Ninatarajia IGP Camillus Wambura atatuletea taarifa ya kuwakamata watuhumiwa wote baada ya ripoti ya CAG na matamshi ya Rais Samia

Wambura mpaka apewe ruhusa na mkuu wa nchi ya kuwakamata hao watu, katiba yetu ya ajabu sana na tuunge mkono juhudi za kuibadilisha la sivyo...
 
Wahusika wote ni watu wazito hakuna kitachoendelea zaidi ya maigizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…