Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee kiraka unaonekana bado unaishi Kwa shemeji, usipoangalia utakuwa mke wa piliWana u special gani hao watoto wako?Mpaka uhofie huyo kijana atawabaka?
Nimecheka kipuuzi,,,MKUU SIDHANI KAMA UNA AKILI TIMAMU!
Nisamehe lakini!
Kuna mishe linasikilizia 😀Daah! Sasa hilo baba zima mnakaa nalo la nini?
Shemeji utakuwa na changamoto ya afya ya akiliWife anampenda sana mdgo ake wa kiume mwenye umri wa miaka 30. Nina watoto wa kike 6 wenye range ya 3 years.
Huyu kijana[shemeji] analala humuhum na watoto japo vyumba tofauti.
Wasiwas wangu ni huyu ni wakiume na amebarehe anaweza akabaka watoto.
Mke anampenda mdgo ake ambaye ndio shemeji.
Nimempa Wife makavu....
Sujali amejisikiaje.... hapa kuna ugomvi na hanielewi
Nimemwambia ikitokea mdg ake amebaka hapa ndani basi ajiandae....
Je nimekosea?
Mshana Jr ukiongea tunazingatia. Aepushweje na majanga?Miaka 30 bado analelewa? Muepusheni na majanga ya tamaa za mwili
Wife anampenda sana mdgo ake wa kiume mwenye umri wa miaka 30. Nina watoto wa kike 6 wenye range ya 3 years.
Huyu kijana[shemeji] analala humuhum na watoto japo vyumba tofauti.
Wasiwas wangu ni huyu ni wakiume na amebarehe anaweza akabaka watoto.
Mke anampenda mdgo ake ambaye ndio shemeji.
Nimempa Wife makavu....
Sujali amejisikiaje.... hapa kuna ugomvi na hanielewi
Nimemwambia ikitokea mdg ake amebaka hapa ndani basi ajiandae....
Je nimekosea?
Hata wewe umo?? Ila sishangai kwa bodaboda ni walewaleMKUU SIDHANI KAMA UNA AKILI TIMAMU!
Nisamehe lakini!
Lugha yako imekosa staha wanaume ukiwa na familia uongei sana wewe ni matendo tu . Muite fundi aje atengeneze Banda la bati nje muamishie shemeji yako huko kama umtaki ataondoka mwenyewe . Imeisha hiyoWife anampenda sana mdgo ake wa kiume mwenye umri wa miaka 30. Nina watoto wa kike 6 wenye range ya 3 years.
Huyu kijana[shemeji] analala humuhum na watoto japo vyumba tofauti.
Wasiwas wangu ni huyu ni wakiume na amebarehe anaweza akabaka watoto.
Mke anampenda mdgo ake ambaye ndio shemeji.
Nimempa Wife makavu....
Sujali amejisikiaje.... hapa kuna ugomvi na hanielewi
Nimemwambia ikitokea mdg ake amebaka hapa ndani basi ajiandae....
Je nimekosea?
Kuna namna nimeonyesha hapo nimesapoti huo Ujinga?
Nimo kwenye Nini?Hata wewe umo?? Ila sishangai kwa bodaboda ni walewale
Aliyekwambia uwaache watoto wadogo walale na hilo Jitu Zima nani?,Ndiyo maana nimekuuliza Una akili timamu kweli?Yaani niache watoto watoto wa kike wallet close na mtu mzima? Acha niwe kichaa..nakubali