Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Ndugu kuoana ni process ambayo huanzi tu ukajikuta kanisani.
Hapo katikati kuna kusomana na kuangalia kipi kinabebeka na kipi hakibebeki.
Alafu mbona watu wanapoachana lawama zote au mabaya yote anatupiwa m wa mwanamke? Kwani hakuna wanaume wenye tabia zisizofaa na Hivyo kuharibu ndoa?
Huwa sijibu negative comments lakini kiroho safi nimejikuta nakuelewesha.
Kwasababu mwanamke ndie anavunja mahusiano kiuhalisia. Hatusemi wanawake wote huwa wanastahili kulaumiwa ila 99% lawama lazima zije kwa mwanamke sababu ndie kisababishi cha migogoro mingi ya mahusiano kwasababu ya namna mnachukulia mahusiano na wanaume plus tabia za kufanya maamuzi kwa kutumia msukumo wa hisia badala ya akili au logic.

Fuatilia mahusiano mengi yanapositishwa ni mara chache sana ukute mwanaume ndie anayetaka yaishe mara nyingi ni wanawake sababu ya insecurities na discomforts zao.

Na shida inaanza na eneo la accountability kitu ambacho wanawake wa kileo hamna hata kidogo. Tukianza kuelezea hapa kwann wanawake ndio wa kulaumiwa utaona mnavyojitetea kwa kukubali makosa kisha kusema mlisababishiwa.

So let's be clear and honest katika hilo eneo.
 
Hivi wanaume humu wengi wenu ni maisha magumu au ni stress!! Mko very bitter, ni negativity in allmost everything [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Unajua hata CCM wanapowasikia CHADEMA wanatoa hoja za msingi za kujenga na za kimaendeleo huwa wanachukulia negative.

Sasa wewe jiulize binafsi mwanaume anaweza kuwa tu negative bila sababu au ni wewe umefeli kuelewa wanachozungumza ambacho kinaonekana kukinzana na uhalisia wako.

Kuelewa hoja ni muhimu zaidi kuliko kuchagua upande wa kushindanisha hoja.

Mimi mwanamke akizungumza jambo la msingi namuunga mkono regardless linasapoti au kukinzana na uanaume siwezi sema mtu yupo negative na ana hoja ya msingi anaiweka mbele.
 
Kwasababu mwanamke ndie anavunja mahusiano kiuhalisia. Hatusemi wanawake wote huwa wanastahili kulaumiwa ila 99% lawama lazima zije kwa mwanamke sababu ndie kisababishi cha migogoro mingi ya mahusiano kwasababu ya namna mnachukulia mahusiano na wanaume plus tabia za kufanya maamuzi kwa kutumia msukumo wa hisia badala ya akili au logic.

Fuatilia mahusiano mengi yanapositishwa ni mara chache sana ukute mwanaume ndie anayetaka yaishe mara nyingi ni wanawake sababu ya insecurities na discomforts zao.

Na shida inaanza na eneo la accountability kitu ambacho wanawake wa kileo hamna hata kidogo. Tukianza kuelezea hapa kwann wanawake ndio wa kulaumiwa utaona mnavyojitetea kwa kukubali makosa kisha kusema mlisababishiwa.

So let's be clear and honest katika hilo eneo.
Nakuunga mkono,kinachowaponza wanawake wengi ni kusikiliza ushauri kwa wanawake wenzao ambao tayari ndoa zao ukifuatilia utakuta zimesha fail,haya wanayapata sana kwenye ma salon,vikoba na kwenye mikusanyiko ya kutetea haki zao,humo 90% ya wanawake wanajionyesha wao ni wanawake wanaowaburuza wanaume katika nyumba zao na hawako tayari kuwa chini ya wanaume....
 
I had those memories with very beautiful moments, time flies and no way to turn it back, tho we hadn’t much on our pockets but our local meal taste more adorable than anything, we didn’t care about our background’s neither status since it wasn’t treasured anymore over our relationship, love is beautiful thing only when cherished to the peak, it can make ur life easier and better as much as it could be. My Sis, we live once and we no more after that, glab what u love now and hold it tightly as much as u can, smile for it and cry for it it’s meditation, permit ur eyes to give u what’s right for ur brain, let ur brain decide what’s right for your heart so ur body can enjoy new adventures of love.

Life is good and love is beautiful, wore it so proudly[emoji3590]. Thank you.
 
Sasa ungetumegea kipande cha history ya mgogoro ili wataalamu wa miundombinu ya ndoa tufahamu shida ipo wapi na tuweze kushauri vema.


Wewe umeweka vigezo tu hapa vya mwanaume unayemtaka lakini fahamu jambo moja kwamba ulimwengu hautakupa unachotaka bali unachostahili.

Kustahili kwako ni matokeo ya tabia na mwenendo wako. Ukiwa mkimya ulimwengu utakupatia atakaependa ukmya wako, ukiwa unachonga ngenga utaletewa ambaye anapenda kelele na atadeal na wewe kwa namna ulivyo, ukiwa unajali na mpenda haki utaletea copy yako ya anayejali na mpenda haki version ya kiume.

Shida ni kuwa wanawake huwa hampendi kuona mabaya yenu kwanza ili muweze kujitambua mnaoperate vipi kwenye mahusiano.

Ukiona kupata mwanaume inakuwa ngumu jiulize mara mbili mbili kuwa shida ipo wapi kwann uwe mwanamke mzuri ushindwe vuta mwanaume mzuri uvutie wa hovyo tu?

So baada ya kusema hayo nakushauri utuonyeshe ushirikiano kwa kutupatia story au kipande kifupi sana cha experience ambayo umepitia kwa mwanaume uliyepata nae watoto wawili kisha ghafla umuache, nini kilitokea ewe mwali?
Akupe story kama nani kwani una vigezo anavyotaka.
Mtu kaja kutafuta mwenza wewe unaandika magazeti kibao unacommand akwambie walivyoachana na unatoa mawaidha.

Ungekuwa a real man ungeenda PM ukapata mawasiliano na hayo unayotaka ungejua mbele ya safari. Hii sio interview ya kazi.
 
Akupe story kama nani kwani una vigezo anavyotaka.
Mtu kaja kutafuta mwenza wewe unaandika magazeti kibao unacommand akwambie walivyoachana na unatoa mawaidha.

Ungekuwa a real man ungeenda PM ukapata mawasiliano na hayo unayotaka ungejua mbele ya safari. Hii sio interview ya kazi.
Hii inatofauti gani na interview?
 
MSIMAMO NI ULE ULE NDG ZANGU

KATAA NDOA

TUNZA KIBUNDA

DUMISHA FURAHA NA AMANI YA MOYO YA KWELI

Wewe hujiulizi why wameachana? Ndoa ni zile zile mahusiano ni yale yale... Hakuna kipya kama wamekosana, wametengana wakae chini wayajenge


Kataa ndoa, epuka matatizo mf. Ugonjwa wa Moyo...
 
MSIMAMO NI ULE ULE NDG ZANGU

KATAA NDOA

TUNZA KIBUNDA

DUMISHA FURAHA NA AMANI YA MOYO YA KWELI

Wewe hujiulizi why wameachana? Ndoa ni zile zile mahusiano ni yale yale... Hakuna kipya kama wamekosana, wametengana wakae chini wayajenge


Kataa ndoa, epuka matatizo mf. Ugonjwa wa Moyo...
Nyie ndo mnabaka watoto mitaani.
 
- Tumshauri: Mwanaume kamkimbia baada ya kupata ujauzito

Hapa ulikua wewe mwenyewe au mdogo wako kweli?

Kama ni mdogo wako kwanini mnakimbiwa sana na Wanaume? Una hakika gani huyu unayemtafuta sasa mtadumu kama dada mtu, mdogo mtu nk wanaaachwa! Umejaribu kufanya utafiti mdogo ukajua tatizo liko wapi
Ni yeye mwenyewe anajigeuza mara 2 mara kwanza anasema mdogo wake mara ya pili yeye amejitokeza kutaka mume. Anawafiligiza huyo.
 
HUU NI MTEGO WANANGU.[emoji30][emoji22]

KATAA NDOA.[emoji706]

TUNA SHEREHE 2 MBELE YETU.[emoji41]

X-MASS NA MWAKA MPYA, TUKIMALIZA KUNA KODI NA ADA ZA WATOTO SHULE


OYA WANANGU HUU NI MTEGO, KAENI MBALI... ALIKIWA WAPI JULY HUYU [emoji23][emoji1][emoji849]
 
Back
Top Bottom