Ninasumbuliwa na "Chronical Acne. Zinaninyima amani mbele za watu

Pole, hapo tatizo liko damuni, tezi aina ya sebaceous gland zinazalisha mafuta kuliko mahitaji ya ngozi , yanapoziba mafuta haya ndo huvimba ,hapo tunaita chunusi. Wasiliana nami kwa 0713 039 875 ,nione picha ya uso kwa ushauri bure
 
Kunywa maji mengi ,pumzika vya kutosha ,kula matunda sana ,olewa upelekewe moto kwa week mara tatu.
 
Hilo tatizo liko damuni ,kuna tezi zinaitwa sebaceous gland zinazalisha mafuta kuliko mahitaji ya ngozi. Lazima upate dawa ya kunywa na ya kupaka hasa mimea kama euphorbia hirta na warbugia ugandensis. Tuwasiliane kwa ushauri zaidi
 
Chunusi mm nilizipata nikiwa First year...ila zikaisha zenyewe...Wewe Tafuta tu mwenza anayekupa Amani
 
Toa somo shangaziiii!!!
 
Hii ya Alovera alitumia kaka, alipona kabisaa had leo hana chunusii.
 
Una mke au mume?
Sometimes dawa ya ngozi ni sex ..
Hasa kama tatizo ni hormones imbalances...
Unapaswa Ku sex mara Kwa mara ...utashangaa...ukiongeza na kuoga maji ya Bahraini Tu ... utashangaa Sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…