Kisesetusese
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 393
- 615
Nimeeleweka vzr tu acha muhangaike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani niache watoto watoto wa kike wallet close na mtu mzima? Acha niwe kichaa..nakubaliMKUU SIDHANI KAMA UNA AKILI TIMAMU!
Nisamehe lakini!
Hapo ujue unabishana na wanaolala lwa dada na kaka zao...wapotezeee ni mataahiraYaani watoto wa kike walale kwa ukaribu na wanaume?? Watu wengine ninwapumbavu sana kutetea hii ki2
Unaandika huku umelewa😅😅Wanaume wa siku hiz wana sex na watoto wao seuze mjomba wao.? Linda watoto wako mkuu
Wana u special gani hao watoto wako?Mpaka uhofie huyo kijana atawabaka?Yaani niache watoto watoto wa kike wallet close na mtu mzima? Acha niwe kichaa..nakubali
Miaka 30 bado analelewa? Muepusheni na majanga ya tamaa za mwiliWife anampenda sana mdgo ake wa kiume mwenye umri wa miaka 30. Nina watoto wa kike 6 wenye range ya 3 years.
Huyu kijana[shemeji] analala humuhum na watoto japo vyumba tofauti.
Wasiwas wangu ni huyu ni wakiume na amebarehe anaweza akabaka watoto.
Mke anampenda mdgo ake ambaye ndio shemeji.
Nimempa Wife makavu....
Sujali amejisikiaje.... hapa kuna ugomvi na hanielewi
Nimemwambia ikitokea mdg ake amebaka hapa ndani basi ajiandae....
Je nimekosea?
Kasema ana watoto wa kike 6 ambao wana range ya miaka 3 na huyo anko wao i.e mkubwa ana miaka 27.Ni kwamba tu humpendi huyo kijana akae hapo basi unamtafutia sababu.
Kijana wa miaka 30 ahangaike kweli kubaka binti wa miaka 3 ?
😄 🤣 bado hujaerewa maana ya kutusiwaYaani niache watoto watoto wa kike wallet close na mtu mzima? Acha niwe kichaa..nakubali