cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHilo likitokea Jua linaweza kubadilisha uelekeo wa kuchomoza na kuzama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHilo likitokea Jua linaweza kubadilisha uelekeo wa kuchomoza na kuzama
Wambura mpaka apewe ruhusa na mkuu wa nchi ya kuwakamata hao watu, katiba yetu ya ajabu sana na tuunge mkono juhudi za kuibadilisha la sivyo...Mheshiniwa Rais leo ametueleza uwepo wa watuhumiwa wengi sana kutokana na ripoti ya CAG. Kwa matamshi ya CAG pamoja na Rais ni dhahiri kwamba kuna wahalifu wengi sana.
Sasa kwasababu Rais ni amiri jeshi mkuu basi ninategemea kuona taarifa ya jeshi la Polisi kuanza kuwakamata na kuwapeleka mahakamani watuhumiwa wote waliotajwa.
Wahusika wote ni watu wazito hakuna kitachoendelea zaidi ya maigizoMheshiniwa Rais leo ametueleza uwepo wa watuhumiwa wengi sana kutokana na ripoti ya CAG. Kwa matamshi ya CAG pamoja na Rais ni dhahiri kwamba kuna wahalifu wengi sana.
Sasa kwasababu Rais ni amiri jeshi mkuu basi ninategemea kuona taarifa ya jeshi la Polisi kuanza kuwakamata na kuwapeleka mahakamani watuhumiwa wote waliotajwa.