nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
KuumizwaAlafu boss wanaume wengi hapa wako so bitter [emoji34] ... Nini tatizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KuumizwaAlafu boss wanaume wengi hapa wako so bitter [emoji34] ... Nini tatizo?
Unawabania vijana iyo vacancy mkuu.Nataka Wazee wenzangu mkuu
Vijana wa mama samia wataninyanyasa na uzee wangu [emoji2]
Mamdogo hata kapicha hamna kweli? Anyway Nina anko wangu amestaafu ana hivyo vigezo vyote japo kwenye ajira baada ya kustaafu huwa analinda kwa wahindi so vihela vya pombe hakosi kabisa japo ni msabato ila anakunywaga konyagi au pombe mwitu sababu ya kupoza baridi akiwa lindoni usikuHello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani.
Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo
Mwili wa kawaida wenye mvuto kimapenzi japo (sina chura kubwa).
Nina watoto 2
Nimeachana na mwenzangu kwa sababu Ambazo hazizuiliki kwa miaka 3 sasa (siwazi kupasha kiporo kwa namna yoyote ile).
Elimu ya masters
Ajira: nimejiajiri Ila wakati flani flani fursa zinapotokea naajiriwa ajira za muda mfupi (mfano kwenye projects n. k).
Ninatafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo;
Awe mtu mzima ambaye yuko single kwa sababu za kufiwa na mke, au talaka ya kawaida. Ila ambaye yuko katika umri wa utu uzima Ila hajawahi kuoa hapana.
Awe na watoto... Ila ni vizuri wakiwa wa mama mmoja. Sio watoto 5 kila mtoto na mama yake.
Awe na akili ya maendeleo na kuboresha maisha.
Urefu wowote
Rangi yoyote
Elimu ya degree masters au PhD itapendeza zaidi.
Awe mkristo (akiwa msabato au mlokole ni vizuri zaidi).
Awe na chanzo cha mapato kinachoeleweka (mfano ajira binafsi au kuajiriwa).
Awe tayari kushirikiana au kunisaidia mawazo ya namba gani ya kuboresha kile njnachofanya au hata mawazo mapya ya kujenga.
Awe father material na mkarimu.
Ninaomba walio serious tu ndio waje PM. Pls pls usije PM kama hauko serious.
Asanteni waungwana.
wanawake wa sasa wapumbav sana, akili ya kijinga sana hii, unajisifu ujinga ilihali watoto ndiyo wanaoumiaNot really
Inner story Mimi nimeacha sijaachwa. Hata yeye anatamani turudiane Ila nikipita ni me pita. Ilikuwa ndoa na sio uhuni.
Anyways u have the right to voice up your opinions.
hapana, babycare yangu ni bora kuliko huyu null setdronedrake kuna chimbo huku mwamba. Acha kupiga nyeto kula chuma hiki
nenda na mixing kali za Slow Jams dadaetu akaupoze moyoSijui nijilipueee
Ipo shida mahala!!Elimu ya degree masters au PhD itapendeza zaidi.
Awe mkristo (akiwa msabato au mlokole ni vizuri zaidi).
Lakini ile stori ilikuwa ni kweli ama ilikuwa changamsha genge?Michezo ya utotoni hii. Ujinga ulikuwa mwingi.
Me PhD niitoe wapi?
Age yangu ni 38. Hutaki basi boss
Inajulikana hivyo kwamba mwanamke akiwa tu msomi kuliko mumewe, harafu akawa na hela basi humo ndani ni sodoma na gomola maana anakuwa superstar nyodo kama zote kama thread ja mwamba mmoja anaelalamika humu baada ya kumsomesha mkewe. Hatujasikia upande wa pili ila mi ninachojua pia ninachoamini na pia ndio ukweli wenyewe HAMNA MWANAUME YEYOTE ATAKAE KUBALI KUMUACHA AU KUACHWA NA WIFE MATERIAL hilo halipoWewe kweli gubegube kubwa.
Unajuaje kama mume alimtesa dada wa watu akaamua kuondoka akaishi peke yake? Unafikiri kuna mwanamke anayependa kuachana na mume wake?
Halafu kwanini iwe yeye ndio kaachwa/kukimbiwa?
Hata sisi wanawake tunaacha pia.
Wazee wenzangu, hili ndio pumziko sasa. Mkifeli hapa hampati tena, bahati tu anataka singles
AsanteNmekuelewa sana ulivyojielezea, Kila la heri umpate unaemhitaji.
Kuchangamsha tu ndugu.Lakini ile stori ilikuwa ni kweli ama ilikuwa changamsha genge?
Hahahahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 khaSina degree wala master nina cheti ch Tycs tu, sijui naweza kukufaa. And I bet you won't be disappointed with me😉
AsanteKila la heri
Nani amekwambia mimi ni woman? BTW Relax madam 😁 usifanye kama hujaizoea jeiefuWomen attacking women
Thanks for your opinions.
😂😂😂 nisamehewe bhanaWhy are you like that😂
Nisamehe bossAcha uchokozi wewe