Ninasumbuliwa na "Chronical Acne. Zinaninyima amani mbele za watu

Ninasumbuliwa na "Chronical Acne. Zinaninyima amani mbele za watu

Kama product zenye Salicylic acid zimeshindikana jaribu bidhaa zenye Benzoyl peroxide au Azeliac acid.

Ukisema umetumia bidhaa za CeraVe natatizika sababu si bidhaa zote za kampuni husika zinamfaa mtu mwenye Acne prone skin.

Kwasababu umeshaanza kujua hizo actives unazozihitaji kwaajili ya aina ya ngozi yako basi kuwa keen na product unazouziwa, hakikisha umesoma na kuelewa kilichopo. Nasikitika kusema wauza product wengi hawajui wanachofanya, alimradi mtu ana mtaji tu anaamua kuanza kutuuzia bidhaa, be keen.

Otherwise mtiririko wa matumizi wa product unaweza kufuatisha huo aliouweka Aliyah hapo juu. Kikubwa elewa unachotumia kina nini ndani yake, na kama kilichopo kinahitajika kwa ngozi yako.

Umesema pia una sensitive skin; Bidhaa yeyote yenye Oat itakufaa maana kazi ya bidhaa zenye oat ni kupooza ngozi.

Pole na kila heri.
 
Treatment ni kuwa na routine bidhaa mbili sio rahis kutibu pia ni lazima ufanye double cleansing
Facewash
Cleanser
Toner
Serum
Moisturizer na
Sunscreen ukishindwa bas hakikisha una
Face wash
Cleanser
Moisturizer na sunscreen
Okay, uishi miaka 💯.
Nimependa ushauri wako, kujishikashika usoni na kutumbua kweli hapo huwa naferi, pia kubadili bidhaa huwa nawahi sana, nitafanya kama ulivyosema.
Pia nitachukua na sunscreen....
Facewash huwa natumia CeraVe foaming cleanser,, nitaongezea ambavyo sina asante.
 
Okay, uishi miaka 💯.
Nimependa ushauri wako, kujishikashika usoni na kutumbua kweli hapo huwa naferi, pia kubadili bidhaa huwa nawahi sana, nitafanya kama ulivyosema.
Pia nitachukua na sunscreen....
Facewash huwa natumia CeraVe foaming cleanser,, nitaongezea ambavyo sina asante.
Hata hiyo ni nzuri muhimu kuwa mvumilivu kupona ni process sio Kwa wiki 1 Wala 2 jipe hata miezi 2 au hata 3 na product zako hivohivo then uone matokeo yatakuaje
Kuna mda unaweza pakaa product wiki 2 unaanza kuona chunus mpya usiache na usitumbue endelea nazo tu
Pia kunywa Maji mengi ni muhimu Kwa ngozi
Kila la kheri dear
 
Okay, uishi miaka 💯.
Nimependa ushauri wako, kujishikashika usoni na kutumbua kweli hapo huwa naferi, pia kubadili bidhaa huwa nawahi sana, nitafanya kama ulivyosema.
Pia nitachukua na sunscreen....
Facewash huwa natumia CeraVe foaming cleanser,, nitaongezea ambavyo sina asante.
Kutumbua ndo kunazalisha mpya na kuacha madoa meusi usoni
 
Hata hiyo ni nzuri muhimu kuwa mvumilivu kupona ni process sio Kwa wiki 1 Wala 2 jipe hata miezi 2 au hata 3 na product zako hivohivo then uone matokeo yatakuaje
Kuna mda unaweza pakaa product wiki 2 unaanza kuona chunus mpya usiache na usitumbue endelea nazo tu
Pia kunywa Maji mengi ni muhimu Kwa ngozi
Kila la kheri dear

Asante sana...........🙏
 
Pima Maambukiz ya HIV maana chunusi nazo ni dalili
Niko OG, maana nishapima mara nyingi sana ila nipo OG tu.

Ilifika wakat mtaani watu wanasema mwamba kaoza!!.
Ila kila nikienda kufanya checkup ya damu lazima nipime na HIV......
Asante sana........
 

Attachments

  • 1702458651113-1814661250.jpg
    1702458651113-1814661250.jpg
    826.5 KB · Views: 13
  • 1702458852754-813421333.jpg
    1702458852754-813421333.jpg
    1.4 MB · Views: 15
Nilipitia hyo Hali,.., mwisho wa siku nikaikukubali hyo Hali nikawa najitahidi kunawa USO mara Kwa mara, nikawa sipaki kitu chochote usoni nikajisusa zikapotelea hukooo.
😅😂😂😂...
Kila nikijaribu kujisahau wadau wananikumbusha kila nikiwazoom tu kosa... Ushauri nasaha wa kutumia sabuni ya Rungu ndo huwa nakumbushwa...
 
Chukua mmea wa Alovera ukate katikati ule ute wake upake Usoni,... iache mpaka baad ya masaa mawili nawa uso wako na sabuni, hakikisha unatumia kila siku kwa muda wa Mwezi mmoja.

Chaguo la pili Kam utasindwa la kwanza basi fata hii, nunua mafuta ya nazi yapake usoni baada ya masaa mawili nenda kanawe uso ila kwa hii usinawe na sabuni.

Usipopona kwa kutumia mojawapo kati ya njia hizo basi Nipigwe Ban ya maisha humu JF.
 
Sasa muhimu kwanza kabla ya product ni kutambua tatizonna kurekebisha mazingira Yako binafs kwanza
1.unatakiwa ubadilishe mlo kama mpenz wa junk food ni janga
2.pima hormone Kuna wakat ni mvurugiko wa hormone unaweza kazana na product kumbe shida ni hiyo
3.hakikisha una badilisha folonya za mito ya kulalia Kila baada ya siku 3
4.uistumbue chunusi Wala kushika shika uso pia hakikisha Kam unapaka makeup unatumia brash safi ni vema kma mpenz uwe na brash zako mwenyewe unaenda nazo saloon
5.kupona ni process sio muujuza acha kuchange product Kila wakat tumia moja sio chini ya miez miwil hata mitatu kuna product zinachelewa kukupa matokeo
6.kutibu chunusi na madoa ni Kosa anza na chunusi zikiisha ndio unatafuta ya kuondoa madoa ukiwa hujacontrol chunus kupona madoa ni ndoto na ukitumbua chunusi ni tatizo zaid
Hii 1 mpaka 3 mmmh
 
Sasa Ndugu yangu si ungesema Tu unasumbuliwa na chunusi? Kulikua na ulazima gani wa kutaja majina magumu magumu asubuhi yote hii? Anyway, angalia allergy ila sidhani kama hizo ndude ni big deal
Ushauri mzuri, kwa sababu hata mimi nili skip hii mada nikijua ni mambo ya vijana kumbe maladhi
 
Back
Top Bottom