Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Mamdogo hata kapicha hamna kweli? Anyway Nina anko wangu amestaafu ana hivyo vigezo vyote japo kwenye ajira baada ya kustaafu huwa analinda kwa wahindi so vihela vya pombe hakosi kabisa japo ni msabato ila anakunywaga konyagi au pombe mwitu sababu ya kupoza baridi akiwa lindoni usiku
Ngoja nikuunganishe naye muyajenge
 
Not really
Inner story Mimi nimeacha sijaachwa. Hata yeye anatamani turudiane Ila nikipita ni me pita. Ilikuwa ndoa na sio uhuni.
Anyways u have the right to voice up your opinions.
wanawake wa sasa wapumbav sana, akili ya kijinga sana hii, unajisifu ujinga ilihali watoto ndiyo wanaoumia

dronedrake kuna chimbo huku mwamba. Acha kupiga nyeto kula chuma hiki
hapana, babycare yangu ni bora kuliko huyu null set
 
Wewe kweli gubegube kubwa.

Unajuaje kama mume alimtesa dada wa watu akaamua kuondoka akaishi peke yake? Unafikiri kuna mwanamke anayependa kuachana na mume wake?

Halafu kwanini iwe yeye ndio kaachwa/kukimbiwa?
Hata sisi wanawake tunaacha pia.
Inajulikana hivyo kwamba mwanamke akiwa tu msomi kuliko mumewe, harafu akawa na hela basi humo ndani ni sodoma na gomola maana anakuwa superstar nyodo kama zote kama thread ja mwamba mmoja anaelalamika humu baada ya kumsomesha mkewe. Hatujasikia upande wa pili ila mi ninachojua pia ninachoamini na pia ndio ukweli wenyewe HAMNA MWANAUME YEYOTE ATAKAE KUBALI KUMUACHA AU KUACHWA NA WIFE MATERIAL hilo halipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…