa sana wanaojaribu kuilinganisha Yanga sc na vilabu vingine Tanzania

Ninashangaa sana wanaojaribu kuilinganisha Yanga sc na vilabu vingine Tanzania

Yes shirikisho ni kombe rahis mno yeyote anaweza kubeba kulingana na upepo upepo umemwangukia vipi ,ni kombe ambalo huwez kutabir Nan anatwaa tofaut na club bingwa unaweza kutabir kabisa kuwa kati ya Alhly ,mamelod ,raja au wydad mmoja wapo atabeba .
Sasa embu niambie huko shirikisho ni timu zipi unaweza kuzitabilia ubingwa?
Mwaka Jana Berkane kabeba hilo kombe vipi huu msimu kaishia wap?
Hapa hakuna kukwepa ukweli kipimo sahihi Cha timu yeyote Ile ndani ya hili bara ni huko club bingwa ,ukipasua huko hayo ndio mafanikio ya maana na utaanza kujiamin mbele ya wanaume.

Pesa anayopata mshindi wa pili shirikisho ni sawa na pesa anayopata mtu aliyeishia robo club bingwa, Bado huon huo utofaut.
Yanga wamejitahid hatukatai ila swala la kujimwambafai et mnamzid Simba kimataifa huko ni kukosa heshima .
Wasudan tu na waganda wamewatoa jasho je ungeweza kupenya Kwa hao wanaume?
Hayo anayofanya mayele mbele ya marumo angeweza kutakata mbele ya mamelod ,Alhly ,raja ,wydad,Esparance ,Simba,Petro de Luanda?
Kama yanga ni kubwa Kwa Simba basi msimu ujao tunataka yanga athibitishe hilo angalau Kwa kufika hata robo club bingwa alafu baadae ndio tukae tuongee kuwa yanga ni mkubwa Kwa simba
Hii ya kila aya kumalizia "mbele ya hao wanaume" kunatoa picha ya aina yake.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mara nyingi huwa ninaona watu wakijaribu kulinganisha vilabu hivi viwili vya Yanga na Simba, Ila kiuhalisia vilabu hivi vinatofautiana sana kiumri,mafanikio na hata kihistoria.

1.Kiumri Yanga ilianzishwa February 11, 1935, Mwaka mmoja kabla ya kuanzishwa Simba Sc, kwa hiyo kiumri ni wazi Yanga Sc ni kaka yake na Simba Sc.

2.Kimafanikio ndani ya nchi, Yanga ndiye timu iliyowahi kutwaa vikombe vingi zaidi katika Ligi kuu bara (kiambatanisho), Pia Yanga Sc imetwaa mataji mengi zaidi ya Simba Sc katika mashindano mengine ya ndani ikiwemo FA Cup na Ngao ya jamii.Kwa takwimu hizi nitashangaa kuona mtu akilinganisha Yanga Sc na vilabu vingine hususan ndani ya nchi.

View attachment 2626539

3.Kimafanikio nje ya nchi, Yanga sc ndiye timu pekee iliyowahi kushiriki nusu fainali na hatimaye fainali na endapo itatwaa kombe basi itakuwa club ya kwanza kutoka Tanzania kushiriki na hatimaye kutwaa taji la moja ya mashindano makubwa zaidi ya mpira wa miguu barani Afrika.

Kwa mafanikio na historia hii ya Yanga sc, Nitashangaa sana kuona club hii ikilinganishwa na timu yoyote ndani ya Tanzania.
View attachment 2626540
FB_IMG_16844401072168540.jpg
 
Yes shirikisho ni kombe rahis mno yeyote anaweza kubeba kulingana na upepo upepo umemwangukia vipi ,ni kombe ambalo huwez kutabir Nan anatwaa tofaut na club bingwa unaweza kutabir kabisa kuwa kati ya Alhly ,mamelod ,raja au wydad mmoja wapo atabeba .
Sasa embu niambie huko shirikisho ni timu zipi unaweza kuzitabilia ubingwa?
Mwaka Jana Berkane kabeba hilo kombe vipi huu msimu kaishia wap?
Hapa hakuna kukwepa ukweli kipimo sahihi Cha timu yeyote Ile ndani ya hili bara ni huko club bingwa ,ukipasua huko hayo ndio mafanikio ya maana na utaanza kujiamin mbele ya wanaume.

Pesa anayopata mshindi wa pili shirikisho ni sawa na pesa anayopata mtu aliyeishia robo club bingwa, Bado huon huo utofaut.
Yanga wamejitahid hatukatai ila swala la kujimwambafai et mnamzid Simba kimataifa huko ni kukosa heshima .
Wasudan tu na waganda wamewatoa jasho je ungeweza kupenya Kwa hao wanaume?
Hayo anayofanya mayele mbele ya marumo angeweza kutakata mbele ya mamelod ,Alhly ,raja ,wydad,Esparance ,Simba,Petro de Luanda?
Kama yanga ni kubwa Kwa Simba basi msimu ujao tunataka yanga athibitishe hilo angalau Kwa kufika hata robo club bingwa alafu baadae ndio tukae tuongee kuwa yanga ni mkubwa Kwa simba
Sanamu la Rage linachelewa sana kujengwa! Hawa mbumbumbu fc kwao ni mirembe! Yaani hawataki kabisa kukubali Yanga ni ya moto sana mfano mdogo tu kombe la Azam Federation makolo wameumaliza mwendo nusu fainali Yanga Leo tumetinga fainali, kombe la bara msimu wa pili tayari makolo wanasindikiza wanaume tu!

Shirikisho ni kombe kubwa la pili Africa SiO rahisi maana hata timu ambazo hazimo kama Azam tu makolo hamuwawezi mngeitoa Mazembe?

Masahihisho:
mshindi WA pili shirikisho anabeba pesa ndefu 2.3B kuzidi aliefika robo fainali klabu bingwa Afrika 2.1B. Ndugu yangu ushabiki utakuua kubali tu hamjiwezi! Tafuta takwimu boss.
 
Najaribu kuwaza. Hivi Yanga wangefika robo fainali CAF champions league na kushika nafasi ya pili kwenye ligi, tungesema msimu kwao umekuwa wa mafanikio au failure? Mwanayanga yeyote aje ajibu hili swali.
Hayo sio mafanikio
 
Mara nyingi huwa ninaona watu wakijaribu kulinganisha vilabu hivi viwili vya Yanga na Simba, Ila kiuhalisia vilabu hivi vinatofautiana sana kiumri,mafanikio na hata kihistoria.

1.Kiumri Yanga ilianzishwa February 11, 1935, Mwaka mmoja kabla ya kuanzishwa Simba Sc, kwa hiyo kiumri ni wazi Yanga Sc ni kaka yake na Simba Sc.

2.Kimafanikio ndani ya nchi, Yanga ndiye timu iliyowahi kutwaa vikombe vingi zaidi katika Ligi kuu bara (kiambatanisho), Pia Yanga Sc imetwaa mataji mengi zaidi ya Simba Sc katika mashindano mengine ya ndani ikiwemo FA Cup na Ngao ya jamii.Kwa takwimu hizi nitashangaa kuona mtu akilinganisha Yanga Sc na vilabu vingine hususan ndani ya nchi.

View attachment 2626539

3.Kimafanikio nje ya nchi, Yanga sc ndiye timu pekee iliyowahi kushiriki nusu fainali na hatimaye fainali na endapo itatwaa kombe basi itakuwa club ya kwanza kutoka Tanzania kushiriki na hatimaye kutwaa taji la moja ya mashindano makubwa zaidi ya mpira wa miguu barani Afrika.

Kwa mafanikio na historia hii ya Yanga sc, Nitashangaa sana kuona club hii ikilinganishwa na timu yoyote ndani ya Tanzania.
View attachment 2626540
Simba ana makombe mengi zaidi ya Mashindano kwa ujumla kuliko Yanga.
Ana makombe 58 hivyo Simba ni mkubwa kimafanikio kuliko Yanga.
 
Yes shirikisho ni kombe rahis mno yeyote anaweza kubeba kulingana na upepo upepo umemwangukia vipi ,ni kombe ambalo huwez kutabir Nan anatwaa tofaut na club bingwa unaweza kutabir kabisa kuwa kati ya Alhly ,mamelod ,raja au wydad mmoja wapo atabeba .
Sasa embu niambie huko shirikisho ni timu zipi unaweza kuzitabilia ubingwa?
Mwaka Jana Berkane kabeba hilo kombe vipi huu msimu kaishia wap?
Hapa hakuna kukwepa ukweli kipimo sahihi Cha timu yeyote Ile ndani ya hili bara ni huko club bingwa ,ukipasua huko hayo ndio mafanikio ya maana na utaanza kujiamin mbele ya wanaume.

Pesa anayopata mshindi wa pili shirikisho ni sawa na pesa anayopata mtu aliyeishia robo club bingwa, Bado huon huo utofaut.
Yanga wamejitahid hatukatai ila swala la kujimwambafai et mnamzid Simba kimataifa huko ni kukosa heshima .
Wasudan tu na waganda wamewatoa jasho je ungeweza kupenya Kwa hao wanaume?
Hayo anayofanya mayele mbele ya marumo angeweza kutakata mbele ya mamelod ,Alhly ,raja ,wydad,Esparance ,Simba,Petro de Luanda?
Kama yanga ni kubwa Kwa Simba basi msimu ujao tunataka yanga athibitishe hilo angalau Kwa kufika hata robo club bingwa alafu baadae ndio tukae tuongee kuwa yanga ni mkubwa Kwa simba
Fact kabisa
 
Mara nyingi huwa ninaona watu wakijaribu kulinganisha vilabu hivi viwili vya Yanga na Simba, Ila kiuhalisia vilabu hivi vinatofautiana sana kiumri,mafanikio na hata kihistoria.

1.Kiumri Yanga ilianzishwa February 11, 1935, Mwaka mmoja kabla ya kuanzishwa Simba Sc, kwa hiyo kiumri ni wazi Yanga Sc ni kaka yake na Simba Sc.

2.Kimafanikio ndani ya nchi, Yanga ndiye timu iliyowahi kutwaa vikombe vingi zaidi katika Ligi kuu bara (kiambatanisho), Pia Yanga Sc imetwaa mataji mengi zaidi ya Simba Sc katika mashindano mengine ya ndani ikiwemo FA Cup na Ngao ya jamii.Kwa takwimu hizi nitashangaa kuona mtu akilinganisha Yanga Sc na vilabu vingine hususan ndani ya nchi.

View attachment 2626539

3.Kimafanikio nje ya nchi, Yanga sc ndiye timu pekee iliyowahi kushiriki nusu fainali na hatimaye fainali na endapo itatwaa kombe basi itakuwa club ya kwanza kutoka Tanzania kushiriki na hatimaye kutwaa taji la moja ya mashindano makubwa zaidi ya mpira wa miguu barani Afrika.

Kwa mafanikio na historia hii ya Yanga sc, Nitashangaa sana kuona club hii ikilinganishwa na timu yoyote ndani ya Tanzania.
View attachment 2626540
Mwenyew nashangaaa...
 
Ujinga ni kipaji pia ambacho mleta uzi unacho
 
Kushika nafasi ya pili ni mafanikio?
Kuishia robo fainali ni mafanikio?
Kama kuishia robo CAFCL sio mafanikio,utopolo uliishia hatua gani?maana nao walishiriki kabla ya kufurushwa na kwenda luzaz kapu
 
Back
Top Bottom