Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Jamaa ana hoja na ana akili sana tuMKUU SIDHANI KAMA UNA AKILI TIMAMU!
Nisamehe lakini!
Wewe ndio jitafakari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana hoja na ana akili sana tuMKUU SIDHANI KAMA UNA AKILI TIMAMU!
Nisamehe lakini!
Ana hoja Kwa kulaza dume Zima ndani ya Nyumba na watoto wake wadogo?Jamaa ana hoja na ana akili sana tu
Wewe ndio jitafakari
Mambo ya Diddy yametokea wap mzeeKwa comments zako, utasaidiwa na Diddy tu baada ya kupakwa mafuta.
Walinde mabinti zako, namshangaa sana huyo mwanamama mwenzangu. Matukio mabaya haya mara nyingi sana hufanywa na watu wanaowafahamu watoto, wanaoishi nao nyumba moja. Ondoa huyo shemeji, wewe ndio baba wa familia toa tamkoWife anampenda sana mdgo ake wa kiume mwenye umri wa miaka 30. Nina watoto wa kike 6 wenye range ya 3 years.
Huyu kijana[shemeji] analala humuhum na watoto japo vyumba tofauti.
Wasiwas wangu ni huyu ni wakiume na amebarehe anaweza akabaka watoto.
Mke anampenda mdgo ake ambaye ndio shemeji.
Nimempa Wife makavu....
Sujali amejisikiaje.... hapa kuna ugomvi na hanielewi
Nimemwambia ikitokea mdg ake amebaka hapa ndani basi ajiandae....
Je nimekosea?
Hii point kubwa sanWalinde mabinti zako, namshangaa sana huyo mwanamama mwenzangu. Matukio mabaya haya mara nyingi sana hufanywa na watu wanaowafahamu watoto, wanaoishi nao nyumba moja. Ondoa huyo shemeji, wewe ndio baba wa familia toa tamko
Hujui lolote kuhusu watoto mby zaidi hata wakiume laxima uwe makini.mwehu weweKuna viashiria gani unaviona mpaka useme huyo shemeji yako atabaka wanao wa miaka 3!!
Ana tamaa kiasi hicho mkuu au ni chuki zako kwake kisa mkeo anampenda mdogo wako kuliko wewe.
Nimefanya hivyo mkuuUsimfukuze tumia hekima zaidi waweza hata kumtafutia nyumba ya kukaa.
Hajielewi max hawez sapoti dhambi🤣🤣😅Mkuu Naona umekimbilia polisi.
Achana naye na stori zake za kichawiJamaa ana hoja na ana akili sana tu
Wewe ndio jitafakari
Niliongea na wife ila anahisi nimemtukania familia yake.Wanaokupinga hawana familia
Kimsingi
Niliongea na wife ila anahisi nimemtukania familia yake.
Binafsi nimejilipua kwamba kama sijawahi kuonyesha rangi yangu nilieleza kwamba nipo kwa ajili ya kupigania watoto. Wanaume wanalala na watoto.wao, mwanaume alieoa alale na mkewe au alale pekaake chumba separate...
Usijione umejenga nyumba una haki kulala na wanao..utawafanya tu siku makalio au wakibalehe...
Siku ikitokea mwanangu amelalamika juu ya huu upuuzi kituo cha kwnza ni polisi. Pili ni kukata mboo ya shemeji
Nitaibanika kama mshikaki..na nitaitisha kikao kuonyesha mboo iliyochomwa kama mshkaji kwamba imefanya jambo baya
Mental illness is real.Nimeeleweka vzr tu acha muhangaike