Ninatamani sana niwepo kwenye kikosi kazi cha CCM cha kuhakikisha na kufanikisha ushindi wa Dkt. Samia 2025

Ninatamani sana niwepo kwenye kikosi kazi cha CCM cha kuhakikisha na kufanikisha ushindi wa Dkt. Samia 2025

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Nimejitoa kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa moyo na nguvu zangu zote. Ni muumini wa siasa za CCM na ninaamini bila CCM hakuna siasa safi wala viongozi bora na kwa mantiki hii nitajitoa kuhakikisha kinasalia madarakani.

Baada ya siku ya leo kutenguliwa kwa zuio la kutofanya mikutano ya hadhara basi nami najitoa rasmi kwa harakati ngumu za kumtengenezea ushindi wa kishindo Dkt. Samia na naamini atashinda.

Katika kufanikisha hili natambua haitakuwa kazi rahisi lakini ni kitu ambacho nitajitoa kuhakikisha linafanikiwa kwa sababu mpaka sasa kwa sifa na uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi alionao Dkt.Samia ushindi wake utakuwa laini sana. Wasionielewa wasubiri 2025 watanielewa.

Siku zote nitakuwa mstari wa mbele kuhakikisha nakuwa chachu ya CCM na Mwenyekiti wa CCM kukubalika. Halitakuwa Jambo rahisi lakini penye nia pana njia.

Kutenguliwa agizo la kutoruhusu mikuta ya hadhara kunaweza kukaleta athari za moja kwa moja kwa CCM au Mwenyekiti wa CCM hususani kueneza siasa za chuki kwamba serikali ya CCM haijafanya kitu kwa baadhi ya watu au kutumia hoja ya mikopo kama fimbo ya kuichapa CCM lakini hayo yote nimeyaangalia kwa undani na nimeona ninayamudu kuyaelezea kwa hoja za ushindani wa kisiasa.

Hoja zote zitajibiwa kwa hoja na vihoja kwa vihoja. Nitahakikisha taswira njema ya Dkt.Samia kuelekea 2025 inachorwa na haifutiki.

Hivyo basi kwa kutambua uwezo mkubwa na sifa njema alizonazo Dkt.Samia ninatamani niwe mmojawapo wa wataokaofanikisha safari hii ngumu na nzito kwa Dkt.Samia kuelekea 2025. Mpaka sasa ana asilimia kubwa ya kuweka historia kubwa ya ushindi , kwa picha na michoro nilichora ya kufanikisha ushindi wake, naamini itafanikiwa.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Ni Mimi muumini kindakindaki wa sera, Imani na siasa za CCM. Napatikana kupitia :0785 655 580
 
Nimejitoa kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa moyo na nguvu zangu zote. Ni muumini wa siasa za CCM na ninaamini bila CCM hakuna siasa safi wala viongozi bora na kwa mantiki hii nitajitoa kuhakikisha kinasalia madarakani.

Baada ya siku ya leo kutenguliwa kwa zuio la kutofanya mikutano ya hadhara basi nami najitoa rasmi kwa harakati ngumu za kumtengenezea ushindi wa kishindo Dkt. Samia na naamini atashinda.

Katika kufanikisha hili natambua haitakuwa kazi rahisi lakini ni kitu ambacho nitajitoa kuhakikisha linafanikiwa kwa sababu mpaka sasa kwa sifa na uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi alionao Dkt.Samia ushindi wake utakuwa laini sana. Wasionielewa wasubiri 2025 watanielewa.

Siku zote nitakuwa mstari wa mbele kuhakikisha nakuwa chachu ya CCM na Mwenyekiti wa CCM kukubalika. Halitakuwa Jambo rahisi lakini penye nia pana njia.

Kutenguliwa agizo la kutoruhusu mikuta ya hadhara kunaweza kukaleta athari za moja kwa moja kwa CCM au Mwenyekiti wa CCM hususani kueneza siasa za chuki kwamba serikali ya CCM haijafanya kitu kwa baadhi ya watu au kutumia hoja ya mikopo kama fimbo ya kuichapa CCM lakini hayo yote nimeyaangalia kwa undani na nimeona ninayamudu kuyaelezea kwa hoja za ushindani wa kisiasa.

Hoja zote zitajibiwa kwa hoja na vihoja kwa vihoja. Nitahakikisha taswira njema ya Dkt.Samia kuelekea 2025 inachorwa na haifutiki.

Hivyo basi kwa kutambua uwezo mkubwa na sifa njema alizonazo Dkt.Samia ninatamani niwe mmojawapo wa wataokaofanikisha safari hii ngumu na nzito kwa Dkt.Samia kuelekea 2025. Mpaka sasa ana asilimia kubwa ya kuweka historia kubwa ya ushindi , kwa picha na michoro nilichora ya kufanikisha ushindi wake, naamini itafanikiwa.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Ni Mimi muumini kindakindaki wa sera, Imani na siasa za CCM. Napatikana kupitia :0785 655 580
Ficha njaa zako. Unaweza kuhamasisha watu wammchague Mama Samia bila kuwepo kwenye kikosi kazi.
 
Nimejitoa kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa moyo na nguvu zangu zote. Ni muumini wa siasa za CCM na ninaamini bila CCM hakuna siasa safi wala viongozi bora na kwa mantiki hii nitajitoa kuhakikisha kinasalia madarakani.

Baada ya siku ya leo kutenguliwa kwa zuio la kutofanya mikutano ya hadhara basi nami najitoa rasmi kwa harakati ngumu za kumtengenezea ushindi wa kishindo Dkt. Samia na naamini atashinda.

Katika kufanikisha hili natambua haitakuwa kazi rahisi lakini ni kitu ambacho nitajitoa kuhakikisha linafanikiwa kwa sababu mpaka sasa kwa sifa na uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi alionao Dkt.Samia ushindi wake utakuwa laini sana. Wasionielewa wasubiri 2025 watanielewa.

Siku zote nitakuwa mstari wa mbele kuhakikisha nakuwa chachu ya CCM na Mwenyekiti wa CCM kukubalika. Halitakuwa Jambo rahisi lakini penye nia pana njia.

Kutenguliwa agizo la kutoruhusu mikuta ya hadhara kunaweza kukaleta athari za moja kwa moja kwa CCM au Mwenyekiti wa CCM hususani kueneza siasa za chuki kwamba serikali ya CCM haijafanya kitu kwa baadhi ya watu au kutumia hoja ya mikopo kama fimbo ya kuichapa CCM lakini hayo yote nimeyaangalia kwa undani na nimeona ninayamudu kuyaelezea kwa hoja za ushindani wa kisiasa.

Hoja zote zitajibiwa kwa hoja na vihoja kwa vihoja. Nitahakikisha taswira njema ya Dkt.Samia kuelekea 2025 inachorwa na haifutiki.

Hivyo basi kwa kutambua uwezo mkubwa na sifa njema alizonazo Dkt.Samia ninatamani niwe mmojawapo wa wataokaofanikisha safari hii ngumu na nzito kwa Dkt.Samia kuelekea 2025. Mpaka sasa ana asilimia kubwa ya kuweka historia kubwa ya ushindi , kwa picha na michoro nilichora ya kufanikisha ushindi wake, naamini itafanikiwa.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Ni Mimi muumini kindakindaki wa sera, Imani na siasa za CCM. Napatikana kupitia :0785 655 580
Kaka uteuzi wa ukuu wa wilaya hauanzii Jamii Forums!!! Punguza mahaba CCM watu wazima tuna akili timamu upambe ukizidi sana ni matatizo ya akili kaka!!!
 
Kaka uteuzi wa ukuu wa wilaya hauanzii Jamii Forums!!! Punguza mahaba CCM watu wazima tuna akili timamu upambe ukizidi sana ni matatizo ya akili kaka!!!
Wana CCM hatuna mtindo wa kukosoana kama hivi ulivyofanya ila kuna kupongezana kwa mazuri. Nilitegemea kama mwanaCCM ungenipongeza kuona nina nia na dhamira ya kuhakikisha CCM inasalia madarakani.
 
Kaka uteuzi wa ukuu wa wilaya hauanzii Jamii Forums!!! Punguza mahaba CCM watu wazima tuna akili timamu upambe ukizidi sana ni matatizo ya akili kaka!!!
Pia ukinisoma katikati ya mstari utagundua ninaandika kwa lengo la kukijenga CCM.
 
Nimejitoa kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa moyo na nguvu zangu zote. Ni muumini wa siasa za CCM na ninaamini bila CCM hakuna siasa safi wala viongozi bora na kwa mantiki hii nitajitoa kuhakikisha kinasalia madarakani.

Baada ya siku ya leo kutenguliwa kwa zuio la kutofanya mikutano ya hadhara basi nami najitoa rasmi kwa harakati ngumu za kumtengenezea ushindi wa kishindo Dkt. Samia na naamini atashinda.

Katika kufanikisha hili natambua haitakuwa kazi rahisi lakini ni kitu ambacho nitajitoa kuhakikisha linafanikiwa kwa sababu mpaka sasa kwa sifa na uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi alionao Dkt.Samia ushindi wake utakuwa laini sana. Wasionielewa wasubiri 2025 watanielewa.

Siku zote nitakuwa mstari wa mbele kuhakikisha nakuwa chachu ya CCM na Mwenyekiti wa CCM kukubalika. Halitakuwa Jambo rahisi lakini penye nia pana njia.

Kutenguliwa agizo la kutoruhusu mikuta ya hadhara kunaweza kukaleta athari za moja kwa moja kwa CCM au Mwenyekiti wa CCM hususani kueneza siasa za chuki kwamba serikali ya CCM haijafanya kitu kwa baadhi ya watu au kutumia hoja ya mikopo kama fimbo ya kuichapa CCM lakini hayo yote nimeyaangalia kwa undani na nimeona ninayamudu kuyaelezea kwa hoja za ushindani wa kisiasa.

Hoja zote zitajibiwa kwa hoja na vihoja kwa vihoja. Nitahakikisha taswira njema ya Dkt.Samia kuelekea 2025 inachorwa na haifutiki.

Hivyo basi kwa kutambua uwezo mkubwa na sifa njema alizonazo Dkt.Samia ninatamani niwe mmojawapo wa wataokaofanikisha safari hii ngumu na nzito kwa Dkt.Samia kuelekea 2025. Mpaka sasa ana asilimia kubwa ya kuweka historia kubwa ya ushindi , kwa picha na michoro nilichora ya kufanikisha ushindi wake, naamini itafanikiwa.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Ni Mimi muumini kindakindaki wa sera, Imani na siasa za CCM. Napatikana kupitia :0785 655 580
Kwa hiyo unadhani unateuliwa kwa hilo linamba lako la simu?
Weka cv yako, ambatanisha na picha
 
Atashinda mchana kweupe, hata kura hazitoibiwa. Anaupiga mwingi kwelikweli, na ni bingwa wa siasa. Kuna kete muhimu sana anazisukuma kule nyanda za juu kusini. CDM wanaweza kupata viti sifuri kwa haki kabisa ukanda ule.
 
Wana CCM hatuna mtindo wa kukosoana kama hivi ulivyofanya ila kuna kupongezana kwa mazuri. Nilitegemea kama mwanaCCM ungenipongeza kuona nina nia na dhamira ya kuhakikisha CCM inasalia madarakani.
Wewe hauna dhamira na chama bali unaongea upambe!!!Sisi watu wazima ujue usitufanye watoto!!!Nyie ndio mnaharibu chama na kufanya vijana wa kitanzania wanatukataa!!!!!Wewe kwahiyo nia yako tubakie madarakani na sio tusaidie wananchi kaka??????
 
CC:-
Lucas mwashambwa
Screenshot_20230103-175401_Chrome.jpg
 
Wewe hauna dhamira na chama bali unaongea upambe!!!Sisi watu wazima ujue usitufanye watoto!!!Nyie ndio mnaharibu chama na kufanya vijana wa kitanzania wanatukataa!!!!!Wewe kwahiyo nia yako tubakie madarakani na sio tusaidie wananchi kaka??????
Nasikitika kuona hoja hii kwa mtu anayejiita mtu mzima, hivi ni kweli hujui kusaidia watu na kusalia madarakani kuna uhusiano?

Kuna wabunge wa upinzani wamekaa zaidi ya miaka 15 majimboni lakini hakuna walichofanya. Ni kwa nini?

Lengo kubwa la Chama Cha siasa ni kushika dola baada ya kushika dola malengo mengine yatafanikiwa. Watu wanasaidiwa na Chama kilichopo madarakani
 
Nasikitika kuona hoja hii kwa mtu anayejiita mtu mzima, hivi ni kweli hujui kusaidia watu na kusalia madarakani kuna uhusiano?

Kuna wabunge wa upinzani wamekaa zaidi ya miaka 15 majimboni lakini hakuna walichofanya. Ni kwa nini?

Lengo kubwa la Chama Cha siasa ni kushika dola baada ya kushika dola malengo mengine yatafanikiwa. Watu wanasaidiwa na Chama kilichopo madarakani
Kaka CCM umeingia mwaka gani!!!Ushauri wangu nenda polepole nyakati hubadilika
 
Pia ukinisoma katikati ya mstari utagundua ninaandika kwa lengo la kukijenga CCM.

..Ccm iko madarakani.

..ndio chama chenye dhamani ya kutatua changamoto za wananchi.

..njia bora na sahihi ya kuhakikisha ushindi wa Ccm ni kuitendea haki dhamana mliyopewa ya kutatua changamoto za wananchi.

..changamoto kama ukosefu wa ajira, umasikini, huduma mbovu za afya, etc zikipatiwa majibu, uchaguzi wa 2025 utakuwa mrahisi kwa Ccm.

..kikosi kazi unachotakiwa kujiunga nacho ni cha kutatua kero na changamoto za wananchi.
 
Kaka Wewe haukijengi chama Bali unatugombanisha na wananchi kwa kuona sisi tunapenda madaraka kuliko maendeleo ya wananchi!!!
Ninyi wa kuja hamjuhi nguvu zinazotakiwa kutumika kuhakikisha ushindi au maendeleo ila nikuhakikishie CCM naipenda na nitaipenda hata siku kikitoka madarakani.
 
Baada ya kero kutatuliwa inabidi watu waambiwe serikali ya CCM imefanya moja mbili tatu ili kuepusha upotoshaji.

Huwa tuna kawaida ya kusahau haraka tunayofanyiwa kwa kufikiri sio wajibu wetu kukumbuka. Kazi yangu ni kuhakikisha nawakumbusha kama ulivyokuwa wajibu wetu kufanya.

Kuna wenye mtazamo hasi siku zote na huwezi kumridhisha kila mtu ndio maana kwa yale yaliyofanywa nitayapambania myajue
..Ccm iko madarakani.

..ndio chama chenye dhamani ya kutatua changamoto za wananchi.

..njia bora na sahihi ya kuhakikisha ushindi wa Ccm ni kuitendea haki dhamana mliyopewa ya kutatua changamoto za wananchi.

..changamoto kama ukosefu wa ajira, umasikini, huduma mbovu za afya, etc zikipatiwa majibu, uchaguzi wa 2025 utakuwa mrahisi kwa Ccm.

..kikosi kazi unachotakiwa kujiunga nacho ni cha kutatua kero na changamoto za wananchi.
 
Back
Top Bottom